Olmost
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 337
- 439
Daktari wa Kituo cha Afya Tinde Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Vijijni Josephine Otieno, akiwa amepiga Magoti kuomba msamaha kwa niaba ya Wauguzi wa kituo hicho, ambao wamekuwa wakituhumiwa kwa utoaji wa lugha chafu za Matusi kwa Wagonjwa pamoja na kuwafanyia ubaguzi wa Kikabila, kwenye mkutanno wa hadhara wa Mbunge wa Jimbo la Solwa, Ahmed Salum akiwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Mabala Mlolwa.