Kama una nia njema huwezi kukataa kitu ambacho watu 99.999% wanakipigania ila wewe tu mmoja unakataa. By necessary implication ni kuwa wewe una nia OVU. Katiak social science kuna WENGI WAPE as opposed to natural science, na hivyo CCM inabidi ikubali matakwa ya wengi.
Kuna mambo hayahitaji kusoma, darasani, ni common sense, intuition , logic etc etc. Refa hawezi kuwa mchezaji wa timu yenu, timu pinzani ataionea tu! It is a matter of common sense and logic!
Kuna kesi moja mahakamani katika cross examination aliulizwa swali: Ukikuta baba yako anapigana na mtu mwingine utamsaidia nani, akasema baba yangu. Ushahidi wake ulitupwa kwa sababu alionesha bias.
Unategemea Mkurugenzi asimsaidie CCM aliyempa ulaji?
Kuna mambo hayahitaji kusoma, darasani, ni common sense, intuition , logic etc etc. Refa hawezi kuwa mchezaji wa timu yenu, timu pinzani ataionea tu! It is a matter of common sense and logic!
Kuna kesi moja mahakamani katika cross examination aliulizwa swali: Ukikuta baba yako anapigana na mtu mwingine utamsaidia nani, akasema baba yangu. Ushahidi wake ulitupwa kwa sababu alionesha bias.
Unategemea Mkurugenzi asimsaidie CCM aliyempa ulaji?