MR BINGO
JF-Expert Member
- Feb 12, 2016
- 1,211
- 2,602
Katika wiki mbili hizi zilizopita kumekuwa na mvutano mkubwa juu ya Serikali kuingia mkataba na kampuni ya DP World kutokea Dubai na mvutano huu umepelekea wananchi kupinga vikali makubaliano yoyote kati ya serikali hizi mbili.
Swali langu ningependa kujua kipi hasa kinachopingwa kati ya hivi viwili;
1. Vipengele vilivyo katika mikataba hiyo ya makubaliano
2. Uwekezaji wowote kutoka nje ya nchi katika bandari yetu
My take: Tunatakiwa tuwe makini sana na vipengele vya kwenye mikataba yoyote ya kiuwekezaji inayofanyika nchini na kuhakikisha tunakwepa unyonyaji wa aina yeyote lakini pia nina uhakika kuwa sisi kama watanzania bado hatuna ufanisi wa kuendesha bandari (hili limethibitika kwenye kila sekta inayoendeshwa na serikali kuanzia TANESCO, Idara za maji, Reli, TTCL n.k)
Swali langu ningependa kujua kipi hasa kinachopingwa kati ya hivi viwili;
1. Vipengele vilivyo katika mikataba hiyo ya makubaliano
2. Uwekezaji wowote kutoka nje ya nchi katika bandari yetu
My take: Tunatakiwa tuwe makini sana na vipengele vya kwenye mikataba yoyote ya kiuwekezaji inayofanyika nchini na kuhakikisha tunakwepa unyonyaji wa aina yeyote lakini pia nina uhakika kuwa sisi kama watanzania bado hatuna ufanisi wa kuendesha bandari (hili limethibitika kwenye kila sekta inayoendeshwa na serikali kuanzia TANESCO, Idara za maji, Reli, TTCL n.k)