Niliiona J J Mnyika alipotimba Morogoro shughuli haikuwa ya kitoto.
Nimeona John Heche akiwa Kanda ya Ziwa, Kusini na sasa Nyasa anapata nyomi ya kutosha kabisa.
Ila jijini Dar es Salaam CHADEMA...
Habari vijana wenzangu,
Binafsi Mimi siyajui machungu ya kuwa jobless. Nimemaliza tu kidato cha sita kisha kwenda JKT nikaajiriwa. Niliacha kazi mwenyewe na kupata kazi nyingine soon.
Mimi sio...
Kwa kuwa Dkt. Hassan Abbas ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ni ambayo ni nafasi yenye majukumu mengi na mazito ya kiutawala huku akiendelea kuwa Msemaji...
Hiki chama hakijawahi kuwa na shughuli ndogo kwenye chaguzi. Huwa wanaupiga mwingi sana. Na ukweli tu wananchi wengi bado tuna tumaini na hiki chama kama chama pekee cha upinzani Tanzania.
Mwaka...
Suleiman Mzee awaaga Watumishi wa Jeshi la Magereza, leo Agosti 4, 2022 katika Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi hilo, awaosia mambo kadhaa ya kuzingatia;
Mosi, Pendaneni, Shirikianeni na muwe kitu...
Nimekuwa ni kijaribu kufanya utafiti juu ya jina la Ndumilakuwili kuwa ni nini. Ndipo nikaamua kutafuta picha yake.
Nimevuta hisia zangu sasa mtu akiwa ndumilakuwili ni mtu wa aina...
Askofu Gamanywa amesema Wewe unayeogopa kufa unataka ufe mara ngapi? Kwani hapa duniani unachofaidi ni nini hasa zaidi ya kutenda dhambi na kuandamana na pepo wachafu
Askofu amesema hata yeye...
Zamani Mtanzania alikuwa ana ya kujivunia. Tulikuwa tunaona raha tuendapo nje watu wakitusifia jinsi nchi yetu ilivyo na misimamo thabiti, siasa inayoeleweka, viongozi wenye taaluma, amani na...
Yaani viongozi waliofariki ndio walikuwa watu wabaya? Hayati Benjami Mkapa, hayati JPM? Je Hayati Sokoine aliyefariki mapema huku taifa likimuhitaji? Vipi kuhusu wapigania uhuru kibao wa Tanzania...
Kama una karama ya kutafsiri lugha utakuwa umenielewa vizuri.
Kila kiongozi anayeongea anakuwa na lengo maalumu hakuna anayeropoka.
Kwa mfano waziri wa fedha anasema Deni la Taifa ni Public +...
Wanabodi,
Heri ya Mwaka Mpya 2017.
Hizi ni salaam zangu kwa wana jf wenzangu kuwa kwa mwaka 2016 na miaka ya nyuma, sote tumeshuhudia jinsi JF ilivyo na impact kwa mustakabali wa taifa hili...
Nimelala nikakosa usingizi usiku wa leo nikiwaza, ndege yetu ya Tanzania ilifikaje Uholanzi?
1. Hatuna route ya kwenda Uholanzi
2. Hakuna connection useme ilipitia huko ikakamatwa
3. Haikwenda...
Hata Ulaya ilikuwa hivyo, watu binafsi wanakopa fedha kwa manufaa yao binafsi halafu nchi au Serikali ina guarantee hiyo mikopo kwa kodi za Wananchi, maana yake ni kwamba kama akishindwa kulipa...
Wanajua jinsi Tundu Lisu alivyopigwa risasi na nani hata yeye Tundu Lisu anajua jinsi alivyojitoa kafara na alivyopata ukilema wa maisha, yote hii sababu ya power, na ndiyo maana wanajitoa akili...
Imefahamika kuwa licha ya Jeshi la Wanamaji kujulishwa tukio la ajali, Boti rasmi ya uokoaji ya Kitengo cha Wanamaji ilichelewa kufika eneo la ajali na sababu ni kwamba haikuwepo katika Bandari ya...
Hutokufa (nani alisema Rais atakufa? Je alishatishiwa na sasa anahakikishiwa kuwa asiwe na shaka hatokufa?)
Mtu mbaya kwa akina nani ndiye ambaye ataishi? Mtu mwema kwa akina nani ndiye...
Nikiwa mdogo mwaka 1986 jirani yetu ambaye alikuwa anakaa kwenye nyumba za msajili njia ya Sanawari. Alikuwa mpole, mrefu na anaonekana tofauti sana kulinganisha na vijana wengine pale.
Mzee...
Tabia ya ubinafsi inaliua taifa. Mali ya taifa siyo ya mtu mmoja,siyo ya familia moja. Na watu wengine wanatuambia kwamba hakuna mtu mwenye hati miliki ya nchi hii wakati tunaona wao wenyewe ndio...
Matokeo Mkutano Mkuu CCM. Watoto Pendwa pamoja na kugawa ATM za kutosha kila Mkoa. Hali zao ni mbaya ndani ya CCM. Msukuma ana nguvu kuliko Makamba. Innocent Bashungwa amewazunguka karibu mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.