Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , kwenye uchaguzi wa CCM uliofanyika huko Dodoma, Waziri Simbachawene ni miongoni mwa Antonin Panenka waliokataliwa kuingia kwenye Halmashauri ya chama hicho ...
CCM ni chama kikubwa hapa Africa na dunia nzima. Bahati nimezunguka mahala pengi hapa duniani. Ulikiwa ukienda Botswana, Zimbabwe au hata South Afriaca ulikuwa ukikutana na raia wa huko lazima...
Dodoma. Siku moja baada ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitisha marekebisho ya katiba ambayo imerudisha mfumo wa kofia mbili, wadau na wanasiasa wametofautiana wakitaka liangaliwe upya.
Katika...
Dalili ya mvua ni mawingu, hali hii inatokana na matamshi na vision ya kiongozi aliyeko Madarakani.
Si kweli kwamba utaratibu wa uwekezaji nchini ni mbaya, nakataa hili kwa ushahidi kwa kupitia...
Kwanza kabisa, naweka wazi ya kwamba mimi ni mpenzi wa chama cha mapinduzi.
Pia ni mfuatiliaji mzuri wa siasa za nchi hii ,za chama cha mapinduzi na za vyama mbadala vya siasa.
Nimeiona niliweke...
Inaelekea serikali ya rais Samia itavunja na kupangua Baraza la Mawaziri
Kwa mjibu wa Samia kuna watendaji ni wabovu ndani ya Serikali yake.
NB: Watu wataanza kwenda kwa sangoma 😀😀😀!
Nakumbuka ilifikia mahala tuliona aibu kuvaa sare za hiki chama ,chama kilijaa wapigaji waliojimilikisha raslimali za chama chetu,
Chama kiliishi kwa kutembeza bakuri kwa watanzania wenzetu wenye...
Iringa, Tanzania
KONGAMANO KUBWA LA WEWE MWANA CHADEMA 10 /12/2022
Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa kupitia CHADEMA Peter Msigwa anawakaribisha Kongamano la wewe mwana CHADEMA fika Gangilonga mjini...
Jamani jamani nimeinyaka nimeinyaka jamani Busara ni muhimu jamani humo ndani ya cc kimenukishwa na Mzee wa Msoga kama vile kanusa kama nabii akasema jamani jamani.
Ni hivi wenye nguvu ndani ya...
Mama ameona shamba lake la matunda haliendi vizuri. Hivyo, anatarajia kukata miti yote isiyozaa matunda na kupanda miti mingine inayozaa matunda.
Kwa maoni yako unafikiri:-
1. Miti gani ikatwe...
KWA TAKWIMU HIZI ZA DENI LA TAIFA HAKIKA TUNAANGAMIA.
01. Awamu ya kwanza chini ya Mwl. Nyerere alieongoza kwa miaka zaidi ya miaka 20.
-Deni la Taifa lilipotoka mwaka 1979 mara tu baada ya vita...
CCM imekamilisha kupanga timu ya kusaka kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Mabadiliko ya watendaji serikalini yanatarajiwa kufanyika hivi punde kwa lengo hilo hilo la kuvutia kura za...
Juzi mzee makamba alitoa kauli yenye ukakasi ambayo ilisema "WAZURI HAWAFI" Hii kauli imeibua hoja tofauti kutoka wanachama wa CCM na wasio CCM . Ukizingatia kauli hii imetolewa na Kiongozi mkuu...
Unjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.
Hapa nielewe sijamaanisha...
Watu walikuwa wanasema subiri Magufuli aondoke madarakani jamaa ata suffer sana. Anachukiwa hata na CCM wenzie.
Leo hii si kwamba Magufuli hayupo Madarakani. Ni kwamba hayupo kabisa Duniani. Na...
Shaka Hamdu Shaka ambaye ni Katibu wa Itikadi na Uenezi ametangaza kuwa uchaguzi wa Sekretariet ya CCM uliokuwa ufanyike leo umeahirishwa. Amedai uchaguzi huo utafanyika siku zijazo na pengine...
Nimeamini sasa tunahitaji mabadiliko makubwa sana.
Ebu fikiri, hawa ni wazee wanaotegemewa katika Taifa, lakini mambo yao ni ovyo kabisa.
1. Huyu anatuambia eti hakuna Mwana CCM au Mtanzania...
Salaam Wakuu,
Huyu Baba wetu wa Kiroho nimeanza kumkatia tamaa. Ana ahadi za Uongo. Alidai kanunua vichwa vya treni ya Mwendo kazi kwa Matumizi ya Tanzania, akadai ataleta bodi za Uvuvi na...
Rais Samia amesema CCM itaendeleza Vikao vya Maridhiano kwa vyama vyote vya siasa kwa mustakabali mwema wa siasa za nchi yetu
Hata hivyo Rais Samia amewataka viongozi wa Kisiasa kumkumbuka kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.