johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,123
Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Masoud Othman ni muumini wa Serikali 3
Wale mnaoiimba Tanganyika muombeeni huyu Mwamba achaguliwe kuwa Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo baada ya Zitto Kabwe kustaafu siku Zisizo nyingi sana zijazo yaani mapema 2024
OMO ndiye AG bora kabisa kuwahi kutokea ukiziweka Pamoja pande zote mbili za Muungano
Pia soma - Othman Masoud (Makamu wa Rais Z’bar): Hakuna Mkataba mbovu kama huu wa Muungano
Wale mnaoiimba Tanganyika muombeeni huyu Mwamba achaguliwe kuwa Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo baada ya Zitto Kabwe kustaafu siku Zisizo nyingi sana zijazo yaani mapema 2024
OMO ndiye AG bora kabisa kuwahi kutokea ukiziweka Pamoja pande zote mbili za Muungano
Pia soma - Othman Masoud (Makamu wa Rais Z’bar): Hakuna Mkataba mbovu kama huu wa Muungano