Nitakubaliana na CHADEMA juu ya Sera ya majimbo ikiwa tu ni kwa mkakati na utaratibu ufuatao..

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,603
Binafsi, kwa mtazamo wangu ukiachana na gharama kubwa za uendeshaji wa Serikali za majimbo kwa maana ya kwamba mpaka Serikali inaitwa serikali inakuwa ni mamlaka kamili yenye kujitegemea kwa kila kitu. Na kama tutaamua kufuata utaratibu unaotumiwa na Marekani wa kila "state" Ina serikali yake hii itakuwa ni hasara kubwa kwa maana ya ukubwa wa serikali.

Mtazamo wangu unaotofautiana na wa CHADEMA. Kama CHADEMA wanaona Serikali ya majimbo iwe ni serikali kwenye majimbo ya uchaguzi au ngazi ya wilaya au ngazi ya mkoa sitakubaliana nao kabisa kwa sababu zifuatazo:

Ya kwanza, ngazi hizo zitafanya kuwe na Serikali nyingi sana hata ambazo zitapelekea gharama za utendeshaji kuwa kubwa. Ebu tuchukulie hili Kama mfano, Serikali zinazoanzia ngazi za mkoa kwa idadi ya mikoa iliyopo tutakuwa na Serikali 30. Hii itapelekea hasara kubwa mbeleni.

La pili, kwa kuwa kuna maeneo yaliyo bora kiuchumi kulingana na makusanyo hivyo serikali za majimbo zitafanya yawe bora zaidi na yale maeneo yasiyo na mzunguko mkubwa wa pesa yataendelea kudumaa.

Kwa sababu, tutakuwa tumerasimisha Cha sehemu Fulani ni Cha pale tu hakitakiwi kutoka nje ya pale na hivyo kufanya maeneo yasiyo na rasilimali kushindwa kujiendesha.

Moja ya faida kubwa ya muundo wa sasa wa serikali yetu ni mgawanyo bora wa rasilimali za eneo na zinatumika kusaidia uchumi wa taifa zima. Na mfumo huu unaharakisha maendeleo ya maeneo kwa haraka.

La tatu, kutakuwa na hatihati ya kuwepo kwa ukabila na ujimbo. Kwa Mazingira ya sasa ya serikali yetu ukabila si rahisi kuwepo kutokana na muingiliano mkubwa wa watu wa makabila au majimbo mbalimbali.

Sasa tufikiri kwa umbali mrefu zaidi juu ya suala hili kutakapokuwa na Serikali ya majimbo lazima kutakuwa na chokochoko tu kwamba kilichopo hapa ni kwa ajili ya wa hapa na kabila la hapa. Hivyo inaweza kuzorotesha umoja wa kitaifa tulionao.

Serikali kamili ya majimbo inaweza kuwa ni chanzo Cha matatizo mengi baadae hivyo wazo la kuwa na Serikali ya majimbo lina ugumu kiasi chake.

Licha ya hivyo bado nasimama na CHADEMA juu ya faida ya Serikali za majimbo kwa sababu zifuatazo:Kwanza, Serikali za majimbo zinaweza kuchochea maendeleo kwa haraka kwa sababu kila serikali itajitahidi kuhakikisha inaleta maendeleo. Pili, itasaidia huduma muhimu kuwafikia Wananchi wa haraka zaidi.

Hivyo badala ya kuwa na mfumo wa serikali wenye serikali za majimbo nyingi na kupelekea gharama kwa serikali kubw kubwa, Haya ndio maoni yangu kwenye Sera hiyo:

Kwanza, Sera ya Serikali ya majimbo ijikite kwenye eneo lenye ukubwa wa Kanda. Kwa maana ya kwamba kila Kanda iwe na Serikali yake hapa tutapunguza ukubwa wa serikali na gharama kwa kuihudumia.

Pili, ili kuwe na usawa kwenye mgawanyo wa rasilimali zilizopo serikali ya Kanda inaweza kuwa ni muafaka. Badala ya rasilimali kutumika eneo dogo kama Jimbo basi zitumike kwenye Jimbo.

Tatu, ili kusaidia maendeleo sawa kwa kila Kanda ,Serikali kuu iratibu mchakato wa maendeleo kwa Kanda zote. Makusanyo yanayokusanywa kwenye Kanda , asilimia fulani iende serikali kuu ambayo itatumia kuboost Kanda zilizo nyuma kimaendeleo.

Hitimisho, nakubaliana na CHADEMA juu ya Serikali ya majimbo ikiwa tu nao Wana mtazamo kama wangu na pia nakubaliana na wote wenye kutazama kwa jicho la gharama za uendeshaji wa Sera hii.
 
Unajua gharama za kuendesha Serikali kwa mfumo uliopo ni gani?

Vipi gharama hizo vs tija/ufanisi?

Tafakari tu "mfumo mkanganyiko" (mfumo) wa sasa na gharama vs ufanisi duni - mfano kwenye ngazi ya wilaya kuna DC, DED na Mbunge. Hao wawili wa mwanzo kila mmoja ana ofisi, idara, watumishi, majengo, magari na bajeti yake. Wote ni wateuliwa wa Rais.
Usisahau mbali na mbunge/wabunge katika ngazi hiyo pia kuna Meya au M/kiti wa Halmashauri.

Lakini kwenye muundo wa jimbo/state 50%-60% ya serikali ya sasa (gharama na rasilimali) inatosha kabisa kuendesha jimbo, halafu inayobaki 40%-50% inaenda kwenye maendeleo au uwekezaji.
Pia majimbo yatapunguza urasimu, na hata upigaji na uzembe.

NB: Majimbo sio kama majimbo ya uchaguzi, ni makubwa kuliko mkoa.
 
Binafsi , kwa mtazamo wangu ukiachana na gharama kubwa za uendeshaji wa Serikali za majimbo kwa maana ya kwamba mpaka Serikali inaitwa serikali inakuwa ni mamlaka kamili yenye kujitegemea kwa kila kitu. Na kama tutaamua kufuata utaratibu unaotumiwa na Marekani wa kila "state" Ina serikali yake hii itakuwa ni hasara kubwa kwa maana ya ukubwa wa serikali.

Mtazamo wangu unaotofautiana na wa CHADEMA. Kama CHADEMA wanaona Serikali ya majimbo iwe ni serikali kwenye majimbo ya uchaguzi au ngazi ya wilaya au ngazi ya mkoa sitakubaliana nao kabisa kwa sababu zifuatazo:

Ya kwanza, ngazi hizo zitafanya kuwe na Serikali nyingi sana hata ambazo zitapelekea gharama za utendeshaji kuwa kubwa. Ebu tuchukulie hili Kama mfano, Serikali zinazoanzia ngazi za mkoa kwa idadi ya mikoa iliyopo tutakuwa na Serikali 30. Hii itapelekea hasara kubwa mbeleni.

La pili, kwa kuwa kuna maeneo yaliyo bora kiuchumi kulingana na makusanyo hivyo serikali za majimbo zitafanya yawe bora zaidi na yale maeneo yasiyo na mzunguko mkubwa wa pesa yataendelea kudumaa.

Kwa sababu, tutakuwa tumerasimisha Cha sehemu Fulani ni Cha pale tu hakitakiwi kutoka nje ya pale na hivyo kufanya maeneo yasiyo na rasilimali kushindwa kujiendesha.

Moja ya faida kubwa ya muundo wa sasa wa serikali yetu ni mgawanyo bora wa rasilimali za eneo na zinatumika kusaidia uchumi wa taifa zima. Na mfumo huu unaharakisha maendeleo ya maeneo kwa haraka.

La tatu, kutakuwa na hatihati ya kuwepo kwa ukabila na ujimbo. Kwa Mazingira ya sasa ya serikali yetu ukabila si rahisi kuwepo kutokana na muingiliano mkubwa wa watu wa makabila au majimbo mbalimbali.

Sasa tufikiri kwa umbali mrefu zaidi juu ya suala hili kutakapokuwa na Serikali ya majimbo lazima kutakuwa na chokochoko tu kwamba kilichopo hapa ni kwa ajili ya wa hapa na kabila la hapa. Hivyo inaweza kuzorotesha umoja wa kitaifa tulionao.

Serikali kamili ya majimbo inaweza kuwa ni chanzo Cha matatizo mengi baadae hivyo wazo la kuwa na Serikali ya majimbo lina ugumu kiasi chake.

Licha ya hivyo bado nasimama na CHADEMA juu ya faida ya Serikali za majimbo kwa sababu zifuatazo:Kwanza, Serikali za majimbo zinaweza kuchochea maendeleo kwa haraka kwa sababu kila serikali itajitahidi kuhakikisha inaleta maendeleo. Pili, itasaidia huduma muhimu kuwafikia Wananchi wa haraka zaidi.

Hivyo badala ya kuwa na mfumo wa serikali wenye serikali za majimbo nyingi na kupelekea gharama kwa serikali kubw kubwa, Haya ndio maoni yangu kwenye Sera hiyo:

Kwanza, Sera ya Serikali ya majimbo ijikite kwenye eneo lenye ukubwa wa Kanda. Kwa maana ya kwamba kila Kanda iwe na Serikali yake hapa tutapunguza ukubwa wa serikali na gharama kwa kuihudumia.

Pili, ili kuwe na usawa kwenye mgawanyo wa rasilimali zilizopo serikali ya Kanda inaweza kuwa ni muafaka. Badala ya rasilimali kutumika eneo dogo kama Jimbo basi zitumike kwenye Jimbo.

Tatu, ili kusaidia maendeleo sawa kwa kila Kanda ,Serikali kuu iratibu mchakato wa maendeleo kwa Kanda zote. Makusanyo yanayokusanywa kwenye Kanda , asilimia fulani iende serikali kuu ambayo itatumia kuboost Kanda zilizo nyuma kimaendeleo.

Hitimisho, nakubaliana na CHADEMA juu ya Serikali ya majimbo ikiwa tu nao Wana mtazamo kama wangu na pia nakubaliana na wote wenye kutazama kwa jicho la gharama za uendeshaji wa Sera hii.
Kwa Kuwa ni wale wa wivu kwa walipendelea,hauko tayari kuona wanao endelea,unatamani wote wawe maskini,ili uwezekano wa kuwanyonya uendelee,uwezekano wakigawana makusanyo haupo kwa Kuwa wapo wale mchwa wa kijanivyo kila mtu apambane maendeleo kulingana na kipimo cha akili yake😂.Kwani hujawa wahi sikia kama ugumu wa maisha yako ni kipimo cha akili yako😂
 
Umefikiria kwa ufupi sana

Tukiamua leo kuwa na serikali za majimbo hata kwa mikoa iliyopo ina maana Wakuu wa mikoa ndio wanakuwa magavana ila wanachaguliwa kwa kura za Wananchi, badala ya kila Halmashauri kuwa na baraza lake la madiwani kunakuwa na Bunge moja tu la mkoa, nafasi za wakuu wa wilaya na meya baki nazo ila wote wachaguliwe.

Kuhusu mikoa masikini, niambie mkoa mmoja ambao wa Tanzania ambao unafikiri ni masikini na utashindwa kujiendesha kujiletea maendeleo. Pia hata huko Marekani serikali kuu(federal) ina mipango kibao ya kusaidia majimbo yanayoonekena masikini. Red states ambazo ndizo nyingi masikini zinazapata ruzuku kupitia kodi federal tax kutoka blue states zenye ukwasi kama California.

Hapa bado hatujazungumiza kuondoa viti maalum vya ubunge, kupunguza kimoja kati ya cheo cha waziri mkuu au makamu wa rais, kuondoa nafasi za ma DAS n.k
 
Kwa Kuwa ni wale wa wivu kwa walipendelea,hauko tayari kuona wanao endelea,unatamani wote wawe maskini,ili uwezekano wa kuwanyonya uendelee,uwezekano wakigawana makusanyo haupo kwa Kuwa wapo wale mchwa wa kijanivyo kila mtu apambane maendeleo kulingana na kipimo cha akili yake😂.Kwani hujawa wahi sikia kama ugumu wa maisha yako ni kipimo cha akili yako😂
Kwamba unatamani ifike sehemu Jimbo ambalo halina maji linunue kwenye jimbo lingine halafu nao wawauzie Wananchi wao. Fikiri zaidi
 
Binafsi , kwa mtazamo wangu ukiachana na gharama kubwa za uendeshaji wa Serikali za majimbo kwa maana ya kwamba mpaka Serikali inaitwa serikali inakuwa ni mamlaka kamili yenye kujitegemea kwa kila kitu. Na kama tutaamua kufuata utaratibu unaotumiwa na Marekani wa kila "state" Ina serikali yake hii itakuwa ni hasara kubwa kwa maana ya ukubwa wa serikali.

Mtazamo wangu unaotofautiana na wa CHADEMA. Kama CHADEMA wanaona Serikali ya majimbo iwe ni serikali kwenye majimbo ya uchaguzi au ngazi ya wilaya au ngazi ya mkoa sitakubaliana nao kabisa kwa sababu zifuatazo:

Ya kwanza, ngazi hizo zitafanya kuwe na Serikali nyingi sana hata ambazo zitapelekea gharama za utendeshaji kuwa kubwa. Ebu tuchukulie hili Kama mfano, Serikali zinazoanzia ngazi za mkoa kwa idadi ya mikoa iliyopo tutakuwa na Serikali 30. Hii itapelekea hasara kubwa mbeleni.

La pili, kwa kuwa kuna maeneo yaliyo bora kiuchumi kulingana na makusanyo hivyo serikali za majimbo zitafanya yawe bora zaidi na yale maeneo yasiyo na mzunguko mkubwa wa pesa yataendelea kudumaa.

Kwa sababu, tutakuwa tumerasimisha Cha sehemu Fulani ni Cha pale tu hakitakiwi kutoka nje ya pale na hivyo kufanya maeneo yasiyo na rasilimali kushindwa kujiendesha.

Moja ya faida kubwa ya muundo wa sasa wa serikali yetu ni mgawanyo bora wa rasilimali za eneo na zinatumika kusaidia uchumi wa taifa zima. Na mfumo huu unaharakisha maendeleo ya maeneo kwa haraka.

La tatu, kutakuwa na hatihati ya kuwepo kwa ukabila na ujimbo. Kwa Mazingira ya sasa ya serikali yetu ukabila si rahisi kuwepo kutokana na muingiliano mkubwa wa watu wa makabila au majimbo mbalimbali.

Sasa tufikiri kwa umbali mrefu zaidi juu ya suala hili kutakapokuwa na Serikali ya majimbo lazima kutakuwa na chokochoko tu kwamba kilichopo hapa ni kwa ajili ya wa hapa na kabila la hapa. Hivyo inaweza kuzorotesha umoja wa kitaifa tulionao.

Serikali kamili ya majimbo inaweza kuwa ni chanzo Cha matatizo mengi baadae hivyo wazo la kuwa na Serikali ya majimbo lina ugumu kiasi chake.

Licha ya hivyo bado nasimama na CHADEMA juu ya faida ya Serikali za majimbo kwa sababu zifuatazo:Kwanza, Serikali za majimbo zinaweza kuchochea maendeleo kwa haraka kwa sababu kila serikali itajitahidi kuhakikisha inaleta maendeleo. Pili, itasaidia huduma muhimu kuwafikia Wananchi wa haraka zaidi.

Hivyo badala ya kuwa na mfumo wa serikali wenye serikali za majimbo nyingi na kupelekea gharama kwa serikali kubw kubwa, Haya ndio maoni yangu kwenye Sera hiyo:

Kwanza, Sera ya Serikali ya majimbo ijikite kwenye eneo lenye ukubwa wa Kanda. Kwa maana ya kwamba kila Kanda iwe na Serikali yake hapa tutapunguza ukubwa wa serikali na gharama kwa kuihudumia.

Pili, ili kuwe na usawa kwenye mgawanyo wa rasilimali zilizopo serikali ya Kanda inaweza kuwa ni muafaka. Badala ya rasilimali kutumika eneo dogo kama Jimbo basi zitumike kwenye Jimbo.

Tatu, ili kusaidia maendeleo sawa kwa kila Kanda ,Serikali kuu iratibu mchakato wa maendeleo kwa Kanda zote. Makusanyo yanayokusanywa kwenye Kanda , asilimia fulani iende serikali kuu ambayo itatumia kuboost Kanda zilizo nyuma kimaendeleo.

Hitimisho, nakubaliana na CHADEMA juu ya Serikali ya majimbo ikiwa tu nao Wana mtazamo kama wangu na pia nakubaliana na wote wenye kutazama kwa jicho la gharama za uendeshaji wa Sera hii.
Tunazunguka sana ,Tanzania ni kama Majimbo ya Marekani Kuna ukabila kule kweli?
 
Binafsi , kwa mtazamo wangu ukiachana na gharama kubwa za uendeshaji wa Serikali za majimbo kwa maana ya kwamba mpaka Serikali inaitwa serikali inakuwa ni mamlaka kamili yenye kujitegemea kwa kila kitu. Na kama tutaamua kufuata utaratibu unaotumiwa na Marekani wa kila "state" Ina serikali yake hii itakuwa ni hasara kubwa kwa maana ya ukubwa wa serikali.

Mtazamo wangu unaotofautiana na wa CHADEMA. Kama CHADEMA wanaona Serikali ya majimbo iwe ni serikali kwenye majimbo ya uchaguzi au ngazi ya wilaya au ngazi ya mkoa sitakubaliana nao kabisa kwa sababu zifuatazo:

Ya kwanza, ngazi hizo zitafanya kuwe na Serikali nyingi sana hata ambazo zitapelekea gharama za utendeshaji kuwa kubwa. Ebu tuchukulie hili Kama mfano, Serikali zinazoanzia ngazi za mkoa kwa idadi ya mikoa iliyopo tutakuwa na Serikali 30. Hii itapelekea hasara kubwa mbeleni.

La pili, kwa kuwa kuna maeneo yaliyo bora kiuchumi kulingana na makusanyo hivyo serikali za majimbo zitafanya yawe bora zaidi na yale maeneo yasiyo na mzunguko mkubwa wa pesa yataendelea kudumaa.

Kwa sababu, tutakuwa tumerasimisha Cha sehemu Fulani ni Cha pale tu hakitakiwi kutoka nje ya pale na hivyo kufanya maeneo yasiyo na rasilimali kushindwa kujiendesha.

Moja ya faida kubwa ya muundo wa sasa wa serikali yetu ni mgawanyo bora wa rasilimali za eneo na zinatumika kusaidia uchumi wa taifa zima. Na mfumo huu unaharakisha maendeleo ya maeneo kwa haraka.

La tatu, kutakuwa na hatihati ya kuwepo kwa ukabila na ujimbo. Kwa Mazingira ya sasa ya serikali yetu ukabila si rahisi kuwepo kutokana na muingiliano mkubwa wa watu wa makabila au majimbo mbalimbali.

Sasa tufikiri kwa umbali mrefu zaidi juu ya suala hili kutakapokuwa na Serikali ya majimbo lazima kutakuwa na chokochoko tu kwamba kilichopo hapa ni kwa ajili ya wa hapa na kabila la hapa. Hivyo inaweza kuzorotesha umoja wa kitaifa tulionao.

Serikali kamili ya majimbo inaweza kuwa ni chanzo Cha matatizo mengi baadae hivyo wazo la kuwa na Serikali ya majimbo lina ugumu kiasi chake.

Licha ya hivyo bado nasimama na CHADEMA juu ya faida ya Serikali za majimbo kwa sababu zifuatazo:Kwanza, Serikali za majimbo zinaweza kuchochea maendeleo kwa haraka kwa sababu kila serikali itajitahidi kuhakikisha inaleta maendeleo. Pili, itasaidia huduma muhimu kuwafikia Wananchi wa haraka zaidi.

Hivyo badala ya kuwa na mfumo wa serikali wenye serikali za majimbo nyingi na kupelekea gharama kwa serikali kubw kubwa, Haya ndio maoni yangu kwenye Sera hiyo:

Kwanza, Sera ya Serikali ya majimbo ijikite kwenye eneo lenye ukubwa wa Kanda. Kwa maana ya kwamba kila Kanda iwe na Serikali yake hapa tutapunguza ukubwa wa serikali na gharama kwa kuihudumia.

Pili, ili kuwe na usawa kwenye mgawanyo wa rasilimali zilizopo serikali ya Kanda inaweza kuwa ni muafaka. Badala ya rasilimali kutumika eneo dogo kama Jimbo basi zitumike kwenye Jimbo.

Tatu, ili kusaidia maendeleo sawa kwa kila Kanda ,Serikali kuu iratibu mchakato wa maendeleo kwa Kanda zote. Makusanyo yanayokusanywa kwenye Kanda , asilimia fulani iende serikali kuu ambayo itatumia kuboost Kanda zilizo nyuma kimaendeleo.

Hitimisho, nakubaliana na CHADEMA juu ya Serikali ya majimbo ikiwa tu nao Wana mtazamo kama wangu na pia nakubaliana na wote wenye kutazama kwa jicho la gharama za uendeshaji wa Sera hii.
Majimbo yanayopendekezwa ni nane au 10 tu kama zilivyo Kanda za Chadema kwenye mfumo wao wa uongozi ndivyo dhana yao ya majimbo ilivyo
 
Kwamba unatamani ifike sehemu Jimbo ambalo halina maji linunue kwenye jimbo lingine halafu nao wawauzie Wananchi wao. Fikiri zaidi

..Tayari Chadema wana muundo wa kanda / majimbo ktk chama chao.

..kwa mfano, kanda / jimbo la kaskazini linaundwa na mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha, na Manyara.

..kwa muundo huo utaona kwamba jimbo hilo lina ardhi ya kutosha, na lina rasilimali za aina mbalimbali kuweza kujiendesha na kuchangia ktk mfuko wa SERIKALI KUU.

..Kulingana na maelezo ya Chadema, wanapendekeza kuwe na kanda au majimbo kumi, na kati ya hayo ni majimbo ya Unguja, na Pemba.
 
Hadi mkoa wa Shinyanga unagawanywa umeendelea kuwa duni pamoja na kuwa na migodi ya madini inayoliinngizia taifa mapato makubwa na kuwaacha wenyeji wakiwa na athari za mazingira ambayo hayako recovered, barabara mbovu kuliko mikoa mingi labda tu kule kusini kwenye gesi pia.
Hii pia ni kutokana na kukosa viongozi aidha wanaotokea eneo lile au wasio na uchungu au vyote kwa pamoja.
Ziko sehemu ambazo uchumi wake ni wa kawaida kikanda zimekuwa na miundo mbinu tangu zamani kwa migongo ya mikoa kama Rukwa japo wazalishaji wakubwa wa chakula.
Itoshe kusema kuwa hakuna uwiano halisi wa kimaendeleo na miundo mbinu chochezi
 
Umefikiria kwa ufupi sana

Tukiamua leo kuwa na serikali za majimbo hata kwa mikoa iliyopo ina maana Wakuu wa mikoa ndio wanakuwa magavana ila wanachaguliwa kwa kura za Wananchi, badala ya kila Halmashauri kuwa na baraza lake la madiwani kunakuwa na Bunge moja tu la mkoa, nafasi za wakuu wa wilaya na meya baki nazo ila wote wachaguliwe.

Kuhusu mikoa masikini, niambie mkoa mmoja ambao wa Tanzania ambao unafikiri ni masikini na utashindwa kujiendesha kujiletea maendeleo. Pia hata huko Marekani serikali kuu(federal) ina mipango kibao ya kusaidia majimbo yanayoonekena masikini. Red states ambazo ndizo nyingi masikini zinazapata ruzuku kupitia kodi federal tax kutoka blue states zenye ukwasi kama California.

Hapa bado hatujazungumiza kuondoa viti maalum vya ubunge, kupunguza kimoja kati ya cheo cha waziri mkuu au makamu wa rais, kuondoa nafasi za ma DAS n.k
Mfumo uliopo sasa ni mfumo wa serikali ya mtu mmoja ambaye ni rais. Kila mahali watubwanamsubiri awaletee pesa za maendeleo, wanaomba wakipewa wanslamsifia..
Mfumo wa majimbo ni utawala katika maeneo yao watu kwa ajili yao. Viongozi wanawajibika kwa watu na sio kwa mungu mtu aliyekaa kiti cha enzi ikulu.. kiuhalisia mfumo huu utachochea maendeleo kwa haraka.
Uchawa utafutika kabisa na hakutakuwa na mty kynyonywa damu na machawa
 
Hakuna mtu aliye mkoa duni anayekatazwa kwenda mkoa wenye neema. Hilo hata linafanya resources zitumike efficiently zaidi. Si kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato. Pili hii mikoa ni serikali kamili. Una kila idara za serikali so kuibadili kuwa majimbo hakuwezi ongeza gharama za uendeshaji tofauti na sasa, pengine hata ukazipunguza. tatu kuwa na majimbo ya kikanda tutakuwa hatujafanya kitu chochote cha maana. Majimbo ya kimkoa yanamake sense zaidi.
 
..Tayari Chadema wana muundo wa kanda / majimbo ktk chama chao.

..kwa mfano, kanda / jimbo la kaskazini linaundwa na mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha, na Manyara.

..kwa muundo huo utaona kwamba jimbo hilo lina ardhi ya kutosha, na lina rasilimali za aina mbalimbali kuweza kujiendesha na kuchangia ktk mfuko wa SERIKALI KUU.

..Kulingana na maelezo ya Chadema, wanapendekeza kuwe na kanda au majimbo kumi, na kati ya hayo ni majimbo ya Unguja, na Pemba.
Majimbo ya kikanda ni makubwa sana. Tutakuwa hatujafanya kitu.
 
Binafsi , kwa mtazamo wangu ukiachana na gharama kubwa za uendeshaji wa Serikali za majimbo kwa maana ya kwamba mpaka Serikali inaitwa serikali inakuwa ni mamlaka kamili yenye kujitegemea kwa kila kitu. Na kama tutaamua kufuata utaratibu unaotumiwa na Marekani wa kila "state" Ina serikali yake hii itakuwa ni hasara kubwa kwa maana ya ukubwa wa serikali.

Mtazamo wangu unaotofautiana na wa CHADEMA. Kama CHADEMA wanaona Serikali ya majimbo iwe ni serikali kwenye majimbo ya uchaguzi au ngazi ya wilaya au ngazi ya mkoa sitakubaliana nao kabisa kwa sababu zifuatazo:

Ya kwanza, ngazi hizo zitafanya kuwe na Serikali nyingi sana hata ambazo zitapelekea gharama za utendeshaji kuwa kubwa. Ebu tuchukulie hili Kama mfano, Serikali zinazoanzia ngazi za mkoa kwa idadi ya mikoa iliyopo tutakuwa na Serikali 30. Hii itapelekea hasara kubwa mbeleni.

La pili, kwa kuwa kuna maeneo yaliyo bora kiuchumi kulingana na makusanyo hivyo serikali za majimbo zitafanya yawe bora zaidi na yale maeneo yasiyo na mzunguko mkubwa wa pesa yataendelea kudumaa.

Kwa sababu, tutakuwa tumerasimisha Cha sehemu Fulani ni Cha pale tu hakitakiwi kutoka nje ya pale na hivyo kufanya maeneo yasiyo na rasilimali kushindwa kujiendesha.

Moja ya faida kubwa ya muundo wa sasa wa serikali yetu ni mgawanyo bora wa rasilimali za eneo na zinatumika kusaidia uchumi wa taifa zima. Na mfumo huu unaharakisha maendeleo ya maeneo kwa haraka.

La tatu, kutakuwa na hatihati ya kuwepo kwa ukabila na ujimbo. Kwa Mazingira ya sasa ya serikali yetu ukabila si rahisi kuwepo kutokana na muingiliano mkubwa wa watu wa makabila au majimbo mbalimbali.

Sasa tufikiri kwa umbali mrefu zaidi juu ya suala hili kutakapokuwa na Serikali ya majimbo lazima kutakuwa na chokochoko tu kwamba kilichopo hapa ni kwa ajili ya wa hapa na kabila la hapa. Hivyo inaweza kuzorotesha umoja wa kitaifa tulionao.

Serikali kamili ya majimbo inaweza kuwa ni chanzo Cha matatizo mengi baadae hivyo wazo la kuwa na Serikali ya majimbo lina ugumu kiasi chake.

Licha ya hivyo bado nasimama na CHADEMA juu ya faida ya Serikali za majimbo kwa sababu zifuatazo:Kwanza, Serikali za majimbo zinaweza kuchochea maendeleo kwa haraka kwa sababu kila serikali itajitahidi kuhakikisha inaleta maendeleo. Pili, itasaidia huduma muhimu kuwafikia Wananchi wa haraka zaidi.

Hivyo badala ya kuwa na mfumo wa serikali wenye serikali za majimbo nyingi na kupelekea gharama kwa serikali kubw kubwa, Haya ndio maoni yangu kwenye Sera hiyo:

Kwanza, Sera ya Serikali ya majimbo ijikite kwenye eneo lenye ukubwa wa Kanda. Kwa maana ya kwamba kila Kanda iwe na Serikali yake hapa tutapunguza ukubwa wa serikali na gharama kwa kuihudumia.

Pili, ili kuwe na usawa kwenye mgawanyo wa rasilimali zilizopo serikali ya Kanda inaweza kuwa ni muafaka. Badala ya rasilimali kutumika eneo dogo kama Jimbo basi zitumike kwenye Jimbo.

Tatu, ili kusaidia maendeleo sawa kwa kila Kanda ,Serikali kuu iratibu mchakato wa maendeleo kwa Kanda zote. Makusanyo yanayokusanywa kwenye Kanda , asilimia fulani iende serikali kuu ambayo itatumia kuboost Kanda zilizo nyuma kimaendeleo.

Hitimisho, nakubaliana na CHADEMA juu ya Serikali ya majimbo ikiwa tu nao Wana mtazamo kama wangu na pia nakubaliana na wote wenye kutazama kwa jicho la gharama za uendeshaji wa Sera hii.
Sera ya chadema juu ya serikari ya majimbo ni level za Kanda.
Ukabila sio tatzo kulingana mwingiliano uliopo,
Kuna baadhi ya huduma ziwe kushirikiana. Kama elimu , ajila za uma nk,
Lakn pia majiji ya kibiashara yatasonga mbele ndio, ila pia mikoa/maendeo yanayojihusisha na kilimo na shukuri zngne za uzarishaji zitaimarisha shughuri zao, japo kutofautiana kutakuepo tu, na hata sasa upo tu
 
Binafsi , kwa mtazamo wangu ukiachana na gharama kubwa za uendeshaji wa Serikali za majimbo kwa maana ya kwamba mpaka Serikali inaitwa serikali inakuwa ni mamlaka kamili yenye kujitegemea kwa kila kitu. Na kama tutaamua kufuata utaratibu unaotumiwa na Marekani wa kila "state" Ina serikali yake hii itakuwa ni hasara kubwa kwa maana ya ukubwa wa serikali.

Mtazamo wangu unaotofautiana na wa CHADEMA. Kama CHADEMA wanaona Serikali ya majimbo iwe ni serikali kwenye majimbo ya uchaguzi au ngazi ya wilaya au ngazi ya mkoa sitakubaliana nao kabisa kwa sababu zifuatazo:

Ya kwanza, ngazi hizo zitafanya kuwe na Serikali nyingi sana hata ambazo zitapelekea gharama za utendeshaji kuwa kubwa. Ebu tuchukulie hili Kama mfano, Serikali zinazoanzia ngazi za mkoa kwa idadi ya mikoa iliyopo tutakuwa na Serikali 30. Hii itapelekea hasara kubwa mbeleni.

La pili, kwa kuwa kuna maeneo yaliyo bora kiuchumi kulingana na makusanyo hivyo serikali za majimbo zitafanya yawe bora zaidi na yale maeneo yasiyo na mzunguko mkubwa wa pesa yataendelea kudumaa.

Kwa sababu, tutakuwa tumerasimisha Cha sehemu Fulani ni Cha pale tu hakitakiwi kutoka nje ya pale na hivyo kufanya maeneo yasiyo na rasilimali kushindwa kujiendesha.

Moja ya faida kubwa ya muundo wa sasa wa serikali yetu ni mgawanyo bora wa rasilimali za eneo na zinatumika kusaidia uchumi wa taifa zima. Na mfumo huu unaharakisha maendeleo ya maeneo kwa haraka.

La tatu, kutakuwa na hatihati ya kuwepo kwa ukabila na ujimbo. Kwa Mazingira ya sasa ya serikali yetu ukabila si rahisi kuwepo kutokana na muingiliano mkubwa wa watu wa makabila au majimbo mbalimbali.

Sasa tufikiri kwa umbali mrefu zaidi juu ya suala hili kutakapokuwa na Serikali ya majimbo lazima kutakuwa na chokochoko tu kwamba kilichopo hapa ni kwa ajili ya wa hapa na kabila la hapa. Hivyo inaweza kuzorotesha umoja wa kitaifa tulionao.

Serikali kamili ya majimbo inaweza kuwa ni chanzo Cha matatizo mengi baadae hivyo wazo la kuwa na Serikali ya majimbo lina ugumu kiasi chake.

Licha ya hivyo bado nasimama na CHADEMA juu ya faida ya Serikali za majimbo kwa sababu zifuatazo:Kwanza, Serikali za majimbo zinaweza kuchochea maendeleo kwa haraka kwa sababu kila serikali itajitahidi kuhakikisha inaleta maendeleo. Pili, itasaidia huduma muhimu kuwafikia Wananchi wa haraka zaidi.

Hivyo badala ya kuwa na mfumo wa serikali wenye serikali za majimbo nyingi na kupelekea gharama kwa serikali kubw kubwa, Haya ndio maoni yangu kwenye Sera hiyo:

Kwanza, Sera ya Serikali ya majimbo ijikite kwenye eneo lenye ukubwa wa Kanda. Kwa maana ya kwamba kila Kanda iwe na Serikali yake hapa tutapunguza ukubwa wa serikali na gharama kwa kuihudumia.

Pili, ili kuwe na usawa kwenye mgawanyo wa rasilimali zilizopo serikali ya Kanda inaweza kuwa ni muafaka. Badala ya rasilimali kutumika eneo dogo kama Jimbo basi zitumike kwenye Jimbo.

Tatu, ili kusaidia maendeleo sawa kwa kila Kanda ,Serikali kuu iratibu mchakato wa maendeleo kwa Kanda zote. Makusanyo yanayokusanywa kwenye Kanda , asilimia fulani iende serikali kuu ambayo itatumia kuboost Kanda zilizo nyuma kimaendeleo.

Hitimisho, nakubaliana na CHADEMA juu ya Serikali ya majimbo ikiwa tu nao Wana mtazamo kama wangu na pia nakubaliana na wote wenye kutazama kwa jicho la gharama za uendeshaji wa Sera hii.
majimbo ni njia ammayo nchi nyingi zina sera hiyo. Viongozi wote wa majimbo hucgauliwa na wananchi, kwahiyo kuwajibika kunaongezeka. Rasilimali zainazopatikana kwenye jimbo zianatumika vizuri zaidi. Nafikiri hata serikali ina jizoeza sera ya majimbo bila kujua. Kwa mfano tuansema kanda ya Ziaw, Kaskazini, Nyandaza juu kusini. Yote haya ni sera ya majimbo. Gharama za uendeshaji zinaweza kuongezeka, lakni hata sasa waporaji wanaziidi kuchukua vayo. Udhibiti ukiwa mzuri pesa itapatikana na maendelea
 
Back
Top Bottom