Ukimya wa UVCCM kwenye mkataba wa Bandari ni uzalendo au kulinda maslahi?

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Mara nyingi tumekuwa tukiwaona hawa vijana wakijitokeza haraka kutetea au kufanya maandamano kupongeza kunapotokea sintofahamu hasa yanapoguswa maslahi ya serikali ya CCM na viongozi wao wakuu, lakini tofauti na sasa ukitoa tamko la Mwenyekiti wao Kawaida sijawasikia au kuwaona wakiandamana mkoa kwa mkoa kupongeza juhudi za mama.

Najiuliza tukiwa pamoja na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Salim Asas, KULIKONI? Au uzalendo wao umezidi kwa nchi kuliko chama au ni maslahi yao kuguswa na hawataki kujulikana wazi wako upande upi au hawataki kumuudhi bosi wao au wameungana na Mwanasheria Mkuu wa serikali kufunika kombe mwanaharamu apite.

Maswali ni mengi kuliko majibu.
 
Rais yuko peke yake na FaizaFoxy ndo wanajua a to z, ila wananchi wote hatutaki mkataba wa kuuza Bandari zetu Tanganyika

Hakuna mwana ccm aliyeandaa press aitee hiyo kitu mbovu, isipokuwa ni wabunge tu na ambapo wanatuhumiwa kwa kupitishiwa rupia
FaizaFoxy kasema DPW wana mikataba zaidi ya 30 nchini tuchangamkie fursa, zamani alikuwa wapi kutueleza walikuwa wakifaidi wao kwa wao.
 
Mara nyingi tumekuwa tukiwaona hawa vijana wakijitokeza haraka kutetea au kufanya maandamano kupongeza kunapotokea sintofahamu hasa yanapoguswa maslahi ya serikali ya CCM au maslahi ya viongozi wao wakuu wa CCM, lakini tofauti na sasa ukitoa tamko la Mwenyekiti wao Kawaida sijawasikia au kuwaona wakiandamana mkoa kwa mkoa kupongeza juhudi za mama.

Najiuliza tukiwa pamoja na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Salim Asas, KULIKONI? Au uzalendo wao umezidi kwa nchi kuliko chama au ni maslahi yao kuguswa na hawataki kujulikana wazi wako upande upi au hawataki kumuuzi bosi wao.

Maswali ni mengi kuliko majibu.
UNAULIZA JIBU ?WAMEGANDA HAWANA CHA KUSEMA WABUNGE WAO WAMEKAA KAMA CHAMA WAMEAMUA KICHAMA KURIDHIA BANDARI KUKODISHWA MILELE UVCCM NI KUSHANGILIA
 
Mara nyingi tumekuwa tukiwaona hawa vijana wakijitokeza haraka kutetea au kufanya maandamano kupongeza kunapotokea sintofahamu hasa yanapoguswa maslahi ya serikali ya CCM na viongozi wao wakuu, lakini tofauti na sasa ukitoa tamko la Mwenyekiti wao Kawaida sijawasikia au kuwaona wakiandamana mkoa kwa mkoa kupongeza juhudi za mama.

Najiuliza tukiwa pamoja na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Salim Asas, KULIKONI? Au uzalendo wao umezidi kwa nchi kuliko chama au ni maslahi yao kuguswa na hawataki kujulikana wazi wako upande upi au hawataki kumuudhi bosi wao au wameungana na Mwanasheria Mkuu wa serikali kufunika kombe mwanaharamu apite.

Maswali ni mengi kuliko majibu.
Uvccm always husoma upepo wa jambo unaendaje ili wacheze beat ya mwenyekiti!! Amin nakwambia mwenyekiti akitoa msimamo juu ya hili wataibuka uvccm kusapoti. Kwasasa wanaishia kupambana na wenye hoja na kuwatishia, hilo ndilo wawezalo!! Usijetegemea uzalendo ndani ya CCM kuanzia uvccm wao nao wanatamani madaraka waanze kupiga madili!!
 
Rais yuko peke yake na FaizaFoxy ndo wanajua a to z, ila wananchi wote hatutaki mkataba wa kuuza Bandari zetu Tanganyika

Hakuna mwana ccm aliyeandaa press aitee hiyo kitu mbovu, isipokuwa ni wabunge tu na ambapo wanatuhumiwa kwa kupitishiwa rupia
Muongezee na the boss😂😂😂
 
Rais yuko peke yake na FaizaFoxy ndo wanajua a to z, ila wananchi wote hatutaki mkataba wa kuuza Bandari zetu Tanganyika

Hakuna mwana ccm aliyeandaa press aitee hiyo kitu mbovu, isipokuwa ni wabunge tu na ambapo wanatuhumiwa kwa kupitishiwa rupia
Kwani huyo Faiza ni kijana? Huyo ni Kibibi hicho.
 
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Salim ASAS , ameushangaa ukimya wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Iringa katika kutetea viongozi na mipango mbalimbali ya maendeleo inayofanywa na serikali ya chama chao likiwemo suala la uendeshaji wa Bandari lililoibua mjadala mkubwa hivi karibuni.

Akifungua Baraza la UVCCM la mkoa huu leo Asas amesema; “Kuwa wanachama wa UVCCM sio kuwa watu wa hamasa na kuimba tu, ni pamoja na kutimiza wajibu kusema mazuri ya chama na serikali yake, na kuwatetea viongozi wake dhidi ya kejeli na hujuma zinazofanywa na wapinzani.”

Akizungumzia makubaliano ya ushirikiano wa uendeshaji wa Bandari baina ya serikali ya Tanzania na Dubai, Asas alisema wapo baadhi ya watu kwa makusudi kabisa wamekuwa wakipotosha dhamira njema ya serikali katika mpango huo wakisema nchi inauzwa.“Kuna vita ya kiuchumi na mnasikia kuna watu wanapotosha umma wakisema nchi inauzwa na ninyi vijana wetu mpo kimya tu. Hivi wanaosema nchi inauzwa wanajua thamani ya nchi hii kama sio lugha za kipuuzi tu?”alisema.

Akiwashangaa vijana kwa kushindwa kujibu hoja kama hizo alisema wakiendelea kufanya hivyo katika masuala nyeti na ya msingi inaweza kutoa tafsiri kwamba ukimya wao ni kwasababu wao pia wanaunga mkono upotoshaji unaoendelea.

“Lazima vijana wetu mjue kila unapofanya mema na mazuri ndipo unapozidi kupingwa. Jibuni hoja zao kwasababu hoja walizonazo zinajibika,” alisema na kuongeza kwamba ukiona hupingwi na badala yake unasifiwa tu ujue kuna mahali hufanyi vizuri.

Katika kujibu hoja za wapinzani hao wa maendeleo, Asas aliwataka vijana hao kutumia lugha za kistaarabu bila kutukana na watumie mitandao ya kijamii inayofikisha ujumbe kwa haraka badala ya kusubiri mikutano ya hadhara ambayo haiwezi kufanyika kila siku.“

Huko kwenye mitandao ya kujamii hatusikii kama kuna UVCCM, Rais na baadhi ya viongozi wanatukanwa na vijana wetu mliopa kulinda chama na viongozi wake mpo kimya, hatusikihi mkijibu hoja. Tambueni kazi yenu ni pamoja na kutetea chama ,viongozi wake na serikali yake,” alisema.
 
Sio kawaida yao kutoa tamko na kukaa kimya bila kuhamasisha yakiwemo maandamano kwenye ishu kubwa kama hii.
Samia yupo kimya hawa hawawezi toka sabubu kazi yao ni kulinda viongozi wa chama na kutetea yale wanayo yasema hao viongozi wanaweza kurupuka kutetea hoja ya bandari kuwa inamaslai kwa taifa alafu maza akaja sanuka aliingizwa mkenge akaanza lia kuomba msama kwa watanganyika wao watabaki na aibu
 
Samia yupo kimya hawa hawawezi toka sabubu kazi yao ni kulinda viongozi wa chama na kutetea yale wanayo yasema hao viongozi wanaweza kurupuka kutetea hoja ya bandari kuwa inamaslai kwa taifa alafu maza akaja sanuka aliingizwa mkenge akaanza lia kuomba msama kwa watanganyika wao watabaki na aibu
Mama kishajua kaingizwa chocho, kamute kwanza asome upepo. Anajua akikurupuka tu kwishaa na ukizingatia kitaa hakimuelewi kabisa.
 
Back
Top Bottom