johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,992
- 142,008
Wakati wa Awamu ya 4 Rais akiwa Kikwete CHADEMA walikuwa Wanafanya sana mikutano ya hadhara tena bila chopa na walipata nyomi.
Lakini awamu pamoja na kuruhusiwa na Rais Samia bado hawafanyi Mikutano kabisa!
Tatizo nini?
Lakini awamu pamoja na kuruhusiwa na Rais Samia bado hawafanyi Mikutano kabisa!
Tatizo nini?