Billal Saadat
Senior Member
- Nov 30, 2022
- 169
- 358
Kupitia muswada wa marekebisho ya sheria ya fedha na kodi.
Kodi na Tozo ambazo si rafiki katika mazingira ya kibiashara zimeondolewa na kufutwa kabisa.
Kodi ya Store ni miongoni mwa kodi zilizoleta mtafaruku hadi kusababisha mgomo kwa wafanyabiashara wa mkoa wa kikodi Kariakoo.
Tozo nyingine zilizopendekezwa kuondolewa ni pamoja na Tozo za miamala pamoja na ushuru wa vitenge kupunguzwa.
Tunampongeza Rais Samia na serikali yake ameonyesha usikivu zaidi katika kuijenga nchi. Mama yuko kazini.
Pia soma
Kodi na Tozo ambazo si rafiki katika mazingira ya kibiashara zimeondolewa na kufutwa kabisa.
Kodi ya Store ni miongoni mwa kodi zilizoleta mtafaruku hadi kusababisha mgomo kwa wafanyabiashara wa mkoa wa kikodi Kariakoo.
Tozo nyingine zilizopendekezwa kuondolewa ni pamoja na Tozo za miamala pamoja na ushuru wa vitenge kupunguzwa.
Tunampongeza Rais Samia na serikali yake ameonyesha usikivu zaidi katika kuijenga nchi. Mama yuko kazini.
Pia soma
- Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023
- UPDATE: Mgomo waendelea Kariakoo kwa Siku ya 3, Wafanyabiashara wataka Mkutano wa Wazi na Majaliwa
- Mgomo wa Kariakoo; Serikali Iwasikilize Wafanyabiashara
- Mwendelezo wa Mgomo, Kiongozi wa Wafanyabiashara Kariakoo adai kuna kikundi kina maslahi binafsi
- Waziri Mkuu Majaliwa aibukia Kariakoo, azungumza na wa fanyabiashara
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa afika Kariakoo. Aagiza task force za TRA kusitisha shughuli zake haraka