Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,566
Salaam ndugu zangu,
Mwaka huu miezi ijayo tunatarajia kuwa na Uchaguzi wa Serikali za Mtaa
Nimekuwa siridhishwi na uongozi wa Serikali ya mtaa wetu kwa mambo mengi sana. Nataka nijaribu kugombea ili nami nitoe mchango wangu kusaidia changamoto za watu mtaa wetu kwa namna mbalimbaki lakini bado sijajua utaratibu na vigezo vinavyohitajika.
Kwa wanaoelewa vizuri taratibu za kufuatwa naomba msaada wa kueleweshwa Mimi na wengine wenye nia kama yangu.
Natanguliza shukrani
Mwaka huu miezi ijayo tunatarajia kuwa na Uchaguzi wa Serikali za Mtaa
Nimekuwa siridhishwi na uongozi wa Serikali ya mtaa wetu kwa mambo mengi sana. Nataka nijaribu kugombea ili nami nitoe mchango wangu kusaidia changamoto za watu mtaa wetu kwa namna mbalimbaki lakini bado sijajua utaratibu na vigezo vinavyohitajika.
Kwa wanaoelewa vizuri taratibu za kufuatwa naomba msaada wa kueleweshwa Mimi na wengine wenye nia kama yangu.
Natanguliza shukrani