Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Kuna lawama watampa wadau tu!Hajafikisha umri wa kustaafu?
Chuki ni kidonda mkuu, ok atawekwa askofu/kadinali pengo roho yako itulieDau no
Let him stay there ubalozini.
We can't deal with jihadist every time .
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Ni wakati wa kuajiri expert wa uendeshaji wa bandari kutoka nje. Hasa wale waliowahi simamia bandari kubwakubwa duniani.Bandari haija wahi pata watu makini wa kusimamia pia maelezo ya wanasiasa wa nchi hii ni sababu ya kuyumba kwa utendaji wa bandari zetu
Sasa ikawaje chini yake nssf ilikua inalipa wastaafu kwa wkt?Ataboronga kama alivyofanya NSSF ukiachia mbali kuanzisha upendeleo wenye sura ya udini.
Dau no
Let him stay there ubalozini.
We can't deal with jihadist every time .
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Pesa alizotapanya akiwa NSSF hazimtoshi tu? Hawa ndio wastaafu tu, maana wamelitia hasara taifa kwa kiwango kikubwa. I do not agree with you.Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Duh teh tehHuyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.
Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa
Kilichombeba ni vile alikuwa rafiki na business partner wa Magufuli, akahusika kwenye kuijenga Kigamboni bridge na majengo mengine kupitia ile kampuni ya JPM ya uhandisi
Baada ya kushtukiwa J.P Magufuli akampatia Ubalozi na kuahidi kumlinda
Tutapishana sana na mikeka kwenye corridor za bandarini
Amekula sana keki ya Taifa inatosha.
Chuki ni kidonda mkuu, ok atawekwa askofu pengo roho yako itulie
Harufu za Udi na Ubani zitatuumiza vichwa kila uchwao leo huko maofisini, jalini na afya za wengine sheikh, kuweni na huruma.Watakwambia atasababisha meli badala ya kupiga honi zitakuwa zinapiga adhana
Dau kakaa miaka mingi toka npf hadi nssf lakini huwezi amini hakuna mkristo anaweza kukuletea takwimu kati ya waislam na wakristo wakina nani walikuwa wengi, tz akiajiriwa mkristo ana sifa ila muislam kapendelewa.Huyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.
Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa
Kilichombeba ni vile alikuwa rafiki na business partner wa Magufuli, akahusika kwenye kuijenga Kigamboni bridge na majengo mengine kupitia ile kampuni ya JPM ya uhandisi
Baada ya kushtukiwa J.P Magufuli akampatia Ubalozi na kuahidi kumlinda
Amekula sana keki ya Taifa.
Sasa ikawaje chini yake nssf ilikua inalipa wastaafu kwa wkt?
Sa hivi tumeweka watakatifu huko kwny mifuko ya kijamii na matokeo yake wastaafu wanakaa mpk miaka 3 hajalipwa mafao.
Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Ngoja mwanae aje humu patakuwa hapatoshi.Huyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.
Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa
Kilichombeba ni vile alikuwa rafiki na business partner wa Magufuli, akahusika kwenye kuijenga Kigamboni bridge na majengo mengine kupitia ile kampuni ya JPM ya uhandisi
Baada ya kushtukiwa J.P Magufuli akampatia Ubalozi na kuahidi kumlinda
Tutapishana sana na mikeka kwenye corridor za bandarini
Amekula sana keki ya Taifa inatosha.