Mara nyingi tumekuwa tukiwaona hawa vijana wakijitokeza haraka kutetea au kufanya maandamano kupongeza kunapotokea sintofahamu hasa yanapoguswa maslahi ya serikali ya CCM na viongozi wao wakuu...
Basi Pilato akamuuliza Yesu " Hujui ya kuwa mimi nina Mamlaka ya Kukufunga nami nina Mamlaka ya Kukufungua"?
Yesu akamjibu, " Usingekuwa na Mamlaka hayo kama usingeyapata kutoka juu"
Hivyo...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania kupitia TANROADS imesaini mikataba ya ujenzi wa barabara ya Mnivata – Newala – Masasi (km 160) kwa kiwango cha lami pamoja na ujenzi wa daraja la Mwiti...
Ndugu zangu watanzania mbunge huyo kipindi azimio la kupitisha mkataba wa bandari hakuongea kitu chochote niliona alikaa kimya hadi muda kuisha , najiuliza au alichangia azimio hilo kwa maandishi...
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ndugu Daniel Chongolo amewakumbusha wazazi kuwalea watoto wao kwa misingi ya uadilifu na tabia njema.
Hayo ameyasema mbele ya hadhara aliposimama barabara huko...
Kama ni Waarabu Tanganyika ndio wako Wengi kuliko Zanzibar hivyo tatizo siyo Mwarabu
Shida inayoonekana Miradi mingi ya kimkakati kuelekezwa Falme za Kiarabu yaani sawa na kuweka Mayai yote...
Ni kwenye PC yake ya juzi kwa vyombo vya habari alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari..
Wasio na bundle, hizi hapa 👇👇👇ni baadhi ya quotes za kauli zake
• "Haya makubaliano ndiyo...
MBUNGE wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina kwanini hakuchangia Azimio la Bunge la Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai? Naomba mwenye kufahamu atusaidie.
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Mhe...
Wapo watu ambao hufurahi wanaposifiwa kwa kila jema na zuri watendalo. Hili ni jambo zuri tu. Pia, wapo ambao huwa hawapendi sifa hata kama wakifanya mambo makubwa na mazuri. Hawa ni wachache. Kwa...
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuondoa Mkataba huo kwenye majadiliano Bungeni kwasababu unakwenda kuiingiza Nchi kwenye migogoro usio na faida.
Pia, amewataka Waziri...
Kumekuwepo na utitiri Wa watu kumuandama na kumkashifu Prof. Palamagamba Mwaliko Aidan Kabudi hasa katika mjadala huu Wa Sakata la DP WORLD. Kwanini imekuwa hivi!?
Mwanasiasa ni binadamu...
Hivi mkataba kati ya Tanzania na Dubai una uhalali wowote wa kuitwa ni IGA? Yani una uhalali wa kuitwa mkataba kati ya nchi na nchi?
Inaonekana waliosani ni Dubai na Dubai ni mkoa tu katika UAE...
Benjamin William Mkapa katika hotuba ya uzinduzi wa kitabu chake alikiri kuwa, Moja ya kosa alilojutia ni suala la Ubinafsishaji.
nanukuu kauli yake;
"Nikiri kuwa moja kati ya kitu kinachoniuma...
Boss ashampoo hatimae nimenunua gari baada ya kuteseka sana baada ya kuuza gari yangu nimebahatisha crown ya mkononi nimeteseka sana jamani miezi sita bila gari boss kama mimi
Tuachane na hayo...
Ndugu zangu Watanzania hakuna binadamu asiyekosea, iwe ni kwa makusudi au bahati mbaya. Kimsingi hilo ndilo hudhihirisha ubinadamu wenyewe. lngawa mara nyingi tunapogundua makosa yetu tunajaribu...
Taarifa iliyosambazwa na Chadema kwenda kwa watu wote Duniani imeeleza kwamba , Mwenyekiti wa Chama hicho , Mwamba Mwenyewe, Laingwanan, Mfungwa wa kisiasa ama Ustaadh Aboubakar Mbowe kama...
Poleni kwa kazi wakuu hapa ndani,
Toka mkataba/ makubaliono ya URT na DUBAI uvuje kumekuwa na kelele nyingi sana mitandaoni hadi mtaani. Kuna wale wanao elewa nini kina zungumzwa na kujadiliwa na...
Nani anayeihujumu TTCL kwa kiwango hiki?
Kuna mmbo fulani yanaendelea kwenye TTCL kiasi kwamba tunaona kama ni hujuma kwa TTCL:
Kwanza, kipindi kirefu sasa ukitafuta laini za TTCL kwa mawakala...
Kupitia muswada wa marekebisho ya sheria ya fedha na kodi.
Kodi na Tozo ambazo si rafiki katika mazingira ya kibiashara zimeondolewa na kufutwa kabisa.
Kodi ya Store ni miongoni mwa kodi...
Chama cha Mapinduzi ni chama Tawala na kikongwe hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla.
Kwa kuzingatia ukongwe wake pengine ungependa kushauri ama kutoa maoni yako kwa namna ya Chama hicho kiendelee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.