Kumbuka Nabii Angel wa Zimbabwe yuko nchini. Juzi alionekana Clouds media akihojiwa. Huyu ni yule wa scandal ya Gold Mafia ya Zimbabwe.
Swali ni je, kaja kufanya nini? Maana huyu ni mzoefu wa kutakatisha fedha. Na kwa nini aje wakati nchi iko kwenye mjadala mzito wa Bandari?
Swali ni je, kaja kufanya nini? Maana huyu ni mzoefu wa kutakatisha fedha. Na kwa nini aje wakati nchi iko kwenye mjadala mzito wa Bandari?