Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kitendawili? Tega. Hivyo sio nchi invyoendeshwa kisayansi, Haijalishi chama kinamuweka nani kileleni kwenye nchi ambayo zina civil services zilizo imara (na ya kwetu ovyo). Mweh, acha tu...
1 Reactions
63 Replies
2K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imeipongeza serikali kwa kuanza kuboresha mazingira ya haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kutoa maoni. Hayo yalisemwa na Chama hiko wakati...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Chama hicho Duniani kote leo. Kwamba Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mandela wa Eneo la Maziwa Makuu, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh...
11 Reactions
43 Replies
3K Views
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimetakiwa kusimamia ubora wa elimu inayotolewa chuoni hapo ili kuhakikisha hadhi ya Chuo na elimu ya Tanzania kwa ujumla inalindwa. Hayo yamesemwa leo na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika kile tulichokiita kama fungua kikao cha Bunge sisi wakazi wa Dodoma na wana-CHADEMA kesho tutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara pale viwanja vya barafu kupokea maoni ya wananchi na kuwapa...
0 Reactions
64 Replies
5K Views
Hatukumuelewa mzee wetu, hili nililisema na nitaendelea kulisema hilihili mpaka kiama. Mzee alijua kuwa kijana yule hakuwa "President material" at al,l ila kwa kuwa watu wengi ama kwa kudanganywa...
43 Reactions
240 Replies
12K Views
Nchi hii ina Watu wa Ajabu kabisa. Hata kuwe na MIJADALA MUHIMU kwa TAIFA km suala la UMEME MAJI au UFISADI Ukitaka. Watanzania Waache KUUJADILI MIJADALA hiyo wewe Anzisha tu MJADALA Mwingine...
0 Reactions
2 Replies
442 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) kinatarajia kuanza ujenzi wa ofisi yake ya kisasa ya Chama kwa Mkoa wa Iringa . Huu ndio Muonekano wa ofisi hiyo utakavyokuwa Toa maoni yako
9 Reactions
42 Replies
4K Views
Habari wadau! Tukutane hapa kujua yanayojiri leo mwanza kwenye mahadhimisho ya miaka ya miaka 58 ya uhuru wa Tanganyika: Update: Majeshi mbalimbali ya gwaride yanaingia uwanjani. Updates: Waziri...
13 Reactions
568 Replies
57K Views
Nawauliza serikali yetu ya Tanzania, toka nakua enzi za Mtukufu Raisi Nyerere, kila sherehe kubwa ya kitaifa, linatoka Tangazo kwamba Raisi amesamehe Wafungwa kadhaa Hivi Marais mnapokabidhiwa...
1 Reactions
1 Replies
503 Views
Hatimaye mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ametegua kitendawili cha namna alivyoiepuka kesi ya ugaidi. Mbowe amesema, "Ni nani Katika hii Dunia apewe msamaha na Rais halafu aukatae huo...
5 Reactions
83 Replies
3K Views
Boda boda kufungwa Tela, ili kuzuia Ajali. Dar es Salaam. Ni siku saba tangu ameteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amekuwa mjadala katika vyombo vya habari kutokana na kauli na...
1 Reactions
138 Replies
22K Views
Huu ndiyo ulio ukweli mchungu: Mkwamo wetu uko hapa. Uhai wetu utarejea kwa kujikwamua kutoka hapa. Ukweli huu ni mwiba mchungu mno kwa ule upande mwingine uliojaa ulaghai na ubinafsi...
23 Reactions
98 Replies
4K Views
Binafsi nimepata mshtuko mkubwa baada ya kuona ongezeko kubwa la deni la taifa kufikia trillion 91 kutoka trillion 60.9 mwezi April 2021 wakati Samia anashika madaraka. Kwa hesabu ya haraka ni...
22 Reactions
57 Replies
3K Views
Rais Magufuli: Nakuagiza Waziri, waambie ATCL hata kama ni mara moja waanze kuja hapa Mpanda, na mimi sitoki hapa bila kupanda ATCL. Hakuna kisingizio cha kutoleta ndege, vyote vilivyokuwa...
7 Reactions
100 Replies
11K Views
FAHARI KUU KUSABABISHA RAIS SAMIA KUPATA TUZO YA UTALII. Suphian Juma Nkuwi, nikiwa kama mmoja wa waratibu wa Tamasha la Kimataifa la Miss Jungle International, nimefurahi sana kumkabidhi Rais...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Hivi ndivyo ilivyokuwa leo tarehe 8/12/2022 ambapo kulikuwa na vikao vya faragha vya kujadili Haki, Usawa na Demokrasia ikiwa ni maandalizi ya kuhitimisha vikao vya IDU hapo kesho. Hapa akiteta...
36 Reactions
91 Replies
5K Views
Hata wabunge hawataki kuisoma hii michezo lakini baada ya TISS kuona ugumu wa Tundu Lissu kuhamia ACT kwa maana ya kuimaliza CHADEMA Plan B ikapangwa nayo ni kuupaisha umaarufu wa ZITO kwa gharama...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Hakuna haja ya kuongea sana. Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida. Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno. Cha ajabu zaidi ni...
25 Reactions
95 Replies
10K Views
Nimekuwa nikiisoma barua ya Butiku, now and then, natafakari mshangao wake kumuona Mkapa alivyobadili baada ya kuukwaa urais. Mshangao wake unaibua maswali mengi ikiwa pamoja na: i) kwamba ina...
3 Reactions
139 Replies
14K Views
Back
Top Bottom