LUKAZA
Senior Member
- Nov 30, 2010
- 140
- 70
Habari kutoka kwa Rafiki wa Karibu wa Marehem amenipa taarifa hizo Mh Jaji Zubeir Maulid alikuwa ni mwalimu na aliwahi kuwa Jaji na amewahi kushika nyadhifa mbalimbali Serikalini.
Jaji Zuberi pia amewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar(ZEC).
Marehemu amefariki nyumbani kwake kwa mchina mjini Zanzibar na maziko yanatarajiwa kufanyika kwao Mbuzini Unguja.
Jaji Zuberi pia amewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar(ZEC).
Marehemu amefariki nyumbani kwake kwa mchina mjini Zanzibar na maziko yanatarajiwa kufanyika kwao Mbuzini Unguja.