passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,803
- 13,034
Watanzania tuendelee kukataa mikataba mibovu na tumlaani atakayeingiza nchi kwenye mikataba mibovu kwa sababu wenye akili kama Hayati Magufuli wakiingia madarakani wakianza kuvunja mikataba mibovu huwa nchi inaingia kwenye gharama kubwa ya kulipia kesi na gharama za kuvunja hizo mikataba.
Tuwapige mawe wanaosapoti(machawa) na wanaoingiza nchi kwenye mikataba mibovu kama serikali hii ya sasa hivi.
Tuwapige mawe wanaosapoti(machawa) na wanaoingiza nchi kwenye mikataba mibovu kama serikali hii ya sasa hivi.