Subira Mgalu achukuliwe hatua kwa kumshambulia Profesa Tibaijuka bungeni badala ya kujadili Bajeti

Shakari

Senior Member
Jul 6, 2022
157
440
Nimemsikia bungeni Mbunge Subira Mgalu akimshambulia ndani ya Bunge, Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka kuwa anapotosha umma kuhusu suala la DP World wakati akichangia Bajeti Kuu ya Serikali.

Kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Subira Mgalu alikosea kumzunguzia Prof Tibaijuka au kuzungumzia suala la mgogoro wa bandari huku akijua kuwa Hotuba iliyowasilishwa na Dk. Mwigulu Nchemba inayojadiliwa na Bunge hakuna hata mstari mmoja unaozungumzia mkataba wa DP na Tanzania.

Hotuba ya Mwigulu haina mstari hata mmoja unaozungumzia majadiliano au suala la uwekezaji wa bandari ya Dar es Salaam sasa yeye Subira Mgalu amepatawa wapi jeuri ya kujadili jambo ambalo sio sehemu ya mjadala na halimo kwenye hotuba ya Serikali.

Prof. Tibaijuka alikuwa Marekani miaka ya 2006 ambapo DPW ilikwenda kufanya kazi na Marekani na kukataliwa na Bunge la Marekani sasa alichopotosha ni nini, Je Subira Mgalu unaifahamu zaidi DPW kuzidi Prof. Tibaijuka?

Subira unafahamu kuwa Kanuni za Bunge zinakataza kumshambulia mtu ambaye hayuko bungeni wewe umefanya kosa hilo kumnufaisha nani unajua madhara yake?
 
ni wakati sasa wa wazee wenye heshima na hekima kuanza kukemea hizi tabia za watu kuachwa wakifanya upumbavu in public na ndani ya taasisi nyeti, huyu Mbunge ukiangalia anachowaza yeye ni nyadhifa tu na kupata upendeleo na si maslahi mapana ya Taifa..

Aina hii ya watu ni hatari sana kwa ustawi wa Taifa hili, hekima inapaswa kutumika sana kuliokoa na kulitetea Taifa dhidi ya hawa pumbavu.
 
Wewe ni mweupe pee bichwani mwako.
Tangu lini mbunge akashitakiwa kwa mambo ya bungeni?
Kinga yao huijui?
Wapi kasema ashitakiwe?

Kua na Kinga hakukufanyi uonyeshe Ujinga uloujaza kichwan.

Haya maviti maalumu ni Mizigo Kwa Taifa, mengi yao yanapata nafasi Kwa kutumia Papuchi tu, lkn sio Uwezo wa kichwani.
 
Wakati hiyo tabia ya bunge kutumika kushambulia watu walio nje ya bunge mama Tibaijuka alikua mbunge, alikalia kimya tabia hiyo ikiota mizizi. Kwa sasa mbegu aliyoikalia kimya imeota, hivyo acha ashambuliwe tu hadi tutakapopata mabadiliko ya kweli.
 
Nimemsikia bungeni Mbunge Subira Mgalu akimshambulia ndani ya Bunge, Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka kuwa anapotosha umma kuhusu suala la DP World wakati akichangia Bajeti Kuu ya Serikali.

Kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Subira Mgalu alikosea kumzunguzia Prof Tibaijuka au kuzungumzia suala la mgogoro wa bandari huku akijua kuwa Hotuba iliyowasilishwa na Dk. Mwigulu Nchemba inayojadiliwa na Bunge hakuna hata mstari mmoja unaozungumzia mkataba wa DP na Tanzania.

Hotuba ya Mwigulu haina mstari hata mmoja unaozungumzia majadiliano au suala la uwekezaji wa bandari ya Dar es Salaam sasa yeye Subira Mgalu amepatawa wapi jeuri ya kujadili jambo ambalo sio sehemu ya mjadala na halimo kwenye hotuba ya Serikali.

Prof. Tibaijuka alikuwa Marekani miaka ya 2006 ambapo DPW ilikwenda kufanya kazi na Marekani na kukataliwa na Bunge la Marekani sasa alichopotosha ni nini, Je Subira Mgalu unaifahamu zaidi DPW kuzidi Prof. Tibaijuka?

Subira unafahamu kuwa Kanuni za Bunge zinakataza kumshambulia mtu ambaye hayuko bungeni wewe umefanya kosa hilo kumnufaisha nani unajua madhara yake?
Hovyo sana hawa wabunge wa CCM. Wasifikiri wananchi hatufahamu yanayotendeka. Waondolewe wabunge dhaifu na mizigo inayokula Kodi zetu bure
 
Nimemsikia bungeni Mbunge Subira Mgalu akimshambulia ndani ya Bunge, Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka kuwa anapotosha umma kuhusu suala la DP World wakati akichangia Bajeti Kuu ya Serikali.

Kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Subira Mgalu alikosea kumzunguzia Prof Tibaijuka au kuzungumzia suala la mgogoro wa bandari huku akijua kuwa Hotuba iliyowasilishwa na Dk. Mwigulu Nchemba inayojadiliwa na Bunge hakuna hata mstari mmoja unaozungumzia mkataba wa DP na Tanzania.

Hotuba ya Mwigulu haina mstari hata mmoja unaozungumzia majadiliano au suala la uwekezaji wa bandari ya Dar es Salaam sasa yeye Subira Mgalu amepatawa wapi jeuri ya kujadili jambo ambalo sio sehemu ya mjadala na halimo kwenye hotuba ya Serikali.

Prof. Tibaijuka alikuwa Marekani miaka ya 2006 ambapo DPW ilikwenda kufanya kazi na Marekani na kukataliwa na Bunge la Marekani sasa alichopotosha ni nini, Je Subira Mgalu unaifahamu zaidi DPW kuzidi Prof. Tibaijuka?

Subira unafahamu kuwa Kanuni za Bunge zinakataza kumshambulia mtu ambaye hayuko bungeni wewe umefanya kosa hilo kumnufaisha nani unajua madhara yake?
Hao ndiyo viongozi waandama hela,, tena malaya malaya KWa mujibu wa hayati nyerere
 
Back
Top Bottom