Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa mujibu wa sheria kazi ya msingi ya jeshi la polisi ni kulinda raia na Mali zao, hii ni kazi inayohitaji wito Kama kua padri wa kirumi, inahitaji mtu muadilufu kama shehe wa kule makka...
0 Reactions
0 Replies
579 Views
Katibu wa umoja wa vijana wa CCM Khenan Kihongosi amemuonya Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza bwana Diallo kuwa aache upotoshaji mara moja, kitendo cha kusema baadhi ya viongozi waliopita...
15 Reactions
183 Replies
18K Views
Katibu mkuu wa UVCCM, Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge Humphrey Polepole awe na nidhamu na adabu katika serikali ya awamu ya 6 kama alivyofanya kwa serikali ya awamu ya 5. Hiyo ni baada ya...
28 Reactions
250 Replies
24K Views
Wote tunafahamu baadhi ya viongozi wamefikishwa kwenye vyombo vya sheria akiwemo JOHN PIMA aliyekuwa mkurugenzi wa jiji la Arusha, wito wangu ni kwamba wale wote walionufaika na mgao huo kupitia...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Usiku wakati tarehe 15 Mei 2023 ikielekea ukingoni Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu iliachia "PDF" ya Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa ambapo wakuu wa mikoa minne waliguswa na mabadiliko...
4 Reactions
71 Replies
9K Views
Mimi nianze kwa kumpongeza mbuge wa nyamagana na aliyekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza bw adam malima kwa kusemea kwa nguvu kubwa ukamilishaji wa uwanja wa ndege wa mwanza, jengo la abiria na miundo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nawasalimia wadau huku nikiwa nna gadhabu sana, kuna hizi ofisi Tatu nmebahatika kuzitembelea kwa vile nlikua nna shida huko wiki hii iliyoisha lakini nliyoyakuta nmegadhibika sana. 1. TRA...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari jamvini, Kama heading inavyojieleza,stendi ya Kijich itakuja kuwatia lawamani kama sio kitanzini. Barabara za Kijichi vibao vinaonesha mwisho ni 10t lakini cha ajabu yanaingia mabasi ya...
12 Reactions
40 Replies
4K Views
Ni kuwa ni bora Uchutame, Serikali nzima wanajua nini kilitokea kwenye kwenye Mfuko wa Kufa na Kuzikana,na pia ni nini kilitokea kwenye Mfuko wa Tuzo na Tozo!! Ni kuwa mpaka Mh.Rais anakuondoa...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Mbunge wa Tarime Vijijini Mwita Waitara amelalamika kutukanwa " Mpumbavu na Mshenzi" na mkuu wa mkoa wa Mara mbele ya Waziri wa Ardhi mh Mabula Mwita Waitara amewaambia waandishi wa habari...
17 Reactions
117 Replies
12K Views
Kumekuwa na mfululizo wa mashambulizi makali ya maneno ya kisiasa kutoka kwa Rais Samia na wasaidizi wake wa karibu dhidi ya mtangulizi wake marehemu Magufuli. Binafsi sifurahishwi nayo kwa kuwa...
32 Reactions
131 Replies
7K Views
Taarifa kutoka Mjini Njombe zinaelezwa kwamba Jiwe la Msingi lililokuwa na maandishi ya Uzinduzi wa mradi wa Maji Uliosimamiwa na Chadema limevunjwa na Maofisa wa Idara ya Maji Njombe...
5 Reactions
62 Replies
4K Views
Serikali inaposhughurikia swala la wafanyabiashara kariakoo ingetufikiria na sisi wafanyakazi: tunaonewa sana kwa kweli. Mifano iko wazi: 1. Kwa mfano, daktari akilala zamu anapolipwa call...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mada hii imawahi zungumzwa humu. Naomba kukazia zaidi. Kama wewe ni mfanyabiashara utaona kuwa biashara inachanganya mwisho wa mwezi. Baada ya wiki hivi inakata kabisa. Unakuwa unadunduliza tu...
1 Reactions
9 Replies
688 Views
Mh Tundu Lissu ni mwanasiasa machachali na aliyejaliwa kuwa na maneno mengi na kupenda kubishana mpaka aonekane lake ndilo la maana! Ni mwanasiasa na mwanasheria mzuri ambaye hajawahi kufanikiwa...
7 Reactions
63 Replies
3K Views
Hizi ni hofu au ndio protocal mpya? Tulishuhudia awamu ya mwendazake msafara wake ukiwa na Anti-ballistic missile sasa awamu hii naona Mama anazunguka na kiti chake haamini viti vya ugenini?
15 Reactions
104 Replies
10K Views
Wenje aunguruma Sengerema Sengerema. Mbunge wa zamani wa Nyamagana (Chadema), Ezekiel Wenje amesema Serikali imeshindwa kudhibiti mfumuko wa bei na kuwaacha wananchi wa Tanzania walikia na...
5 Reactions
8 Replies
2K Views
MHE. JACQUELINE KAINJA ACHANGIA MILIONI 3.6 UWT MKOA WA TABORA, AZINDUA JUKWAA LA WANAWAKE Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora, Mhe. Jacqueline Kainja amechangia Jumuiya ya Umoja wa Wanawake...
1 Reactions
0 Replies
729 Views
Nimesoma, na nimeisikiliza kwa umakini hotuba ya Wizara ya Elimu, Sayansi na teknolojia, sijasikia wala sijaona kipengele kilichozungumzia kinagaubaga maaendeleo ya sayansi na teknolojia nchini na...
0 Reactions
0 Replies
470 Views
Ujumbe Mahususi wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ambaye pia ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Dodoma,Ndugu Ngozi kwa wenye akili unapaswa kubebwa kwa uzito mkubwa!Ujumbe huu unakuja baada...
0 Reactions
1 Replies
766 Views
Back
Top Bottom