johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,048
- 142,159
Sijamuona Tundu Antipas Lissu mgombea Urais wa Chadema kwenye uzinduzi wa Ikulu ya Chamwino
Nilitegemea angetua na chopa kuhudhuria show na baadae angerejea Kigoma
Haya ni matukio muhimu sana ya kuhudhuria wakati Huu wa Maridhiano, Chadema mnafeli sana
Sabato Njema!
Nilitegemea angetua na chopa kuhudhuria show na baadae angerejea Kigoma
Haya ni matukio muhimu sana ya kuhudhuria wakati Huu wa Maridhiano, Chadema mnafeli sana
Sabato Njema!