Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wizara ya nishati tangu naijua na kuisikia sijawahi kuona ikipewa waziri mtaalamu wa umeme, watu wa electrical engineering au power systems engineering. Tofauti na Profesa Muhongo ambaye angalau...
1 Reactions
10 Replies
820 Views
Baada ya JPM kuharibu uchumi wa nchi, hotel nyingi ziligeuzwa hosteli za kulala watoto wa shule, badala ya kuingiza mamia ya madola. Ngurdoto imerudi. JPM alihakikisha anaziua hotel nyingine...
20 Reactions
88 Replies
12K Views
Tundu Lissu amefika kwenye Msiba wa Lowassa kuhani na kuwapa pole Wafiwa , ambapo amemmwagia sifa Lowassa na kuzungumza kwamba baada ya Nyerere Lowassa ndiye Mwanasiasa aliyefuatia kwa...
34 Reactions
84 Replies
6K Views
Edward Lowassa ameibua mjadala muhimu sana kwa taifa letu, hasa ikizingatiwa kwamba taifa linakabiliwa na uhaba mkubwa wa rasilimali kazi, hivyo ni muhimu tukafanya maamuzi juu ya wapi tuweke...
7 Reactions
38 Replies
4K Views
Uuzaji na ubinafsishaji wa mali za wananchi watua huko Kilimanjaro. Kuna kila dalili hali ikawa mbaya kwa wananchi waliojenga mahotel ya Kitalii arusha mjini kwani: 1. Watalii watashuka uwanjani...
6 Reactions
35 Replies
5K Views
Nimeona mjadala wa “Kusoma magazeti”. Nimeelekeza TCRA kuruhusu UBUNIFU kwenye tasnia ya Habari. Staili ya usomaji we magazeti imeongeza MVUTO kwenye usomaji huo, ni jambo linapaswa KUTIWA MOYO...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Mapambano ya kuufuta umasikini uliokithiri katika nchi zilizo kusini mwa jangwa la Sahara yanaendelea siku hadi siku yakiwa na mipango na mbinu mbali mbali, nchini Tanzania almaarufu nchi ilioko...
3 Reactions
65 Replies
8K Views
Jana nimeangalia kwenye TV TBC, Lowasa alikuwa anapinga initiative ya rafiki yake kuhusu kilimo kwanza, anasema yeye anaamini elimu kwanza, kilimo baadae, inawezekana akawa na point, lakini mbona...
1 Reactions
119 Replies
10K Views
WANANCHI wa kata ya Uru Kusini wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro wameondokana na adha upatikanaji wa hudumu za afya baada ya serikali kujenga kituo cha afya ha kisasa Kukamilika kwa kituo hicho...
2 Reactions
8 Replies
709 Views
Wakati wa mjadala mkali wa kashfa ya Richmond bungeni, huku tume iliyochunguza kashfa hiyo ikibanwa kuwa haikutoa nafasi kwa watuhumiwa hasa Lowassa kujitetea, aliibuka mwenyekiti wa tume ile...
13 Reactions
49 Replies
4K Views
Chama cha Mapinduzi (CCM) tangia kilipoanzishwa,Kilikuwa na utaratibu mzuri tu.Kila aliyeteuliwa alikuwa akiheshimu madaraka ya mwenzie na pia kulikuwa na ustaarabu wa kutokimbilia ovyo kwa...
0 Reactions
3 Replies
788 Views
Mjumbe wa kamati kuu na mgombea urais mwaka 2015 ndugu Edward Lowassa, amewasili makao makuu ya Polisi saa nne kama alivyoambiwa na DCI. Lowassa alikuwa amefuatana na Magari manne ya kwake pamoja...
37 Reactions
604 Replies
92K Views
Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kudai kuna changamoto ya Watumishi wanaoomba kuhama kushindwa kutekelezewa maombi yao pamoja na kutengenezewa mazingira ya rushwa, Ofisi ya Rais – TAMISEMI imesema...
5 Reactions
14 Replies
7K Views
Heshima kwenu wakuu, Hii Wizara imekuwa Mwiba kwa kila Mtu alokanyaga ndani kuiongoza. Haijamuacha salama.Leo nimeona niongelee hili swala ili kuweka kumbukumbu sawa. Ntaomba michango ya...
2 Reactions
27 Replies
13K Views
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika Mkutano wa Future Ready Summit, unaofanyika JINCC likifandhiliwa na Vodacom, Stanbic, WB nk amesema amenunua simu kwa mkopo kwa kuwa hakuwa na cash. Hili...
4 Reactions
35 Replies
3K Views
Kuna uwezekano Doto Biteko hajui ukomo wa madaraka yake kunakoelekea nchi kuingia gizani na umaskini mkubwa kuwanyemelea Watanzania kwa kumtegemea mtu mmoja. Doto anahangaika na Unaibu waziri...
1 Reactions
5 Replies
792 Views
Mbunge wa Sumbawanga Mjini Aeshi Hilary ameoneshwa na kusikitshwa kwake Kwa hatua ya Benki ya TIB kuuza shamba ambalo lilikuwa linamilikiwa na Marehemu Mzindakaya ambalo Lina thamani ya Shilingi...
5 Reactions
36 Replies
3K Views
Mhe. Spika na Katibu wa Bunge. nimelazimika kuandika waraka huu kwenu kama malalamiko Rasmi ya jinsi ambavyo kwa muda mrefu jeshi la polisi wilaya ya Armeru na Mkoa wa Arusha wamekuwa wajaribu...
3 Reactions
40 Replies
5K Views
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Ndg. Ridhiwani Kikwete amewaonya watumishi na waratibu wa mradi wa kuondoa umaskini (TASAF) kuhusu matumizi mabaya ya pesa za mradi na...
1 Reactions
6 Replies
840 Views
Mwaka 2013 ama na 14, aliyekuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Maselle, alikuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya chakula cha usiku na Vijana wa vyuoni pale Mwanza, nilipata nafasi ya kuwepo...
1 Reactions
2 Replies
444 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…