Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimefuatilia mijadala Bungeni kuhusu Sheria za Uchaguzi. Nilitegemea kusikia ushauri, maoni yaliyotolewa na wadau wote yakijadiliwa moja baada ya moja lakini cha kushangaza Wabunge wengi...
1 Reactions
9 Replies
696 Views
Ni ukweli kabisa, mimi nikiwa tayari kabisa kwenda Israel na kuwa kibarua kwenye mashamba ya Wayahudi hao wa mashariki ya kati, Kwa mshahara wa 4M!! Usinitanie bhana! Nawasemea vijana lukuki wa...
10 Reactions
114 Replies
8K Views
Mtifuano mkali katikati ya majira tete ya chaguzi za 2024 na 2025 baina ya viongozi waandamizi wa CCM na serikali yake kuhusu mipaka ya kazi na uwajibikaji wa viongozi hao unaleta ukakasi na...
1 Reactions
4 Replies
783 Views
Chuo hiki kikongwe nchini kinatimiza miaka 60 toka kuanzisha Nini changamoto,mafanikio na mafunzo kwa watawala, maprofesa na wanafunzi? **Cha ajabu chuo hiki pendwa hii. Hakuna midahalo, Wala...
7 Reactions
59 Replies
7K Views
Ndugu zangu Watanzania, Baada ya Mheshimiwa Paul Makonda kusimamisha ziara yake kwa siku chache ili kuungana na kushiriki katika ziara ya Mheshimiwa Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
“Tunaendelea kuwaomba ifikapo Februari 16 tutakuwa tumekamilisha majaribio kwenye bwawa la Mwalimu Nyerere na hivyo tunategemea megawati za mwanzo 215 tutaanza kuzipata [...] Tunaomba mwendelee...
1 Reactions
5 Replies
671 Views
Mbunge Abdulhafar Juma akichangia kwenye miswada ya sheria uchaguzi ametoa pendekezo la kuongeza kipengele cha kutoa elimu namna ya kupokea matokeo. Akisema, "Kushindwa kwa baadhi ya viongozi...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Serikali yetu pendwa chini ya Rais wetu Mama Samia Suluhu imekuwa ikitudanganya baadhi ya mambo, na mbaya zaidi serikali yetu imekuwa haituletei mrejesho wa mambo waliyotuahidi. Haya ni baadhi ya...
1 Reactions
2 Replies
445 Views
Kama raia, tanapoyatamini na kuyatafuta maendeleo lazima kuna ukweli tunahitaji kuufahamu vizuri. Mojawapo ni hili la kwamba demokrasia haileti maendeleo, pia udikteta hauleti maendeleo...
4 Reactions
15 Replies
733 Views
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi anasema "Ilipotokea ajali ya mabomu kule Gongo la Mboto, mimi nikiwa Waziri wa ulinzi nilipeleka ujumbe kwa Rais wangu wakati huo Mhe. Kikwete nikimtaka...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Naambiwa mkurugezi wa mwendo kasi akijumuisha salary, posho, safari na usafiri kwa mwezi mmoja anatumia zaidi ya milioni kumi za wananchi. Lakini pamoja na kulipwa fedha zote hizo bado hakuna...
14 Reactions
46 Replies
3K Views
Wakati wa Awamu ya 4 Rais akiwa Kikwete CHADEMA walikuwa Wanafanya sana mikutano ya hadhara tena bila chopa na walipata nyomi. Lakini awamu pamoja na kuruhusiwa na Rais Samia bado hawafanyi...
0 Reactions
4 Replies
595 Views
Salaam ndugu zangu, Mwaka huu miezi ijayo tunatarajia kuwa na Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Nimekuwa siridhishwi na uongozi wa Serikali ya mtaa wetu kwa mambo mengi sana. Nataka nijaribu...
1 Reactions
3 Replies
551 Views
Kwa mjibu wa katibu mwenezi wa CCM Taifa, ndugu Paul C. Makonda, Taifa letu lina viongozi wazalendo ambao wakipewa kazi wanafanya kazi kuhakikisha nchi inapiga hatua kimaendeleo. Lakini kwa...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Tanzania na Global Fund zimesaini mikataba minne ya misaada yenye thamani ya dola za Marekani milioni 606.9 sawa na zaidi ya shilingi trilioni 1.4 kwa ajili ya kupambana na maradhi ya UKIMWI...
1 Reactions
40 Replies
3K Views
"Kwa kuwa tunaamini kwamba tukiunganishwa kwenye gridi ya Taifa ndiyo itakuwa utatuzi wa changamoto ya umeme lakini maeneo ambayo tayari walishaunganishwa bado umeme unakatika". "Mwaka jana...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amewataka watu walioficha Dola kwa malengo ya kusubiri zipande thamani na kujipatia Faida zaidi kubwa, waziachie kwenye mzunguko wa Biashara...
15 Reactions
114 Replies
13K Views
Ndugu zangu Watanzania, Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa Mheshimiwa Paul Makonda Mwamba na Jabali wa siasa na kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara. Hii leo asubuhi...
3 Reactions
43 Replies
5K Views
Kama una nia njema huwezi kukataa kitu ambacho watu 99.999% wanakipigania ila wewe tu mmoja unakataa. By necessary implication ni kuwa wewe una nia OVU. Katiak social science kuna WENGI WAPE as...
9 Reactions
24 Replies
2K Views
Viongozi wa TANZANIA wengi wao ni watu wa Maofisini tu. Tumesikia Mkurugenzi wa Mabasi ya Mwendokasi hajawahi kutembelea Kituo cha Mabus cha Gerezani toka ameteuliwa yeye ni OFISINI tu kuidhinisha...
2 Reactions
4 Replies
540 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…