Rais Samia badala ya kutengua Waziri wa Fedha na Biashara, unatengua Mkuu wa Mkoa wa Mara?

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Sep 6, 2022
3,510
7,751
Rais Samia serikali yake haipendi viongozi wanaotatua matatizo ya wananchi? Kwa nini kila kiongozi active kutatua shida za wananchi na kulinda masilahi ya nchi anatenguliwa alafu wale wasiotatua shida za wananchi wanaachwa wakideka?

Sasa hivi kwenye serikali ya awamu ya 6 ni kama hakuna waziri wa viwanda na biashara, waziri aliyepo hatembelei viwanda wala wafanyabiashara na wakigoma anatoa majibu rahisi sana bila kuhofia masilahi ya nchi!

Waziri wa fedha nae ni shida kubwa ,sasa hivi kwa mfanyabiashara imekuwa shida sana kuagiza bidhaa nje ya nchi sababu ya upungufu wa dola nchini lakini waziri yupo kimyaaa.

Mkuu wa mkoa wa Mara Jenerali Mzee alipokuwa magereza aliwanyoosha wakalima hadi wakaanza kujitegemea wenyewe badala ya kutegemea serikali lakini alipoingia Rais Samia akamtengua na kumpeleka kuwa mkuu wa mkoa Mara ambako alianza kutumbua majibu ya mkoa ikiwemo wizi ,ukeketaji, na uwekaji alama kwenye mipaka ya mbuga ya Serengeti iliyokaa kwa miaka 50 bila kutekelezwa lakini Rais Samia amemtengua!!

Rais Samia unapenda viongozi wasio na impact yoyote kwa jamii na ndiyo maana serikali yako iko mbali na wanachi hasa wale wa kawaida.
 
Rais Samia serikali yake haipendi viongozi wanaotatua matatizo ya wananchi? Kwa nini kila kiongozi active kutatua shida za wananchi na kulinda masilahi ya nchi anatenguliwa alafu wale wasiotatua shida za wananchi wanaachwa wakideka?
Sasa hivi kwenye serikali ya awamu ya 6 ni kama hakuna waziri wa viwanda na biashara, waziri aliyepo hatembelei viwanda wala wafanyabiashara na wakigoma anatoa majibu rahisi sana bila kuhofia masilahi ya nchi!
Waziri wa fedha nae ni shida kubwa ,sasa hivi kwa mfanyabiashara imekuwa shida sana kuagiza bidhaa nje ya nchi sababu ya upungufu wa dola nchini lakini waziri yupo kimyaaa.

Mkuu wa mkoa wa Mara Jenerali Mzee alipokuwa magereza aliwanyoosha wakalima hadi wakaanza kujitegemea wenyewe badala ya kutegemea serikali lakini alipoingia Rais Samia akamtengua na kumpeleka kuwa mkuu wa mkoa Mara ambako alianza kutumbua majibu ya mkoa ikiwemo wizi ,ukeketaji, na uwekaji alama kwenye mipaka ya mbuga ya Serengeti iliyokaa kwa miaka 50 bila kutekelezwa lakini Rais Samia amemtengua!!

Rais Samia unapenda viongozi wasio na impact yoyote kwa jamii na ndiyo maana serikali yako iko mbali na wanachi hasa wale wa kawaida.
Hali imekuwa mbaya sana!!
 
Rais Samia serikali yake haipendi viongozi wanaotatua matatizo ya wananchi? Kwa nini kila kiongozi active kutatua shida za wananchi na kulinda masilahi ya nchi anatenguliwa alafu wale wasiotatua shida za wananchi wanaachwa wakideka?
Sasa hivi kwenye serikali ya awamu ya 6 ni kama hakuna waziri wa viwanda na biashara, waziri aliyepo hatembelei viwanda wala wafanyabiashara na wakigoma anatoa majibu rahisi sana bila kuhofia masilahi ya nchi!
Waziri wa fedha nae ni shida kubwa ,sasa hivi kwa mfanyabiashara imekuwa shida sana kuagiza bidhaa nje ya nchi sababu ya upungufu wa dola nchini lakini waziri yupo kimyaaa.

Mkuu wa mkoa wa Mara Jenerali Mzee alipokuwa magereza aliwanyoosha wakalima hadi wakaanza kujitegemea wenyewe badala ya kutegemea serikali lakini alipoingia Rais Samia akamtengua na kumpeleka kuwa mkuu wa mkoa Mara ambako alianza kutumbua majibu ya mkoa ikiwemo wizi ,ukeketaji, na uwekaji alama kwenye mipaka ya mbuga ya Serengeti iliyokaa kwa miaka 50 bila kutekelezwa lakini Rais Samia amemtengua!!

Rais Samia unapenda viongozi wasio na impact yoyote kwa jamii na ndiyo maana serikali yako iko mbali na wanachi hasa wale wa kawaida.
Sio bure
Unatatizo la Afya ya Akili kijana
 
Kiasili namba sita ni lame duck. Serikali hii ni kuachana nayo ipite haitaleta cha maana chochote.

In short serikali hii haijapigwa kura wala hakuna ahadi yoyote waliyotoa kwa wananchi. Achana nao souless waongoze nchi kwa msaada wa uovu. Tunasubiria Mungu atupe kiongozi mwingine Shupavu na mwenye Nafsi.
 
Kiasili namba sita ni lame duck. Serikali hii ni kuachana nayo ipite haitaleta cha maana chochote.

In short serikali hii haijapigwa kura wala hakuna ahadi yoyote waliyotoa kwa wananchi. Achana nao souless waongoze nchi kwa msaada wa uovu. Tunasubiria Mungu atupe kiongozi mwingine Shupavu na mwenye Nafsi.
Amina
 
Rais Samia serikali yake haipendi viongozi wanaotatua matatizo ya wananchi? Kwa nini kila kiongozi active kutatua shida za wananchi na kulinda masilahi ya nchi anatenguliwa alafu wale wasiotatua shida za wananchi wanaachwa wakideka?

Sasa hivi kwenye serikali ya awamu ya 6 ni kama hakuna waziri wa viwanda na biashara, waziri aliyepo hatembelei viwanda wala wafanyabiashara na wakigoma anatoa majibu rahisi sana bila kuhofia masilahi ya nchi!

Waziri wa fedha nae ni shida kubwa ,sasa hivi kwa mfanyabiashara imekuwa shida sana kuagiza bidhaa nje ya nchi sababu ya upungufu wa dola nchini lakini waziri yupo kimyaaa.

Mkuu wa mkoa wa Mara Jenerali Mzee alipokuwa magereza aliwanyoosha wakalima hadi wakaanza kujitegemea wenyewe badala ya kutegemea serikali lakini alipoingia Rais Samia akamtengua na kumpeleka kuwa mkuu wa mkoa Mara ambako alianza kutumbua majibu ya mkoa ikiwemo wizi ,ukeketaji, na uwekaji alama kwenye mipaka ya mbuga ya Serengeti iliyokaa kwa miaka 50 bila kutekelezwa lakini Rais Samia amemtengua!!

Rais Samia unapenda viongozi wasio na impact yoyote kwa jamii na ndiyo maana serikali yako iko mbali na wanachi hasa wale wa kawaida.
atakayekusikiliza au kukuelewa wewe ni mwehu mwenzako. Sisi tunakujua tangia afe Magu umechannganyikiwa, solution pekee mfuate wewe huwezi kuishi tena humu duniani na binadamu wenzako maana kila moja utamwona hafai. Halafu kinachokusumbua ni usukuma, kila ambaye siyo msukuma hafai. Anzisheni nchi yenu ya kisukuma km wasomali, sukuma land.
 
atakayekusikiliza au kukuelewa wewe ni mwehu mwenzako. Sisi tunakujua tangia afe Magu umechannganyikiwa, solution pekee mfuate wewe huwezi kuishi tena humu duniani na binadamu wenzako maana kila moja utamwona hafai. Halafu kinachokusumbua ni usukuma, kila ambaye siyo msukuma hafai. Anzisheni nchi yenu ya kisukuma km wasomali, sukuma land.
Jikite kwenye hoja
 
Huyu mama serikali imeishamshinda longtime ago hapa yupoyupo tu hata ukimuuliza leo ni siku gani , hajui yaani kuendesha nchi kwa taarabu kama familia yako kamwe hauwezi kutoboa.
huyo mamako ndiyo nyumba imemshinda. Rais wetu huyu kwetu sisi ni miracle na mwaka huu wa fedha aneenda kufanya miujiza mikubwa kuanza ujenzi wa barabara saba kwa kiwango lami KM 2,035 hii haijawahi kutokea na haitatokea tena.
 
Rais Samia serikali yake haipendi viongozi wanaotatua matatizo ya wananchi? Kwa nini kila kiongozi active kutatua shida za wananchi na kulinda masilahi ya nchi anatenguliwa alafu wale wasiotatua shida za wananchi wanaachwa wakideka?

Sasa hivi kwenye serikali ya awamu ya 6 ni kama hakuna waziri wa viwanda na biashara, waziri aliyepo hatembelei viwanda wala wafanyabiashara na wakigoma anatoa majibu rahisi sana bila kuhofia masilahi ya nchi!

Waziri wa fedha nae ni shida kubwa ,sasa hivi kwa mfanyabiashara imekuwa shida sana kuagiza bidhaa nje ya nchi sababu ya upungufu wa dola nchini lakini waziri yupo kimyaaa.

Mkuu wa mkoa wa Mara Jenerali Mzee alipokuwa magereza aliwanyoosha wakalima hadi wakaanza kujitegemea wenyewe badala ya kutegemea serikali lakini alipoingia Rais Samia akamtengua na kumpeleka kuwa mkuu wa mkoa Mara ambako alianza kutumbua majibu ya mkoa ikiwemo wizi ,ukeketaji, na uwekaji alama kwenye mipaka ya mbuga ya Serengeti iliyokaa kwa miaka 50 bila kutekelezwa lakini Rais Samia amemtengua!!

Rais Samia unapenda viongozi wasio na impact yoyote kwa jamii na ndiyo maana serikali yako iko mbali na wanachi hasa wale wa kawaida.
Utatenguliwa wewe, Waziri wa Fedha hatenguliwi Kwa majungu.
 
Back
Top Bottom