Akili, ujuzi na uzoefu, siku zote vinakupeleka kwenye mafanikio makubwa.
AKILI
Utafiti ule wa TWAWEZA ulionesha kuwa CHADEMA inaungwa mkono zaidi na wasomi, huku CCM ikiungwa mkono zaidi na...
Sijaelewa kama hizi bendera mpya za Chadema hapa Bagamoyo ndio maandalizi ya Mikutano ya hadhara au kampeni za Diwani
Bagamoyo watakuwa na uchaguzi wa Diwani siku ya Jumamosi
Akichangia bajeti ya waziri mkuu, mbunge wa Arusha mjini, Mrisho Gambo ameongelea sekta ya madini ikiwemo mabadiliko yaliyopelekea kuhamisha soko la madini kutoka Arusha kwenda Mirerani na hasara...
KAMA HAYATI MAGUFULI ANGEKUWA HAI,ZITO KABWE ANGETUELEZEA VIZURI DENI LA TRILIONI 91 LIMEFANYA NINI TANZANIA.
Leo 13:15hrs 11/12/2022
Mara ya mwisho kusikia habari ya deni la Taifa ilikuwa...
Utangulizi:
Yoabu alikuwa ni Mkuu wa Majeshi au Jemedali wa Jeshi la Israel wakati wa Mfalme Daudi.
Habari za Yoabu na Mfalme Daudi utazipata kwa kina ktk Kitabu cha Biblia cha Samweli wa kwanza...
Ndugu zangu pamoja na mambo mengi yaliyopita tangu Tupate uhuru ni wazi kuwa kwa sehemu fulani Rais Samia amekuwa Rais Bora miongoni mwa waliokuwa bora.
Hili linakuja kutokana na mchango wake...
The Biden administration is hosting a summit this week that brings together leaders of 49 African countries, as well as heads of the African Union, to collaborate on key policy across climate...
Angalia CCM walichofanya;
1. Wanafunzi wa vyuo karibia wote wanapewa kadi za UVCCM kwahiyo ni wanaccm
2. Machinga na Wafanyabiashara ndogo ndogo kwa asilimia zaidi ya 90 wanapaita mikopo ya...
Nimefika katika hospitali mbali mbali ndani ya msimu huu wa mafua ya kawaida na sikukuu za mwisho wa mwaka.
Katika hospitali zote nilizokwenda kama mgonjwa au kupeleka wagonjwa nimethibitisha...
Hivi mlitaka Serikali ya Zanzibar ifanye nini kwenye hili? Mnatakiwa kutambua kuwa Mv. Maendeleo imeanza kufanya kazi tangu mwaka 1980 ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 600 na mizigo takribani tan...
Duniani kote usafiri wa reli ndiyo usafiri wa bei rahisi sana kuliko usafiri mwingine wowote. Malengo makuu ya kuboresha usafiri huu kwa kiwango cha SGR yalikuwa:
~Trip moja ya treni ya mizigo...
Hii ni barua ya wazi Kwa IGP wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, ninaekuandikia barua ni raia mwema nisiye na masilahi yoyote na watumishi wako, ila ni Mtanzania ambaye ningependa watendaji...
Ally Salum Hapi ni kijana mzaliwa wa Nzega mkoani Tabora. Kijana huyu anayetoka katika familia ya kawaida kabisa (si ya kitajiri au uwezo wa kifedha) alipata elimu yake ya shule ya Msingi humo...
Waziri wa Fedha na mipango Dr. Mwigulu Nchemba akizungumza na Clouds 360 asubuhi hii kuhusu Deni la Taifa amesema Tanzania ni nchi iliyo na sifa nzuri kimataifa, ikiwemo kuwa na uwezo wa...
Mdau kwenye mtandao wa Twitter ametoa hoja yake kuhusu bima na kuwatag Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, Viongozi wa Taasisi ya NHIF na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi...
Mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA Godbless Lema amesema hakubaliani na baadhi ya mambo yaliyozungumzwa na Mbowe na atahoji mwenye Kamati Kuu.
Lema amesema haiamini CCM wala Maridhiano na alishangaa...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema mh Lema amesema CCM wamemaliza Kipanga safu yao ya uongozi pale Dodoma juzi wakiusubiri Uchaguzi.
Chadema itafanya Uchaguzi wa Viongozi wake mwakani na Kuanzia...
Tuvute kumbu kumbu:
Hawa ndugu na wadhamini wao wangalipo madarakani na kazi inaendelea. Maajabu ya Mussa!
Ama kweli kama nchi tuna matatizo!
Tunaridhiana nao nini hawa?
Haiko hivi katika nchi zingine. NIsiache kumkumbuka yoga, kwetu ni kampuni la watu na familia zao.
Mifano ni mingi hata hivyo tuanzie na elimu ya juu, tuelewe ya loan board. Elimu ya juu rasmi ni...
Waziri wa Fedha Dkt. Mwiguli Nchemba alizungumzia suala la wafanyabiashara wadogo (wamachinga), Dkt. Mwigulu aliwataka waendelee kutulia kutokana na suala la ulipaji kodi kwasababu limeshafika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.