Kitendawili?
Tega.
Hivyo sio nchi invyoendeshwa kisayansi,
Haijalishi chama kinamuweka nani kileleni kwenye nchi ambayo zina civil services zilizo imara (na ya kwetu ovyo).
Mweh, acha tu...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imeipongeza serikali kwa kuanza kuboresha mazingira ya haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kutoa maoni. Hayo yalisemwa na Chama hiko wakati...
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Chama hicho Duniani kote leo.
Kwamba Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mandela wa Eneo la Maziwa Makuu, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh...
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimetakiwa kusimamia ubora wa elimu inayotolewa chuoni hapo ili kuhakikisha hadhi ya Chuo na elimu ya Tanzania kwa ujumla inalindwa.
Hayo yamesemwa leo na...
Katika kile tulichokiita kama fungua kikao cha Bunge sisi wakazi wa Dodoma na wana-CHADEMA kesho tutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara pale viwanja vya barafu kupokea maoni ya wananchi na kuwapa...
Hatukumuelewa mzee wetu, hili nililisema na nitaendelea kulisema hilihili mpaka kiama.
Mzee alijua kuwa kijana yule hakuwa "President material" at al,l ila kwa kuwa watu wengi ama kwa kudanganywa...
Nchi hii ina Watu wa Ajabu kabisa.
Hata kuwe na MIJADALA MUHIMU kwa TAIFA km suala la UMEME MAJI au UFISADI Ukitaka.
Watanzania Waache KUUJADILI MIJADALA hiyo wewe Anzisha tu MJADALA Mwingine...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) kinatarajia kuanza ujenzi wa ofisi yake ya kisasa ya Chama kwa Mkoa wa Iringa .
Huu ndio Muonekano wa ofisi hiyo utakavyokuwa
Toa maoni yako
Habari wadau! Tukutane hapa kujua yanayojiri leo mwanza kwenye mahadhimisho ya miaka ya miaka 58 ya uhuru wa Tanganyika:
Update: Majeshi mbalimbali ya gwaride yanaingia uwanjani.
Updates: Waziri...
Nawauliza serikali yetu ya Tanzania, toka nakua enzi za Mtukufu Raisi Nyerere, kila sherehe kubwa ya kitaifa, linatoka Tangazo kwamba Raisi amesamehe Wafungwa kadhaa
Hivi Marais mnapokabidhiwa...
Hatimaye mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ametegua kitendawili cha namna alivyoiepuka kesi ya ugaidi.
Mbowe amesema, "Ni nani Katika hii Dunia apewe msamaha na Rais halafu aukatae huo...
Boda boda kufungwa Tela, ili kuzuia Ajali.
Dar es Salaam. Ni siku saba tangu ameteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amekuwa mjadala katika vyombo vya habari kutokana na kauli na...
Huu ndiyo ulio ukweli mchungu:
Mkwamo wetu uko hapa. Uhai wetu utarejea kwa kujikwamua kutoka hapa.
Ukweli huu ni mwiba mchungu mno kwa ule upande mwingine uliojaa ulaghai na ubinafsi...
Binafsi nimepata mshtuko mkubwa baada ya kuona ongezeko kubwa la deni la taifa kufikia trillion 91 kutoka trillion 60.9 mwezi April 2021 wakati Samia anashika madaraka. Kwa hesabu ya haraka ni...
Rais Magufuli:
Nakuagiza Waziri, waambie ATCL hata kama ni mara moja waanze kuja hapa Mpanda, na mimi sitoki hapa bila kupanda ATCL. Hakuna kisingizio cha kutoleta ndege, vyote vilivyokuwa...
FAHARI KUU KUSABABISHA RAIS SAMIA KUPATA TUZO YA UTALII.
Suphian Juma Nkuwi, nikiwa kama mmoja wa waratibu wa Tamasha la Kimataifa la Miss Jungle International, nimefurahi sana kumkabidhi Rais...
Hivi ndivyo ilivyokuwa leo tarehe 8/12/2022 ambapo kulikuwa na vikao vya faragha vya kujadili Haki, Usawa na Demokrasia ikiwa ni maandalizi ya kuhitimisha vikao vya IDU hapo kesho.
Hapa akiteta...
Hata wabunge hawataki kuisoma hii michezo lakini baada ya TISS kuona ugumu wa Tundu Lissu kuhamia ACT kwa maana ya kuimaliza CHADEMA Plan B ikapangwa nayo ni kuupaisha umaarufu wa ZITO kwa gharama...
Hakuna haja ya kuongea sana.
Ktk historia ya siasa za CCM kuna jambo limezuka na jambo hilo sio la kawaida.
Ccm imebaki inaendesha mikutano ya ndani yenye vitisho vikali mno.
Cha ajabu zaidi ni...
Nimekuwa nikiisoma barua ya Butiku, now and then, natafakari mshangao wake kumuona Mkapa alivyobadili baada ya kuukwaa urais. Mshangao wake unaibua maswali mengi ikiwa pamoja na: i) kwamba ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.