Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Maandamano makubwa mjini Nchi hii ngumu sana
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwanini Wanajiita CHAWA na hawataki kuitwa Wafuasi au hata Wapambe Ujue hilo Neno CHAWA limeambatana na Ushirikina mwingi wa kinyota Fanya Utafiti utagundua Mwanasiasa anopokuwa na Ongezeko la...
0 Reactions
1 Replies
769 Views
Wakati viongozi mbalimbali wa CCM na Serikali ya CCM wakishindana kumtukana na kumloga, Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe atakutana na Watanzania walio...
8 Reactions
28 Replies
3K Views
Kumbuka Nabii Angel wa Zimbabwe yuko nchini. Juzi alionekana Clouds media akihojiwa. Huyu ni yule wa scandal ya Gold Mafia ya Zimbabwe. Swali ni je, kaja kufanya nini? Maana huyu ni mzoefu wa...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Kwa hiyo siku hizi vyombo vya usalama ndani ya kata, wilaya na mkoa haviwezi kufanya majukumu yao? Kwa ishu ndogo kama kupotea mwanafunzi Msukuma amegeuka kuwa mpiga debe wa Dp world Watu...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Daktari wa Kituo cha Afya Tinde Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Vijijni Josephine Otieno, akiwa amepiga Magoti kuomba msamaha kwa niaba ya Wauguzi wa kituo hicho, ambao wamekuwa wakituhumiwa...
7 Reactions
139 Replies
21K Views
Ripoti ya THBUB inasema April 27 asubuhi Nusura alisafiri kwa basi la Manning Nice kutoka Dodoma hadi Babati. Kisha akapanda Coaster hadi Arusha, kabla ya kumalizia safari kwa basi la Ibra Line...
19 Reactions
35 Replies
6K Views
Sisi wakulima wa Pamba kanda ya Ziwa tunajivunia bodi ya Pamba Tanzania kwa kufanya kazi zake kwa WELEDI mkubwa katika kututafutia masoko ndani na nje ya nchi kwa uharaka sana. Wakulima wenzangu...
7 Reactions
161 Replies
22K Views
Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
7 Reactions
283 Replies
20K Views
Salamu wanaJF. Hhivi karibuni kumeibuka mpango wa serikali wa MATOKEO MAKUBWA SASA (BIG RESULT NOW) swali langu hivi serikali huwa inafanyaga tathmini ya mipango yake kweli hapa kati tena...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Sababu zinazotolewa za mkataba wa bandari: 1. Imekuwa ikiendeswa bila ufanisi (na bado tukawa tunawalipa mishahara) 2. Tunapoteza sana hela (miaka yote hili linajulikana)...
41 Reactions
157 Replies
10K Views
Ndugu zangu watanganyika, Tumebaki yatima tusio na malezi kwenye hii nyika, Tumetelekezwa kama bendi ýa Lesi wanyika, tumesahaulika, Nakuja kwenu kwa unyenyekevu mwingi kumuombea msamaha Luhaga...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Nimemsikia bungeni Mbunge Subira Mgalu akimshambulia ndani ya Bunge, Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka kuwa anapotosha umma kuhusu suala la DP World wakati akichangia Bajeti Kuu ya Serikali. Kwa...
11 Reactions
16 Replies
2K Views
Twende straight to the point, bila kuzingatia waliyosaini huko Mkataba. Swali nataka kujua, ikiwa leo DP World wamesaini Mkataba na Mbarawa kama Waziri wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Sasa...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Katika wiki mbili hizi zilizopita kumekuwa na mvutano mkubwa juu ya Serikali kuingia mkataba na kampuni ya DP World kutokea Dubai na mvutano huu umepelekea wananchi kupinga vikali makubaliano...
2 Reactions
48 Replies
3K Views
Jengo refu zaidi Duniani la Burj Khalifa pale Dubai muda huu limenakshiwa kwa Bendera ya Tanzania mwanzo mpaka mwisho lote. Dunia nzima sasa inatazama maajabu haya kwenye Jengo hilo refu zaidi...
16 Reactions
133 Replies
17K Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax (Mb.) akiwa anaendelea na ziara yake nchini Indonesia, ametembelea Chuo Cha Diplomasia cha Indonesia. Waziri Tax...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
MAJALIWA: HATUTADHARAU USHAURI, MAONI NA MANENO YENYE HOFU KUHUSU BANDARI --- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali haitodharau maoni na ushauri wanaoutoa kuhusu...
6 Reactions
86 Replies
11K Views
Ndugu zangu watanzania, Kwa upendo mkubwa, unyenyekevu, uzalendo kwa Taifa langu napenda kuwaambia watanzania wenzangu kuwa Tuendelee kumuunga mkono na kumwamini Rais wetu katika kuliongoza Taifa...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
NAIBU WAZIRI KHAMIS CHILLO AHIMIZA WANACHAMA WA SADC KUWA NA SAUTI YA PAMOJA Tanzania imezihimiza nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuendelea kushirikiana katika...
0 Reactions
0 Replies
444 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…