Hayati Benjamin William Mkapa na uwekezaji

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Sep 11, 2013
8,098
9,994
Benjamin William Mkapa katika hotuba ya uzinduzi wa kitabu chake alikiri kuwa, Moja ya kosa alilojutia ni suala la Ubinafsishaji.

nanukuu kauli yake;

"Nikiri kuwa moja kati ya kitu kinachoniuma zaidi nilichokifanya kipindi cha utawala wangu ni kuruhusu sera ya ubinafsishaji. Sera hii haikumsaidia kwa kiwango kilichotarajiwa Mtanzania na badala yake Watanzania waligeuka wageni katika rasilimali zao. Kukubali kwangu sera ile kulikuwa na lengo zuri la kuwafanya Watanzania waondokane na lindi la umaskini kupitia uwekezaji ungeofanywa katika rasilimali zao. Sikutarajia kama sera ile ingeweza kuwafanya wageni wawe na sauti katika rasilimali za taifa kuliko wazawa. Na endapo ningepata nafasi ya kuwa kiongozi tena wa taifa hili ningerekebisha sera ya ubinafsishaji haraka ili walau Watanzania waanze kufaidi rasilimali za nchi yao, badala ya kuwa mashuhuda wa wageni wanaoendelea kuneemeka na rasilimali za nchi".

MWISHO WA NUKUU.

WE SHOULD THINK TWICE AND THRICE.

Tusiamini kurudia makosa kutatupa matokeo chanya.

Tujisahihishe

Amkeni Watanganyika kutoka kwenye usingizi wa Pono
 
BWM katika speech ya uzinduzi wa kitabu chake alikiri kuwa, Moja ya kosa alilojutia ni suala la Ubinafsishaji.

nanukuu kauli yake;

"Nikiri kuwa moja kati ya kitu kinachoniuma zaidi nilichokifanya kipindi cha utawala wangu ni kuruhusu sera ya ubinafsishaji. Sera hii haikumsaidia kwa kiwango kilichotarajiwa Mtanzania na badala yake Watanzania waligeuka wageni katika rasilimali zao. Kukubali kwangu sera ile kulikuwa na lengo zuri la kuwafanya Watanzania waondokane na lindi la umaskini kupitia uwekezaji ungeofanywa katika rasilimali zao. Sikutarajia kama sera ile ingeweza kuwafanya wageni wawe na sauti katika rasilimali za taifa kuliko wazawa. Na endapo ningepata nafasi ya kuwa kiongozi tena wa taifa hili ningerekebisha sera ya ubinafsishaji haraka ili walau Watanzania waanze kufaidi rasilimali za nchi yao, badala ya kuwa mashuhuda wa wageni wanaoendelea kuneemeka na rasilimali za nchi".

MWISHO WA NUKUU.

WE SHOULD THINK TWICE AND THRICE.

Tusiamini kurudia makosa kutatupa matokeo chanya.
Tujisahihishe

Amkeni waTanganyika kutoka kwenye usingizi wa Pono
Bila Uwekezaji tungekuwa wapi? Pengine sasa hivi hata mishahara tungeshindwa kulipa, sababu ubinafsishaji fulani ulifeli haimaanishi ubinafsishaji wote ulifeli.

Ukitaka kujua hili angalia makampuni yanayoongoza kulipa kodi TBL, Geita Gold Mining, Nmb etc yote haya ni ZAO la ubinafsishaji, hao watatu wanachangia zaidi ya Trilioni 1.
 
BWM katika speech ya uzinduzi wa kitabu chake alikiri kuwa, Moja ya kosa alilojutia ni suala la Ubinafsishaji.

nanukuu kauli yake;

"Nikiri kuwa moja kati ya kitu kinachoniuma zaidi nilichokifanya kipindi cha utawala wangu ni kuruhusu sera ya ubinafsishaji. Sera hii haikumsaidia kwa kiwango kilichotarajiwa Mtanzania na badala yake Watanzania waligeuka wageni katika rasilimali zao. Kukubali kwangu sera ile kulikuwa na lengo zuri la kuwafanya Watanzania waondokane na lindi la umaskini kupitia uwekezaji ungeofanywa katika rasilimali zao. Sikutarajia kama sera ile ingeweza kuwafanya wageni wawe na sauti katika rasilimali za taifa kuliko wazawa. Na endapo ningepata nafasi ya kuwa kiongozi tena wa taifa hili ningerekebisha sera ya ubinafsishaji haraka ili walau Watanzania waanze kufaidi rasilimali za nchi yao, badala ya kuwa mashuhuda wa wageni wanaoendelea kuneemeka na rasilimali za nchi".

MWISHO WA NUKUU.

WE SHOULD THINK TWICE AND THRICE.

Tusiamini kurudia makosa kutatupa matokeo chanya.
Tujisahihishe

Amkeni waTanganyika kutoka kwenye usingizi wa Pono
Ndio mama ni sikio la kufa hata akiaoma mara 1000 atashupazi shingo . Naye aje kuandika kitabu chake ili tuje kikisoma
 
Ubinafsishaji wa mashirika ya umma utakuwa na maana kwa mtanzania pale ambapo umiliki wa Serikali kwenye hayo mashirika na makampuni utakapo punguzwa kutoka asilimia mia hadi asilimia hamsini au sitini. Watanzania, mmoja mmoja au makampuni yao binafsi yapaswa kupata fursa ya kumiliki hisa za mashirika ya umma.

Kwa hali ilivyo sasa, mashirika ya umma yote, yanayojiendesha kwa faida na yale yanayoendeshwa kwa ruzuku ya Serikali, yanawanufaisha wale tu walioko kwenye mfumo wa Serikali iwe kwa kuajiriwa au nafasi za juu za uongozi au kuwa kwenye bodi ya wakurugenzi. Kwa wananchi wasioajiriwa, wakulima na wachungaji huishi kujiridhisha kuwa mali ya umma ni mali yetu sote!!.
 
Shida mkapa aliwageia kwa bei sawa na bure... alifuja hovyo mali ambazo Nyerere alizijenga kwa jasho. Ndio maana ya majuto haya
 
Shida mkapa aliwageia kwa bei sawa na bure... alifuja hovyo mali ambazo Nyerere alizijenga kwa jasho. Ndio maana ya majuto haya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom