Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,116
"Kwa kuwa tunaamini kwamba tukiunganishwa kwenye gridi ya Taifa ndiyo itakuwa utatuzi wa changamoto ya umeme lakini maeneo ambayo tayari walishaunganishwa bado umeme unakatika".
"Mwaka jana serikali ilitujibu kwamba changamoto ya kukatika kwa umeme inatokana na upungufu wa maji kwa sasa maji ni mengi na mafuriko juu nini sababu nyingine inayopelekea umeme kukatikatika nchi hii".
"Mwaka jana serikali ilitujibu kwamba changamoto ya kukatika kwa umeme inatokana na upungufu wa maji kwa sasa maji ni mengi na mafuriko juu nini sababu nyingine inayopelekea umeme kukatikatika nchi hii".