Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Akihojiwa na chombo kimoja cha habari, Mwanasheria Phillipo Mwakilima anemkosoa vikali Spika Tulia Ackson kwa staili yake ya kujifanya ni mtafsiri sheria na mwalimu wa sheria kila sehemu...
6 Reactions
12 Replies
2K Views
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mwenyeji wa Rais wa Hungary, Katalin Novak katika Ikulu ya Dar es Salaam, leo Julai 18, 2023. Rais Katalin Novak yupo katika ziara ya siku...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Watanzania tuendelee kukataa mikataba mibovu na tumlaani atakayeingiza nchi kwenye mikataba mibovu kwa sababu wenye akili kama Hayati Magufuli wakiingia madarakani wakianza kuvunja mikataba mibovu...
0 Reactions
2 Replies
397 Views
1.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Stella Mutabihirwa. 2.Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Berthaneema Mlay. 3. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi wa Polisi ACP, Safia...
1 Reactions
5 Replies
991 Views
Katika hali ya kushtua Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar(ZEC) imetangaza kuyafuta Matokeo ya urais wa Zanzibar. Yadaiwa Uchaguzi uligubikwa na kasoro nyingi. Imeahidi kutangaza tarehe rasmi ya...
4 Reactions
802 Replies
114K Views
Tumeona tunavyoshindwa kesi; tumeona mashaka ya wananchi kwenye mkataba; tumeona hata mkataba wenyewe tu unaamini kwamba ipo siku utavunjika au kuleta utata na ndio maana umewekewa kifungu cha...
1 Reactions
4 Replies
907 Views
Habari kutoka kwa Rafiki wa Karibu wa Marehem amenipa taarifa hizo Mh Jaji Zubeir Maulid alikuwa ni mwalimu na aliwahi kuwa Jaji na amewahi kushika nyadhifa mbalimbali Serikalini. Jaji Zuberi...
3 Reactions
98 Replies
15K Views
Tunakumbushana tu Ni Ole Sabaya ndiye Kesi zake zilifuata mfumo wa kimahakama na nyingine alishinda huku Moja akitiwa hatiani Viongozi wa Chadema Kesi zao " ilidaiwa" ni za Kisiasa hivyo...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Leo 14/7/2023 katika mkutano wa Wahariri na Viongozi wa wizara mbali na kuambiwa mikataba itakayo fuata ya kibiashara itakuwa ni SIRI iki maanisha kuna uwezekano tusije jua Ukomo wala Mapato baada...
5 Reactions
34 Replies
5K Views
Hii mikoa 2025 Samia atapata upinzani mkubwa Sana. Nayo Ni - Kilimanjaro - Arusha - Kagera - Mwanza - Iringa - Mbeya - Mara - Shinyanga - Geita - Dar es Salaam SSH anayo kazi kubwa Sana narudia...
11 Reactions
168 Replies
11K Views
Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Masoud Othman ni muumini wa Serikali 3 Wale mnaoiimba Tanganyika muombeeni huyu Mwamba achaguliwe kuwa Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo baada ya Zitto Kabwe...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Baada ya kudodosa dodosa mikataba ya makampuni ambayo yamejikita katika uwekezaji wa Bandari, nimeona na nimejiridhisha kabisa kwamba, masharti ya Wachina kwa Bandari ya Bagamoyo, yalikuwa nafuu...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakili Mohamed Salum amesema mkataba wa Tanzania na DP World sio wa milele, utaisha pindi utekelezaji wa miradi utakapoisha. Aidha, Tanzania haiwajibiki kumpa haki zote DP World kama inavyosemwa...
2 Reactions
95 Replies
7K Views
Waandishi wa habari acheni kulalamika; mnavuna mlichopanda. Thamani yenu imeshuka sana kwenye jamii na miongoni mwa watawala. Hakuna kazi mnayofanywa inayopendwa kwenye jamii. Tumeruhusu nchi...
9 Reactions
19 Replies
1K Views
Q4 Reports ya makampuni ya simu na ving'amuzi imetoka , waziri nape unaupiga mwingi Vodacom kinara bado
0 Reactions
0 Replies
325 Views
Mjue kabisa plan ya vyama vya upinzani ni ipi. Ili mambo yawe sawa serikali hakikisheni mnarekebisha mambo yote yanayopigiwa kelele kwenye mkataba tena mfanye kimyakimya. Tofauti na hapo tayari...
3 Reactions
2 Replies
641 Views
Hilo ni swali ambalo nimejiuliza sipati jibu. Nimeona niwaulize wenyewe labda mtakuja na jibu la maana.
8 Reactions
148 Replies
16K Views
Akijibu maswali ya wadau kuhusu suala la Bandari kuwa la Muungano lakini mkataba wa DPW ni wa Tanzania Bara, msemaji wa TASAC amesema suala la bandari haliwezi kuendeshwa kimuungano...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani kama sikosei kisheria Mh. Rais kama mtumishi wa umma, anayo haki na stahiki ya kwenda likizo ya mwezi kila mwaka kama ilivyo kwa watumishi wote wa umma. Hata kwa wenzake waliomtangulia...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mh Mbunge Cecil David Mwambe, amefanya ziara kata ya Mpanyani na kushiriki Kikao Cha halmashauri kuu kata. Mh Mbunge pia alipata nafasi ya kuwasalimia vijana Wa Shule ya Sekondari ya Mpanyani na...
0 Reactions
0 Replies
779 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…