TBC, mnawatia aibu Watanzania

TBC, mnawatia aibu Watanzania

Daisam

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2016
Posts
2,622
Reaction score
3,144
Leo nimefuatilia katika matangazo yenu kuhusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Kwa asilimia kubwa mnajitahidi sana kutomtaja John Pombe Magufuli katika ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Sijajua kama ni maelekezo au ni matatizo yenu tu ya kutaka kujikomba kwa wenye mamlaka.

Mtanzania yeyote mwenye kichwa kizuri kabisa hawezi kuzungumzia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma bila kumtaja John Pombe Magufuli.

Ukiachana na Mwl. Nyerere, JPM ni Rais pekee aliyeshupalia ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Ndio maana Watanzania wengi si wapenzi wa kusikiliza TBC, kwa sababu kama hizo.

Badilikeni, hizi ni nyakati nyingine. Hilo hata mtoto mdogo kabisa wa darasa la kwanza anajua.
 
Bahati mbaya ni afrika, yaani hata tasnia isiyofungamana na kuegemea upande mwingine, mbele ya siasa all are nothing!.
 
Leo nimefuatilia katika matangazo yenu kuhusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Kwa asilimia kubwa mnajitahidi sana kutomtaja JPM katika ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Sijajua kama ni maelekezo au ni matatizo yenu tu ya kutaka kujikomba kwa wenye mamlaka.

Mtanzania yeyote mwenye kichwa kizuri kabisa hawezi kuzungumzia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma bila kumtaja JPM.

Ukiachana na Mwl. Nyerere, JPM ni Rais pekee aliyeshupalia ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Ndo maana Watanzania wengi si wapenzi wa kusikiliza TBC, kwa sababu kama hizo.

Badilikeni, hizi ni nyakati nyingine.

Hilo hata mtoto mdogo kabisa wa darasa la kwanza anajua.
Hao walikuwaga na kipindi maalum cha "Kishindo cha awamu ya 5"..

Wanajua kujikomba hao nyie acheni tu..
 
Nilidhani ni Mimi peke yangu Ndiyo sikuelewa niliposikia wakati naangalia hiyo TBC. Nilishangaa sana Magu kutokutajwa ikiwa yeye ndiyo wa kwanza kuishi hiyo ikulu

..... TBC Badilikeni kwa kweli.... Watu bado wanaangalia kituo chenu kujirishidhisha kama mmebadilika au Bado.
 
Sio TBC tu wateuliwa karibu wote wanaogopa kuusema ukweli unaomuhusu Tingatinga, Jiwe mzee wa "hapa kazi tu" mwana mapinduzi mzalendo wa Afrika Hayati Kipenzi cha watanzania John Joseph Pombe Magufuli Ng'wana Suzana.... Shimba Nale.. alieifumbua macho jamii kubwa ya waafrica. Mzalendo wa kweli, asiepindisha akiamua jambo, anaechukiwa na majizi, mashoga, wauza ngada, wala rushwa, wazembe, majambazi, wakwepa kodi, wajinga nk. Rais tunaekula matunda ya maamuzi yake kwa miaka mingi. JPM... hatasaulika kamwe.
 
tatizo magufuri hakwepeki hata kidogo...tunasubili reli...bado bwawa la umemee lazima tbc imtaje tu itake isitake welcome 2025
Reli amejenga Dar to Morogoro Hilo halina shaka credit kwake na mtangulizi wake aliyeamuandalia usanifu,mipango na fedha!
Samia anajenga Moro-Dodoma-Singida-Tabora- Shinyanga-Mwanza

Bwawa la Nyerere credit nyingi zinaenda kwake JPm Kwa kuwa ulikuwa uamuzi wake. Samia anamalizia.
 
Reli amejenga Dar to Morogoro Hilo halina shaka credit kwake na mtangulizi wake aliyeamuandalia usanifu,mipango na fedha!
Samia anajenga Moro-Dodoma-Singida-Tabora- Shinyanga-Mwanza

Bwawa la Nyerere credit nyingi zinaenda kwake JPm Kwa kuwa ulikuwa uamuzi wake. Samia anamalizia.
Mada ni Ikulu unayoikwepa kama TBC.
 
Reli amejenga Dar to Morogoro Hilo halina shaka credit kwake na mtangulizi wake aliyeamuandalia usanifu,mipango na fedha!
Samia anajenga Moro-Dodoma-Singida-Tabora- Shinyanga-Mwanza

Bwawa la Nyerere credit nyingi zinaenda kwake JPm Kwa kuwa ulikuwa uamuzi wake. Samia anamalizia.
Kwenye wizi wa mradi wa reli moro-dom-singida mnasema magu ndo aliiba. Kwenye mafanikio mnataja awamu ya sita. Tuwaeleweje?
 
Leo nimefuatilia katika matangazo yenu kuhusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Kwa asilimia kubwa mnajitahidi sana kutomtaja JPM katika ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Sijajua kama ni maelekezo au ni matatizo yenu tu ya kutaka kujikomba kwa wenye mamlaka.

Mtanzania yeyote mwenye kichwa kizuri kabisa hawezi kuzungumzia ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma bila kumtaja JPM.

Ukiachana na Mwl. Nyerere, JPM ni Rais pekee aliyeshupalia ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Ndo maana Watanzania wengi si wapenzi wa kusikiliza TBC, kwa sababu kama hizo.

Badilikeni, hizi ni nyakati nyingine.

Hilo hata mtoto mdogo kabisa wa darasa la kwanza anajua.

Trash
 
Back
Top Bottom