Mjadala bungeni kuhusu sheria ya uchaguzi

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
388
772
Nimefuatilia mijadala Bungeni kuhusu Sheria za Uchaguzi. Nilitegemea kusikia ushauri, maoni yaliyotolewa na wadau wote yakijadiliwa moja baada ya moja lakini cha kushangaza Wabunge wengi wamejikita kujadili tu marekebisho kuhusu Wakurugenzi na Jinsia.

Kuna ushauri uliotolewa na wadau kama upatatikanaji wa Mwenyekiti, Wajumbe wa Tume haya yote sijasikia yakijadiliwa. Pia walishauri Mkurugenzi wa Tume anapatikana kwa njia gani haya yote sijasikia yakijadiliwa.

Naombeni mnishauri mjadala Bungeni yamelenga marekebisho yapi?.
 
Nimefuatilia mijadala Bungeni kuhusu Sheria za Uchaguzi. Nilitegemea kusikia ushauri, maoni yaliyotolewa na wadau wote yakijadiliwa moja baada ya moja lakini cha kushangaza Wabunge wengi wamejikita kujadili tu marekebisho kuhusu Wakurugenzi na Jinsia.

Kuna ushauri uliotolewa na wadau kama upatatikanaji wa Mwenyekiti, Wajumbe wa Tume haya yote sijasikia yakijadiliwa. Pia walishauri Mkurugenzi wa Tume anapatikana kwa njia gani haya yote sijasikia yakijadiliwa.

Naombeni mnishauri mjadala Bungeni yamelenga marekebisho yapi?.
Pale hatuna bungu.
Tuna kikundi cha mipasho.
Yaani mtu mzima anae itwa mheshimiwa ati ana ongekea kuolewa? Iko kwenye kifungu gani hiyoo..
Wabunge walio ingia kwa kubebwa hawawezi kuwa na uchungu na Taifa
 
Nimefuatilia mijadala Bungeni kuhusu Sheria za Uchaguzi. Nilitegemea kusikia ushauri, maoni yaliyotolewa na wadau wote yakijadiliwa moja baada ya moja lakini cha kushangaza Wabunge wengi wamejikita kujadili tu marekebisho kuhusu Wakurugenzi na Jinsia.

Kuna ushauri uliotolewa na wadau kama upatatikanaji wa Mwenyekiti, Wajumbe wa Tume haya yote sijasikia yakijadiliwa. Pia walishauri Mkurugenzi wa Tume anapatikana kwa njia gani haya yote sijasikia yakijadiliwa.

Naombeni mnishauri mjadala Bungeni yamelenga marekebisho yapi?.
Hao wanaojadili ndio wenye nchi sasa sisi tutasema lipi watusikie huku wakiwa wamejifungia gubi gubi ndani ya mjengo wao.
 
Nimefuatilia mijadala Bungeni kuhusu Sheria za Uchaguzi. Nilitegemea kusikia ushauri, maoni yaliyotolewa na wadau wote yakijadiliwa moja baada ya moja lakini cha kushangaza Wabunge wengi wamejikita kujadili tu marekebisho kuhusu Wakurugenzi na Jinsia.

Kuna ushauri uliotolewa na wadau kama upatatikanaji wa Mwenyekiti, Wajumbe wa Tume haya yote sijasikia yakijadiliwa. Pia walishauri Mkurugenzi wa Tume anapatikana kwa njia gani haya yote sijasikia yakijadiliwa.

Naombeni mnishauri mjadala Bungeni yamelenga marekebisho yapi?.
Nami nimestaajabu. Dunia ya leo ya kina Netanyahu,Putin, Hamas, Biden nk bunge letu linapitisha mswada wa kuzuia mwanamke kuombwa ngono ili apitishwe kugombea. Ni aibu kubwa!!!
 
Wasipotezee kujadili vifungu vya mswada kwa kujadili hoja ya ukatili wa kijinsia wakirudia rudia wahame hapo tumesikia kuna vifungu vingine ambavyo ni cross cutting km daftari la mpiga kura.
 
Nimefuatilia mijadala Bungeni kuhusu Sheria za Uchaguzi. Nilitegemea kusikia ushauri, maoni yaliyotolewa na wadau wote yakijadiliwa moja baada ya moja lakini cha kushangaza Wabunge wengi wamejikita kujadili tu marekebisho kuhusu Wakurugenzi na Jinsia.

Kuna ushauri uliotolewa na wadau kama upatatikanaji wa Mwenyekiti, Wajumbe wa Tume haya yote sijasikia yakijadiliwa. Pia walishauri Mkurugenzi wa Tume anapatikana kwa njia gani haya yote sijasikia yakijadiliwa.

Naombeni mnishauri mjadala Bungeni yamelenga marekebisho yapi?.

Mkuu hongera kwa kusikiliza hilo bunge, je ulitarajia kusikia tofauti na hicho ulichosikia?
 
Mkuu hongera kwa kusikiliza hilo bunge, je ulitarajia kusikia tofauti na hicho ulichosikia?
Hawajielewi, hao kwa hiyo usitarajie maajabu hapo. Ila watu kama hao wamejihakikishia kuwa wataendelea kutawala milele kitu ambacho sio kweli. Wakitoka madarakani hao kwa namna yoyote ile, wakalazimika kukaa upande wa pili watapiga kelele kudai haki hiyohiyo wanayoikatalia wao leo
 
una ushauri uliotolewa na wadau kama upatatikanaji wa Mwenyekiti, Wajumbe wa Tume haya yote sijasikia yakijadiliwa. Pia walishauri Mkurugenzi wa Tume anapatikana kwa njia gani haya yote sijasikia yakijadiliwa.
Wanaojadili ni wa chama kimoja!
Wanaotakaiwa kutoa maamuzi ni haohao!
Wasiotaka mabadiliko ni chama hichohicho!
Wananchi hiki chama wametuchezea sana sasa tuseme hapana!
 
Back
Top Bottom