Rais Samia, kama walivyofanya Malawi na sasa Kenya, nasi kama vijana wa Tanzania, tupo tayari kwenda Israel kuwa vibarua

Nsanzagee

JF-Expert Member
Jun 28, 2023
1,956
4,143
Ni ukweli kabisa, mimi nikiwa tayari kabisa kwenda Israel na kuwa kibarua kwenye mashamba ya Wayahudi hao wa mashariki ya kati,

Kwa mshahara wa 4M!! Usinitanie bhana!

Nawasemea vijana lukuki wa Kitanzania na ambapo wengine wakiwa maofisini na wengine mitaani wakihangaika kutafuta ajira wasipate, huku walioko maofsini wakilipwa mshahara kidogo ukilinganisha na mshahara wa kibarua wa mashamba huko Israeli

Mh Rais, unapoamua maamzi haya, ni kutusaidia sisi vijana ili kujipatia kipato, kujijenga kiuchumi na kuijenga nchi yetu.

Kama tunakopa na ili tufanye maendeleo, maana yake ni kwamba, bado tupo chini ya mataifa hayo tunayoyakopa na hatujajikomboa kutoka katika hali ya utumwa wa kiumasikini

Kwa mantiki hiyo, unapotoa fursa hiyo kwa vijana, ni umetoa nafasi ya wao kujikomboa kutoka kwenye umasikini wao.

Huo sio utumwa, maana hata hapa nchini, kazi za kufanya kazi ya mashamba ya watu ipo na inaendelea.

Kama kufanya kazi kwenye mashamba ya wayahudi hao ni utumwa, vipi wale wanaofanya kazi hizo hizo kwenye mashamba ya waswahili wenzao na kwa malipo kidogo!

Binafisi, nipo tayari hata ikiwa ni leo usiku.
 
Ni ukweli kabisa, mimi nikiwa tayari kabisa kwenda Israel na kuwa kibarua kwenye mashamba ya Wayahudi hao wa mashariki ya kati,

Nawasemea vijana lukuki wa Kitanzania na ambapo wengine wakiwa maofisini na wengine mitaani wakihangaika kutafuta ajira wasipate, huku walioko maofsini wakilopwa mshahara kidogo ukilinganisha na mshahara wa kibarua wa mashamba huko Israeli

Mh Rais, unapoamua maamzi haya, ni kutusaidia sisi vijana ili kujipatia kipato na kuijenga nchi yetu

Kama tunakopa na ili tufanye maendeleo, maana yake ni kwamba, bado tupo chini ya mataifa hayo tunayoyakopa na hatujajikomboa kutoka katika lindi la umasikini

Kwa mantiki hiyo, unapotoa fursa hiyo kwa vijana, ni uetoa nafasi ya wao kujikomboa kutoka kwenye umasikini wao

Huo sio utumwa, maana hata hapa nchini, kazi za kufanya kazi ya mashamba ya watu ipo na inaendelea

Kama kufanya kazi kwenye mashamba ya wayahudi hao ni utumwa, vipi wale wanaofanya kazi hizo hizo kwenye mashamba ya waswahili wenzao na kwa malipo kidogo!

Binafii, nipo tayari hata ikiwa ni leo usiku
Nendeni mpelekwe Gaza kama jeshi la kukodi mkateketee halafu ndugu zenu waje humu kutufanyia fuji
 
Tatizo utakufa vipi? Ukifa ukiwa muislamu mwenye kufanya ibada hapo sawa. Ukifa nje ya uislam hapo ndio shida
Sasa wewe ni mwislamu na muoga wa kufa, huko unakokutarajia ufike unamashaka nako? Si kwa uwoga huo mkuu

Ukiwa unamashaka na uendako, Uje kwa Yesu, hatuna mashaka, ukifa katika Yesu, ni moja kwa moja kwa muumbaji wako mkuu
 
Ni ukweli kabisa, mimi nikiwa tayari kabisa kwenda Israel na kuwa kibarua kwenye mashamba ya Wayahudi hao wa mashariki ya kati,

Kwa mshahara wa 4M!! Usinitanie bhana!

Nawasemea vijana lukuki wa Kitanzania na ambapo wengine wakiwa maofisini na wengine mitaani wakihangaika kutafuta ajira wasipate, huku walioko maofsini wakilipwa mshahara kidogo ukilinganisha na mshahara wa kibarua wa mashamba huko Israeli

Mh Rais, unapoamua maamzi haya, ni kutusaidia sisi vijana ili kujipatia kipato, kujijenga kiuchumi na kuijenga nchi yetu.

Kama tunakopa na ili tufanye maendeleo, maana yake ni kwamba, bado tupo chini ya mataifa hayo tunayoyakopa na hatujajikomboa kutoka katika hali ya umasikini.

Kwa mantiki hiyo, unapotoa fursa hiyo kwa vijana, ni umetoa nafasi ya wao kujikomboa kutoka kwenye umasikini wao.

Huo sio utumwa, maana hata hapa nchini, kazi za kufanya kazi ya mashamba ya watu ipo na inaendelea.

Kama kufanya kazi kwenye mashamba ya wayahudi hao ni utumwa, vipi wale wanaofanya kazi hizo hizo kwenye mashamba ya waswahili wenzao na kwa malipo kidogo!

Binafii, nipo tayari hata ikiwa ni leo usiku.
Badala ya kumuomba Rais aharakishe zoezi la Upatikanaji wa Katiba Mpya pamoja na kurekebisha sheria zote za nchi hii ili kuweka Mazingira mazuri na wezeshi ya watu kuweza kujiajiri wao wenyewe au kuajiriwa kwa urahisi hapa hapa nchini, wewe unaomba kupelekwa utumwani Israel.!! Akili mbovu za namna hii zitaondoka lini kwa vijana wa Tz???? Hakuna nchi hata moja hapa duniani ambayo imeendelea kwa bahati mbaya.
Mapinduzi ya Fikra yanahitajika sana kwa Watanzania ili tutoke hapa tulipokwama.
 
Ni ukweli kabisa, mimi nikiwa tayari kabisa kwenda Israel na kuwa kibarua kwenye mashamba ya Wayahudi hao wa mashariki ya kati,

Kwa mshahara wa 4M!! Usinitanie bhana!

Nawasemea vijana lukuki wa Kitanzania na ambapo wengine wakiwa maofisini na wengine mitaani wakihangaika kutafuta ajira wasipate, huku walioko maofsini wakilipwa mshahara kidogo ukilinganisha na mshahara wa kibarua wa mashamba huko Israeli

Mh Rais, unapoamua maamzi haya, ni kutusaidia sisi vijana ili kujipatia kipato, kujijenga kiuchumi na kuijenga nchi yetu.

Kama tunakopa na ili tufanye maendeleo, maana yake ni kwamba, bado tupo chini ya mataifa hayo tunayoyakopa na hatujajikomboa kutoka katika hali ya umasikini.

Kwa mantiki hiyo, unapotoa fursa hiyo kwa vijana, ni umetoa nafasi ya wao kujikomboa kutoka kwenye umasikini wao.

Huo sio utumwa, maana hata hapa nchini, kazi za kufanya kazi ya mashamba ya watu ipo na inaendelea.

Kama kufanya kazi kwenye mashamba ya wayahudi hao ni utumwa, vipi wale wanaofanya kazi hizo hizo kwenye mashamba ya waswahili wenzao na kwa malipo kidogo!

Binafii, nipo tayari hata ikiwa ni leo usiku.


Migrant workers in Israel: A contemporary form of slavery

View attachment 2836903
https://reliefweb.int › report › migrant-workers-israel-...





25 Aug 2003 — The situation in Israel is unique though since migrant workers are deliberately used to replace Palestinian workers and also because of the role ...
 
Ni ukweli kabisa, mimi nikiwa tayari kabisa kwenda Israel na kuwa kibarua kwenye mashamba ya Wayahudi hao wa mashariki ya kati,

Kwa mshahara wa 4M!! Usinitanie bhana!

Nawasemea vijana lukuki wa Kitanzania na ambapo wengine wakiwa maofisini na wengine mitaani wakihangaika kutafuta ajira wasipate, huku walioko maofsini wakilipwa mshahara kidogo ukilinganisha na mshahara wa kibarua wa mashamba huko Israeli

Mh Rais, unapoamua maamzi haya, ni kutusaidia sisi vijana ili kujipatia kipato, kujijenga kiuchumi na kuijenga nchi yetu.

Kama tunakopa na ili tufanye maendeleo, maana yake ni kwamba, bado tupo chini ya mataifa hayo tunayoyakopa na hatujajikomboa kutoka katika hali ya umasikini.

Kwa mantiki hiyo, unapotoa fursa hiyo kwa vijana, ni umetoa nafasi ya wao kujikomboa kutoka kwenye umasikini wao.

Huo sio utumwa, maana hata hapa nchini, kazi za kufanya kazi ya mashamba ya watu ipo na inaendelea.

Kama kufanya kazi kwenye mashamba ya wayahudi hao ni utumwa, vipi wale wanaofanya kazi hizo hizo kwenye mashamba ya waswahili wenzao na kwa malipo kidogo!

Binafii, nipo tayari hata ikiwa ni leo usiku.
Wameshaanza kuandikisha. Nimeweka thread hapa moderator wakafuta. Israel's ambassador in Kenya, Michael Lotem, told the BBC that Israel was planning to recruit farm workers from Uganda as well, while recruitment in Tanzania had already started.
 
Back
Top Bottom