Serikali yetu pendwa chini ya Rais wetu Mama Samia Suluhu imekuwa ikitudanganya baadhi ya mambo, na mbaya zaidi serikali yetu imekuwa haituletei mrejesho wa mambo waliyotuahidi.
Haya ni baadhi ya mambo ambayo Serikali yetu ilituahidi pasi na kuyatekeleza,
Ombi langu kwa Serikali yetu - NAOMBA MUWE MNATUPA AHADI ZA KWELI NA SIO KUTUDANGANYA.
Written by Mjanja M1
Haya ni baadhi ya mambo ambayo Serikali yetu ilituahidi pasi na kuyatekeleza,
Ombi langu kwa Serikali yetu - NAOMBA MUWE MNATUPA AHADI ZA KWELI NA SIO KUTUDANGANYA.
Written by Mjanja M1