Alama kubwa zilizoachwa na Marais wa Tanzania katika vipindi vyao

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,601
46,244
Nchi yetu imekuwa na Marais wachache tangu kupata uhuru hivyo ni rahisi kupima legasi zao mahususi kwa upekee wa kila mmoja

Tukianza na Rais wa kwanza Mwl Nyerere anakumbukwa kwa mengi ila kwa legasi kubwa zaidi ya Uhuru na kuunda taifa moja kutoka makabila na jamii nyingi. Kwa legasi hiyo anatmbulika baba wa Taifa mpaka leo.

Rais wa Pili, Ali Hassan Mwinyi anakumbukwa kwa legasi kubwa ya kuufungua uchumi wetu na kuupeleka kwenye soko huria kutoka uchumi wa kijamaa. Kwa legasi hiyo amepewa jina maarufu la mzee wa ruksa.

Rais wa watu, Benjamin Mkapa yeye anakumbukwa kwa mambo mawili makubwa ambayo ni ubinafsishaji na uundaji wa Taasisi. Legasi yake kubwa baada ya ubinafsishaji ni serikali kuendeshwa kitaasisi.

Rais wa nne, Jakaya Mrisho Kikwete anakumbukwa kwa upanuzi wa demokrasia ndani ya bunge, vyombo vya habari na ujenzi wa barabara. Katika awamu yake hakukuwa na hofu ya watu kusema na barabara zilijengwa kuliko wakati mwingine wowote.

Rais wa Tano legasi yake kubwa ni ipi wanajukwaa?
 
Kuleta serikali ya mseto yenye.mawaziri wa CCM na Chadema

Mawaziri

Mwita.Waitara
Dr Mollel
David Silinde
Patrobas Katambi
Gekui

Wakuu wa wilaya
Mh Lijualikali
Mh Joshua Nassari
Mh Dr Mashinji

ACT wazalendo
RC Mghwira rip

Katibu mkuu Prof Kitila Mkumbo

TLP

Mkuu wa Parole Dr A L Mrema
 
Nchi yetu imekuwa na Marais wachache tangu kupata uhuru hivyo ni rahisi kupima legasi zao mahususi kwa upekee wa kila mmoja

Tukianza na Rais wa kwanza Mwl Nyerere anakumbukwa kwa mengi ila kwa legasi kubwa zaidi ya Uhuru na kuunda taifa moja kutoka makabila na jamii nyingi. Kwa legasi hiyo anatmbulika baba wa Taifa mpaka leo.

Rais wa Pili, Ali Hassan Mwinyi anakumbukwa kwa legasi kubwa ya kuufungua uchumi wetu na kuupeleka kwenye soko huria kutoka uchumi wa kijamaa. Kwa legasi hiyo amepewa jina maarufu la mzee wa ruksa.

Rais wa watu, Benjamin Mkapa yeye anakumbukwa kwa mambo mawili makubwa ambayo ni ubinafsishaji na uundaji wa Taasisi. Legasi yake kubwa baada ya ubinafsishaji ni serikali kuendeshwa kitaasisi.

Rais wa nne, Jakaya Mrisho Kikwete anakumbukwa kwa upanuzi wa demokrasia ndani ya bunge, vyombo vya habari na ujenzi wa barabara. Katika awamu yake hakukuwa na hofu ya watu kusema na barabara zilijengwa kuliko wakati mwingine wowote.

Rais wa Tano legasi yake kubwa ni ipi wanajukwaa?
Huna akili mleta mada, unajifanya humuoni tembo uwanjani
 
Watu kuuliwa na kupotezwa including our own here,Mr. Saanane, uchaguzi mfu hadi Wakavunja sheria zao(covid 19MPs),chombo huru cha kuongelea ilikuwa ni hapa tu JF,kudos kwako Mr.Meko na timu yako yote,ahsanteni mno, nchi kutengwa na dunia etc etc, awamu ya mwendazake
 
Nchi yetu imekuwa na Marais wachache tangu kupata uhuru hivyo ni rahisi kupima legasi zao mahususi kwa upekee wa kila mmoja

Tukianza na Rais wa kwanza Mwl Nyerere anakumbukwa kwa mengi ila kwa legasi kubwa zaidi ya Uhuru na kuunda taifa moja kutoka makabila na jamii nyingi. Kwa legasi hiyo anatmbulika baba wa Taifa mpaka leo.

Rais wa Pili, Ali Hassan Mwinyi anakumbukwa kwa legasi kubwa ya kuufungua uchumi wetu na kuupeleka kwenye soko huria kutoka uchumi wa kijamaa. Kwa legasi hiyo amepewa jina maarufu la mzee wa ruksa.

Rais wa watu, Benjamin Mkapa yeye anakumbukwa kwa mambo mawili makubwa ambayo ni ubinafsishaji na uundaji wa Taasisi. Legasi yake kubwa baada ya ubinafsishaji ni serikali kuendeshwa kitaasisi.

Rais wa nne, Jakaya Mrisho Kikwete anakumbukwa kwa upanuzi wa demokrasia ndani ya bunge, vyombo vya habari na ujenzi wa barabara. Katika awamu yake hakukuwa na hofu ya watu kusema na barabara zilijengwa kuliko wakati mwingine wowote.

Rais wa Tano legasi yake kubwa ni ipi wanajukwaa?
Namwona vile amekaa pale stendi ya mabasi ya zamani pale iringa mjini akisikiliza music 🎶 kutoka studio ya Mr. MBATA
 
Watu kuuliwa na kupotezwa including our own here,Mr. Saanane, uchaguzi mfu hadi Wakavunja sheria zao(covid 19MPs),chombo huru cha kuongelea ilikuwa ni hapa tu JF,kudos kwako Mr.Meko na timu yako yote,ahsanteni mno, nchi kutengwa na dunia etc etc, awamu ya mwendazake
Ongeza sauti na lile gang pendwa wakusikie vizuri.
 
Watu kuuliwa na kupotezwa including our own here,Mr. Saanane, uchaguzi mfu hadi Wakavunja sheria zao(covid 19MPs),chombo huru cha kuongelea ilikuwa ni hapa tu JF,kudos kwako Mr.Meko na timu yako yote,ahsanteni mno, nchi kutengwa na dunia etc etc, awamu ya mwendazake
Hayo matakataka yanini sasa?
 
Nchi yetu imekuwa na Marais wachache tangu kupata uhuru hivyo ni rahisi kupima legasi zao mahususi kwa upekee wa kila mmoja

Tukianza na Rais wa kwanza Mwl Nyerere anakumbukwa kwa mengi ila kwa legasi kubwa zaidi ya Uhuru na kuunda taifa moja kutoka makabila na jamii nyingi. Kwa legasi hiyo anatmbulika baba wa Taifa mpaka leo.

Rais wa Pili, Ali Hassan Mwinyi anakumbukwa kwa legasi kubwa ya kuufungua uchumi wetu na kuupeleka kwenye soko huria kutoka uchumi wa kijamaa. Kwa legasi hiyo amepewa jina maarufu la mzee wa ruksa.

Rais wa watu, Benjamin Mkapa yeye anakumbukwa kwa mambo mawili makubwa ambayo ni ubinafsishaji na uundaji wa Taasisi. Legasi yake kubwa baada ya ubinafsishaji ni serikali kuendeshwa kitaasisi.

Rais wa nne, Jakaya Mrisho Kikwete anakumbukwa kwa upanuzi wa demokrasia ndani ya bunge, vyombo vya habari na ujenzi wa barabara. Katika awamu yake hakukuwa na hofu ya watu kusema na barabara zilijengwa kuliko wakati mwingine wowote.

Rais wa Tano legasi yake kubwa ni ipi wanajukwaa?
kuwaambia wamachinga wauzie vitu vyao kwenye njia za wapita kwa miguu. shenzi zake kabisa
 
Legasi ya mtu mkatili, mbabe, visasi, muuaji, na mnaafiki kutokea tu sii Tz hata eneo linalotuzungunguka miala ya karibuni! Halafu na yote hayo anapita makanisani akisema aombewe!
 
Nchi yetu imekuwa na Marais wachache tangu kupata uhuru hivyo ni rahisi kupima legasi zao mahususi kwa upekee wa kila mmoja

Tukianza na Rais wa kwanza Mwl Nyerere anakumbukwa kwa mengi ila kwa legasi kubwa zaidi ya Uhuru na kuunda taifa moja kutoka makabila na jamii nyingi. Kwa legasi hiyo anatmbulika baba wa Taifa mpaka leo.

Rais wa Pili, Ali Hassan Mwinyi anakumbukwa kwa legasi kubwa ya kuufungua uchumi wetu na kuupeleka kwenye soko huria kutoka uchumi wa kijamaa. Kwa legasi hiyo amepewa jina maarufu la mzee wa ruksa.

Rais wa watu, Benjamin Mkapa yeye anakumbukwa kwa mambo mawili makubwa ambayo ni ubinafsishaji na uundaji wa Taasisi. Legasi yake kubwa baada ya ubinafsishaji ni serikali kuendeshwa kitaasisi.

Rais wa nne, Jakaya Mrisho Kikwete anakumbukwa kwa upanuzi wa demokrasia ndani ya bunge, vyombo vya habari na ujenzi wa barabara. Katika awamu yake hakukuwa na hofu ya watu kusema na barabara zilijengwa kuliko wakati mwingine wowote.

Rais wa Tano legasi yake kubwa ni ipi wanajukwaa?
Unataka kulinganisha waliokaa miaka 10 na wengine 20+ Kwa aliye kaa miaka 6??
 
Nchi yetu imekuwa na Marais wachache tangu kupata uhuru hivyo ni rahisi kupima legasi zao mahususi kwa upekee wa kila mmoja

Tukianza na Rais wa kwanza Mwl Nyerere anakumbukwa kwa mengi ila kwa legasi kubwa zaidi ya Uhuru na kuunda taifa moja kutoka makabila na jamii nyingi. Kwa legasi hiyo anatmbulika baba wa Taifa mpaka leo.

Rais wa Pili, Ali Hassan Mwinyi anakumbukwa kwa legasi kubwa ya kuufungua uchumi wetu na kuupeleka kwenye soko huria kutoka uchumi wa kijamaa. Kwa legasi hiyo amepewa jina maarufu la mzee wa ruksa.

Rais wa watu, Benjamin Mkapa yeye anakumbukwa kwa mambo mawili makubwa ambayo ni ubinafsishaji na uundaji wa Taasisi. Legasi yake kubwa baada ya ubinafsishaji ni serikali kuendeshwa kitaasisi.

Rais wa nne, Jakaya Mrisho Kikwete anakumbukwa kwa upanuzi wa demokrasia ndani ya bunge, vyombo vya habari na ujenzi wa barabara. Katika awamu yake hakukuwa na hofu ya watu kusema na barabara zilijengwa kuliko wakati mwingine wowote.

Rais wa Tano legasi yake kubwa ni ipi wanajukwaa?
Kuasisiwa watu wasiojulikana.
Kupigwa risasi mbunge akiwa maeneo ya makazi ya viongozi yenye ulinzi 24/7.
Matukio ya maiti za binadamu kuokotwa zikiwa zimfungwa vifurushi kwenye viroba.
Watu kutekwa na kupotea ovyo.
Wanafunzi wa elimu yajuu kunyimwa mikopo.
Watumishi waumma kukaa miaka 5 bila nyongeza ya mishahara.
Majambazi kupewa nyadhifa serikali I.
Ben Saanane kupotea baada ya kuhoji Jambo nyeti.
Matajiri kutakiwa kuishi Kama mashetani.
 
"Dr", halafu unamsahau "Queen" kwa maksudi mazima? Huyu queen yeye aligombea urais huku akijinadi apewe uteuzi wowote atakaoonekana anafaa!
Maajabu yapo Tanzania!
Augustino Lyatonga Mrema ni Daktari wa heshima kama Mo Dewji

Queen kateuliwa Awamu ya 6
 
Nchi yetu imekuwa na Marais wachache tangu kupata uhuru hivyo ni rahisi kupima legasi zao mahususi kwa upekee wa kila mmoja

Tukianza na Rais wa kwanza Mwl Nyerere anakumbukwa kwa mengi ila kwa legasi kubwa zaidi ya Uhuru na kuunda taifa moja kutoka makabila na jamii nyingi. Kwa legasi hiyo anatmbulika baba wa Taifa mpaka leo.

Rais wa Pili, Ali Hassan Mwinyi anakumbukwa kwa legasi kubwa ya kuufungua uchumi wetu na kuupeleka kwenye soko huria kutoka uchumi wa kijamaa. Kwa legasi hiyo amepewa jina maarufu la mzee wa ruksa.

Rais wa watu, Benjamin Mkapa yeye anakumbukwa kwa mambo mawili makubwa ambayo ni ubinafsishaji na uundaji wa Taasisi. Legasi yake kubwa baada ya ubinafsishaji ni serikali kuendeshwa kitaasisi.

Rais wa nne, Jakaya Mrisho Kikwete anakumbukwa kwa upanuzi wa demokrasia ndani ya bunge, vyombo vya habari na ujenzi wa barabara. Katika awamu yake hakukuwa na hofu ya watu kusema na barabara zilijengwa kuliko wakati mwingine wowote.

Rais wa Tano legasi yake kubwa ni ipi wanajukwaa?
Raisi wa tano ujenzi na kuimarisha miundombinu!
 
Back
Top Bottom