Nawaza tu na kushangaa kama Nguli wa Sheria nchini Mwalimu wa Tundu Lissu Prof Kabudi aliingizwa mkenge hapo Kenya tu kwenye Mkataba wa Korosho ndio itakuwa hao Magwiji wa DP World kweli
Tukubali...
Waziri Mkuu ameomba Watanzania waiamini Serikali kwenye uwekezaji unaotaka kufanyika Bandari, akidai kuwa sio uwekezaji wa kwanza wala sio jambo jipya bali kulikuwa na mwekezaji ambaye walimpa...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amezitaka Balozi za Tanzania katika nchi mbalimbali duniani kuanzisha vituo vya utamaduni wa Tanzania ili...
Lissu aheshimiwe.
Lissu mara zote amekuwa akiipigania Tanganyika irudi na tuwe na muundo mwingine wa muungano, lazima mawazo ya Lissu yaheshimiwe na Lissu kuipigania Tanganyika anawakilisha...
MBUNGE ASSA MAKANIKA AMESEMA SERIKALI IMEPELEKA SHILINGI BILIONI 11.6 KUJENGA CHUO CHA TIA MKOA WA KIGOMA
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Mhe. Assa Makanika ameendelea na ziara yake katika...
Wakuu, Balozi mstaafu Dkt. Willbrod Peter Slaa anazungumza live kwenye Medani za Siasa Star TV.
Sababu ya kuondoka CHADEMA ilikuwa ni kumpokea Edward Lowassa kuwa mgombea Urais wa chama hicho...
Wana jf
kwanza habari za jumapili?
Leo nimependezwa kuandika kuhusiana na hili la rais kutoka pande za muuangano yaani Zanzibar au Tanganyika. Kwa kadri siasa ilivyo hivi sasa hapa nchini rais...
Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza kupitia sekta mbalimblai zikiwemo utalii, afya, elimu ili kuchochea ukuaji wa uchumi.
Kitendo cha Rais Samia Suluhu kuvutia...
Sijui Ikulu huwa Kuna nini?
Mwenyekiti wa CCM mwenyewe ndio engineer wa huu mkataba. Lipumba hata hajui Kama Kuna mkataba unaendelea mtaani.
Zitto akiona kuna waarabu basi breki huwa hazikabi...
MBUNGE GULAMALI ATOA MIFUKO 700 YA SIMENTI UJENZI WA SHULE NA ZAHANATI JIMBO LA MANONGA
Mbunge wa Jimbo Manonga Wilaya ya Igunga, Mhe. Seif Khamis Gulamali ameendelea na ziara yake katika Vijiji...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemfunda na kumpa SoMo Waziri wa Nishati January Makamba Kwa kumwambia Achape Kazi na apuuze maneno ya wasiojielewa..
Safi sana kumbe Serikali inajua Waziri Makamba...
Najua unapitia hapa kila siku, naomba ujue sio CHADEMA tu na wapinzani, jiandae kugeukwa na wanaccm ukibazika miaka michache kumalizia urais wako.
Siku ya matokea ya urais ya awamu ya nne...
Mawakili wa Wananchi , Mashujaa ambao wanatumia elimu yao kuokoa Taifa , wametoa utaratibu wa wazi wa Wananchi kuchangia hela ili kuwezesha kesi iliyofunguliwa ili kupinga dhuluma ya Bandari zetu...
Ili jambo ni la kushangaza licha yakua hospitali za serikali mikoani na wilayani ziko kwenye hali ya uhaba wa vifa tiba na ukosefu wa madakitari, ila aitoshi serikali hutumia billion 36 nazaidi...
Hayo yamesemwa leo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania alipotembelea stesheni ya kisasa iliyojengwa eneo la Gerezani jijini Dar es salaam.
Waziri mkuu Kassim Majaliwa aliupongeza...
KISIWA CHA RUKUBA KIMEKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA AFYA
Kisiwa cha Rukuba kiko ndani ya Kata ya Etaro yenye vijiji vinne (Busamba, Etaro, Mmahare na Kisiwa cha Rukuba).
Kisiwa hiki cha Musoma...
Wabari wakuu,
Nimekuja kwenu na swali la kusindikiza 77.
Ikitokea umempa kazi fundi, inaweza kuwa kukujengea kibaraza nyumbani, kukushonea nguo, kutengeneza kabati, kurekebisha gari lako nk...
Huu wimbo wa kila Rais kuambiwa anauza nchi ulianza kwa Rais Mwinyi, unajua sababu ilikuwaje?
Baada ya Nyerere kwenda China mwaka 1966 akasema akakuta kule China kila kitu kinafanywa na serikali...
Naomba tukumbushane, mwaka 2015 Kikwete alisaini mkataba wa kichief mangungo kama huu wa DP World na kampuni Symbioni ya Marekani, mkataba ambao haukua na exit clause, mkataba uliowapa Symbion...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.