Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Taa Ni neno asili la kile kitoacho Mwanga kwa ajili ya Watu Kuona,Au kuelewa kinachoendelea.Taa hii Ndo iliifanya Tanzania ikawa na Lugha moja Nzuri kutoka kwa Wahenga wetu inayounganisha Umoja...
0 Reactions
1 Replies
826 Views
Mwananchi. Mzee Warioba ana maanisha nini anaposema waziwazi kwamba kwenye huo mkataba haitoshi kusema haya ni makubaliano na bila kupepesa macho AMESEMA WATAWALA WAANGALIE YASIYO FAA WAYAONDOE?!
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hali inavyo onekana mpaka muda huu Putin yuko katika hali tete kuliko muda wote alio kaa madarakani. History haichi kufuata mkondo wake, Russia imekuwa katika mapindunzi huko nyuma, kizazi...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Baada ya kuwepo kwa maneno mengi ya utani na mengine ‘serious’ kuhusu ahadi aliyoitoa kwa kwa baadhi ya wanakazi wa Kawe (Dar es Salaam) kuwa atawapeleka Jijini Birmingham Nchini England, hatimaye...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mrisho Mpoto @MrishoMpoto · 18h Mnaosema tumeshasaini mkataba na kuuza bandari kwa DP naomba mnijibu;1. Kama tushasaini, mbona DP World hawajaingia bado hapo bandarini? au mshasikia kwamba...
3 Reactions
42 Replies
3K Views
Tunaendelea kupata picha halisi ya yaliyojiri kabla ya mkataba huu wa aibu wa kuwahi kutokea kuhusu bandari zetu. Wabunge walikwenda Dubai na wapo wanaodai kupewa kiasi cha fedha takriban 6M bila...
10 Reactions
36 Replies
3K Views
Serikali mkoani Shinyanga kwa kushirikiana na timu ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid Campain, wamefanikiwa kutatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 14 kati ya Fatuma Maganga na Said...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Angalizo. Wajukuu na watoto wetu baadae wakija kupata akili wakaona rasilimali za ardhi yao kama bandari si yao tena, ardhi si yao tena, mbuga za wanyama hawana umili nazo tena lazima moto uwake...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
https://apnews.com/article/middle-east-africa-china-hong-kong-e01b827fd55dd5fba9d13f5e5baabade
0 Reactions
0 Replies
512 Views
Waswahili Wana mambo mengi aisee yaani mtu anajiapiza Kabisa Eti Kawawa alikuwa CHAWA wa baba wa taifa Mwalimu Nyerere Binafsi nakataa kwa sababu Kawawa ni mmoja wa Wafadhili wa TANU wakati wa...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Hiki alichoongea Mwandishi nguli Mh Kitenge kwamba DP wanatumia Mashine tupu katika kutimiza majukumu yao ya kila siku kinapingana na Maelezo ya Kwenye Mkataba kama kilivyofafanuliwa na Waziri...
17 Reactions
41 Replies
4K Views
Hii ni video ndefu tu, Ina maswali mengi Kuhusu majibu. Kama una bando unaweza kusikiliza ila Kwa kifupi ni kwamba kulikua na Mambo mengi sana yalifanyika kienyeji mno. Kumbe Kuna wabunge...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Barua ya wazi kwa Mh Rais, Dkt. Samia Hassan Suluhu. Nakusalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Mh. Rais, unaweza usiione barua hii kutokana na wingi wa majukumu uliyonayo ila...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
1. Viongozi wote wa tume ya uchaguzi wanatakiwa wachaguliwe na wananchi na wasiwe na chama chochote wala wasihudhurie vikao vya chama chochote wao wafanye kazi yao. Hivyo wajitokeze watu kadhaa...
8 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu mjadala mkubwa sasa hivi ni wa kuhusu dpworld kupewa bandari za Tanganyika. Wako wanaoukubali na wapo wanaoupinga. Kila mtu ana sababu zake. Kuna taarifa kwamba mkataba haukotolewa rasmi na...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
https://apnews.com/article/middle-east-africa-china-hong-kong-e01b827fd55dd5fba9d13f5e5baabade Ni nchi za Africa tu ndiyo tuna sign MOU za ajabu . DP world ipo Uingereza watuonyeshe MOU yao...
0 Reactions
1 Replies
498 Views
BARAZA la Uongozi la Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) limeunda kamati maalum ya wataalamu kuchambua makubalino yaliyoainishwa katika mkataba wa uendeshaji bandari ya Dar es Salaam kati ya...
5 Reactions
60 Replies
5K Views
Ili kudhibiti wanaotaka kupingana na maamuzi ya Chama kilichokupa dhamana ya uongozi. Katiba mpya iseme wazi kuwa KAMATI KUU ndio kiwe chombo cha juu kabisa cha kudhibiti wakaidi
1 Reactions
14 Replies
830 Views
Kwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom