Freeman Mbowe aanza Ziara ya Kikazi Nchini Uingereza

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,755
218,369
Taarifa iliyosambazwa na Chadema kwenda kwa watu wote Duniani imeeleza kwamba , Mwenyekiti wa Chama hicho , Mwamba Mwenyewe, Laingwanan, Mfungwa wa kisiasa ama Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Pemba, anaanza rasmi ziara ya kikazi nchini Uingereza , ambako anatarajiwa kupokelewa na Viongozi Wakuu wa Kimataifa.

Zaidi Taarifa yao hii hapa.

FB_IMG_1687110651341.jpg
FB_IMG_1687110658751.jpg
 
Taarifa iliyosambazwa na Chadema kwenda kwa watu wote Duniani imeeleza kwamba , Mwenyekiti wa Chama hicho , Mwamba Mwenyewe , Laingwanan , Mfungwa wa kisiasa ama Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Pemba , anaanza rasmi ziara ya kikazi nchini Uingereza , ambako anatarajiwa kupokelewa na Viongozi Wakuu wa Kimataifa .

Zaidi Taarifa yao hii hapa .

View attachment 2661813View attachment 2661814
Hakika inapendeza
 
Taarifa iliyosambazwa na Chadema kwenda kwa watu wote Duniani imeeleza kwamba , Mwenyekiti wa Chama hicho , Mwamba Mwenyewe , Laingwanan , Mfungwa wa kisiasa ama Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Pemba , anaanza rasmi ziara ya kikazi nchini Uingereza , ambako anatarajiwa kupokelewa na Viongozi Wakuu wa Kimataifa .

Zaidi Taarifa yao hii hapa .

View attachment 2661813View attachment 2661814
Eti ziara ya kikazi! Ni mkuu wa nchi gani? Sema anaranda kutafuta tonge basi.
 
Taarifa iliyosambazwa na Chadema kwenda kwa watu wote Duniani imeeleza kwamba , Mwenyekiti wa Chama hicho , Mwamba Mwenyewe , Laingwanan , Mfungwa wa kisiasa ama Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Pemba , anaanza rasmi ziara ya kikazi nchini Uingereza , ambako anatarajiwa kupokelewa na Viongozi Wakuu wa Kimataifa .

Zaidi Taarifa yao hii hapa .

View attachment 2661813View attachment 2661814
Angeenda na uberigiji ingefaa saaana
 
Back
Top Bottom