Asante CCM
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 346
- 1,301
Chama cha Mapinduzi ni chama Tawala na kikongwe hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla.
Kwa kuzingatia ukongwe wake pengine ungependa kushauri ama kutoa maoni yako kwa namna ya Chama hicho kiendelee kuboreka na kuyaboresha maisha ya Wananchi?
Zingatia, weka maoni yako kwa lugha ya staha!
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
Kwa kuzingatia ukongwe wake pengine ungependa kushauri ama kutoa maoni yako kwa namna ya Chama hicho kiendelee kuboreka na kuyaboresha maisha ya Wananchi?
Zingatia, weka maoni yako kwa lugha ya staha!
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!