JE NI MKATABA WA BANDARI AU MAKUBALIANO YA BANDARI? JE NI MKATABA AU MAKUBALIANO YA TANGANYIKA NA ZANZIBAR?
Leo 13:15hrs 29/06/2023
Rais Museveni alipokuja Chato aliwahi kusema Watanzania tuna...
Kume kuwa na utetezi WA Wanaotetea nkataba WA DPW kuwa ukodishaji WA Bandari sio WA mara ya Kwanza , Kwa kutolea mfano WA Mkataba WA TICTS ambayo ilikuwa na muungano na Hutchinson ya Singapore ...
Kulikuwa na nuru kuwa serikali, polisi, mahakama, bunge to mention but a few, for that matter, watatenda kazi zao bila kuonea upinzania (hasa chadema) na kufuata sheria zilizopo ingawa ni mbovu...
Hellow great thinkers
Tumeskia kwamba endapo kampuni ya DPW ikiwekeza katika bandari yetu (zetu) itatoa 35% ya hisa zake kwa watanzania ili nao wawe sehemu ya kampuni
Naomba kueleweshwa jinsi...
Tuchapeni kazi, serekali yetu sikivu imesikia inafanyia kazi kwa umakini mkubwa maoni yote. Tufunge sasa mjadala huu imetosha, tunachelewa sana kwa mijadala isiyokwisha na ambayo pengine inaweza...
Mahakama kuu kanda ya Arusha leo 16/06/2023 imewaachia huru watu 12 wakiwemo Mashehe waliosingiwa kesi ya Uongo ya Ugaidi.
Walifunguliwa kesi No. 65 ya 2022 na kunyimwa dhamana, ambako wamewekwa...
Marehemu John Chipaka enzi za uhai wake.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha siasa cha upinzani nchini cha TADEA, John Lifa Chipaka amefariki dunia jana jioni katika Hospitali ya Ibrahim Haji ya...
Taarifa kutoka Mbeya inaeleza kwamba, Taasisi isiyo ya kiserikali imeiomba Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya, kuruhusu kesi iliyofunguliwa na Wananchi Wazalendo ya kupinga Mkataba wa Milele wa Bandari...
Igweeeeeeeeee,
Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.
Na kwa...
Kuna sehemu wananchi umewakosea. Tafakari!
Toka uanze kazi ni mikoa 2 tu sijatembelea nayo ni Kagera na Kigoma. Mikoa mingine yote nimefika na kujaribu kufanya utafiti wa kawaida.
Hali ni mbaya...
Tukio hili linanikumbusha tukio moja liliwahi kufanyika ktk moja ya majengo ya Bunge
Kwa wale waandishi waliopata kuriport Bunge wanajua heka heka za kufile stories maswali na majibu na story...
Waliokuwepo zama hizo na wasio Wanafiki watanielewa, mzee Mwinyi aliikuta nchi katika halo Ngumu ya kiuchumi kuliko Rais mwingine yoyote
Kipekee niwashukuru Prof Kighoma Malima aliyekuwa Waziri...
Naomba tu kuelimishwa Huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni wa Makubaliano au Mkataba?
Nimejiuliza hili swali baada ya Kauli ya Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Masoud Othman kwamba...
Kuna uwezekano Prof. Mbarawa hakusoma mkataba kabla ya kusaini, hadi kusaini alishaanza kusaini nafasi ya katibu mkuu.
Kuna nguvu kubwa ilitumika kupitisha hili dubwasha, haiwezekani jambo kubwa...
Leo tarehe 17 Julai, 2023 Mafunzo ya matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 yamefunguliwa Mkoani Manyara na Anna Makinda, Kamisaa na Muhamasishaji wa Sensa Tanzania, na...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Ukonga kiliandaa Mkutano wa Hadhara huko Chanika, Katibu Mkuu wa Chama hicho John Mnyika ndiye aliyekuwa mtoa mada. Jambo kubwa lililozungumzwa...
Baadhi ya wanasheria wanasema tujitoe kwenye IGA kwa sababu tukishindwa kutekeleza tunaweza kushitakiwa. Mwanazuoni huyu anakataa- soma:-
Intergovernmental agreements
Authors: Daryl R Williams...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.