Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

https://apnews.com/article/middle-east-africa-china-hong-kong-e01b827fd55dd5fba9d13f5e5baabade Ni nchi za Africa tu ndiyo tuna sign MOU za ajabu . DP world ipo Uingereza watuonyeshe MOU yao...
0 Reactions
1 Replies
498 Views
BARAZA la Uongozi la Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) limeunda kamati maalum ya wataalamu kuchambua makubalino yaliyoainishwa katika mkataba wa uendeshaji bandari ya Dar es Salaam kati ya...
5 Reactions
60 Replies
5K Views
Ili kudhibiti wanaotaka kupingana na maamuzi ya Chama kilichokupa dhamana ya uongozi. Katiba mpya iseme wazi kuwa KAMATI KUU ndio kiwe chombo cha juu kabisa cha kudhibiti wakaidi
1 Reactions
14 Replies
830 Views
Kwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Kwa wanaojua kanuni za uharibifu, huwa hauachii mahali au kwenye kitu kimoja. Nyerere aliwahi kuulinganisha na kula nyama ya binadamu. Ailaye haachi. Sijui ukweli wa dhana hii. Hata hivyo...
18 Reactions
94 Replies
6K Views
Kwa mwenendo wa nchi yetu ulivyo sasa. Itoshe tu kusema,endelea kupumzika kwa amani mheshimiwa John Joseph Pombe Magufuli. Imefikia mahali mpaka watesi wako wanakumiss huku duniani.
18 Reactions
21 Replies
2K Views
Tumepata habari rasmi kuwa kuna ujio wa ugeni mzito tika Marekani. Zaidi soma Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania Makamu wa Rais Marekani mama Kamara Harris anakuja ziara...
24 Reactions
190 Replies
11K Views
Kwa kuwa hatuna imani na tume huru ya ccm tunatakiwa kufanya jambo moja kati ya haya mawili. Mosi kususia uchaguzi wenyewe kwa kutofika ktk kampeni zao na kuto enda kupiga kura acha wajiibie...
0 Reactions
0 Replies
379 Views
Wadau nawasabahi.Kuna JAMBO nataka nijue juu ya UPATIKANAJI wa Mwekezaji DP WORLD ktk BANDARI yetu. Je Serikali ilitangaza TENDA ya kutafuta Mwekezaji? Mbona Wananchi hatukuisikia wala kuisoma...
2 Reactions
6 Replies
489 Views
Katika utafiti wangu juu ya chanzo cha muungano wa Tanganyika na Zanzibar na mapinduzi 'matukufu' au matukutu au mavamizi ya mwaka 1964, nilibahatika kusoma andiko la mtafiti James R Brennan lenye...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimewahi kumsikia marehemu baba wa Mwalimu Nyerere akisema; MTU AKIAMUA KUKUAMBIA UONGO HUKU ANAJUA UNAJUA HUI NI UONGO ANAKUDHADAU. Jee kwa uongo huu wa DPW mnaotumia nguvu kubwa kutueleza...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Zanzibar ikiwa adressed inaitwa Zanzibar, ila Tanganyika tunaitwa Tanzania bara, kwanini? Mfano, bandari zilizogawiwa bure kwa DP world ni za Tanganyika tu, ila badala yake wanasema ni za...
10 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu, Kwenye hizo kashfa za epa, escrow, richmond, kagoda, meremeta, na kashfa kibao nazo zilipata waliozitetea kwa nguvu kubwa sana. Na baadhi ya vyombo vya habari vilijitoa kutetea na baadhi...
16 Reactions
66 Replies
4K Views
Serikali yetu ilisaini mikataba 17 na Dubai tumeonyeshwa mmoja tu wa bandari tumehamaki. Ngojeni hiyo 16 nayo ije mnaweza kukuta TANESCO, TTCL, TPDC, TEMBO NIKEL, TWIGA, TANAPA, NDC nayo tumewapa...
0 Reactions
7 Replies
861 Views
TanTrade, Iran wakubaliana mema zaidi biashara na uwekezaji | TanTrade, Iran wakubaliana mema zaidi biashara na uwekezaji
0 Reactions
1 Replies
604 Views
Suala la kuuza au kutouza nafaka nje. Yaani niseme kwamba; kulingana na kiwango kidogo cha chakula tulichonacho, sikubaliani na wale wanaotaka tuuze chakula nje. Ndugu zangu msifikiri jambo hili...
7 Reactions
27 Replies
2K Views
Jumuiya ya Wasaga nafaka nafaka yaani Maize Millers ya Kenya wamepinga hatua ya Serikali ya Tanzania kukataza wanunuzi kwenda Kununua Mazao Moja kwa Moja kwa Wakulima. Wizara ya Kilimo iliweka...
8 Reactions
112 Replies
11K Views
Wakuu tunaibiwa Sana hiwezekani hata Rwanda na kibandari kikavu Chaowakusanye nusu yetu huu ni wizi wa miaka mingi sana tumeibiwa. Tunaibiwa ruzuku za vyama, kilimo, ukusanyaji wa mapato tena na...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Tangu kashfa mbaya kabisa ya maafisa wa Serikali kubainika wamesaini mikataba ya hovyo unaotarajia kuzipora bandari zote za Tanganyika, wahusika wamekuwa wanahangaika kuutetea uovu wao wakitoa...
43 Reactions
61 Replies
4K Views
Hatimaye spika tena ameonyesha ubabe kwa wabunge. Amewazuia wasiongee chochote kuhusu mahindi badala yake wawaelekeze wananchi wakajitwishe mahindi yao nakuuza huko NFRA ambako kuna bei nzuri...
14 Reactions
85 Replies
11K Views
Back
Top Bottom