Watanzania kwenye usingizi mzito, DP World wanachanja mbuga

Nov 6, 2016
53
146
WENZETU WAMEFUNGUKA KUZIONA FURSA, SISI BADO TUPO USINGIZINI, DP WORLD WANASHIKA HATAMU

Na Comrade Ally Maftah

Wakati wenzetu wanajiunganisha na dunia na kufurahia mema ya Dunia, sisi bado tupo kwenye usingizi mzito na tunaachia haja zetu vitandani, tukitokwa na maneno kwamba eti Nchi inauzwa, NCHI INAWEZAJE KUUZWA?

DP World ni wawekezaji amabao wameshika hatamu katika uendeshaji wa Bandari, na wanafaya biashara na nchi kama Angola, Ethiopia, Rwanda, Mali na nchi kadhaa tunawaona wanasaini mikaba, wakati sisi bado tupo kwenye kiza, tukishangilia kujitenga na dunia, tumejifunga vibwebwe na usinga, wazaramo wanalipiga togwa, wahehe na ulanzi, wachaga na mbege, tukifurahia kuwa nyuma kiuchumi na kitechnolojia.

DP World wapo katika mazungumzo na Kenya ili kupanua bandari ya Mombasa, wakifanikiwa kwa kuchelewa kwetu tumekwisha, kwani mizigo yote itapitia Mombasa, tutabaki tunakamuana kodi za ndani,

ITAENDELEA

Imeandikwa na
Comrade Ally Maftah
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam
Mjumbe Mkutano Mkuu Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam
Mwanzilishi na Mmiliki wa Mtandao wa CAM STORE

20230830_132114.jpg
IMG-20230830-WA0118.jpg
IMG-20230830-WA0119.jpg
IMG-20230830-WA0121.jpg
IMG-20230830-WA0122.jpg
IMG-20230830-WA0120.jpg
 
WENZETU WAMEFUNGUKA KUZIONA FURSA, SISI BADO TUPO USINGIZINI, DP WORLD WANASHIKA HATAMU

Na Comrade Ally Maftah

Wakati wenzetu wanajiunganisha na dunia na kufurahia mema ya Dunia, sisi bado tupo kwenye usingizi mzito na tunaachia haja zetu vitandani, tukitokwa na maneno kwamba eti Nchi inauzwa, NCHI INAWEZAJE KUUZWA?

DP World ni wawekezaji amabao wameshika hatamu katika uendeshaji wa Bandari, na wanafaya biashara na nchi kama Angola, Ethiopia, Rwanda, Mali na nchi kadhaa tunawaona wanasaini mikaba, wakati sisi bado tupo kwenye kiza, tukishangilia kujitenga na dunia, tumejifunga vibwebwe na usinga, wazaramo wanalipiga togwa, wahehe na ulanzi, wachaga na mbege, tukifurahia kuwa nyuma kiuchumi na kitechnolojia.

DP World wapo katika mazungumzo na Kenya ili kupanua bandari ya Mombasa, wakifanikiwa kwa kuchelewa kwetu tumekwisha, kwani mizigo yote itapitia Mombasa, tutabaki tunakamuana kodi za ndani,

ITAENDELEA

Imeandikwa na
Comrade Ally Maftah
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam
Mjumbe Mkutano Mkuu Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam
Mwanzilishi na Mmiliki wa Mtandao wa CAM STORE

View attachment 2733868View attachment 2733871View attachment 2733873View attachment 2733872View attachment 2733869View attachment 2733870
Sio Africa tuu hata India,Russia ya Putin na Turkey ya Erdogan kote huko DP World anachanja Mbugha
Screenshot_20230829-152234.jpg
 
Kwanza kuna tofauti kubwa na li mkataba libovu la kwetu .

Nchi zote ulizoonesha hapo juu, mikataba imesainiwa kati ya DP World, na mashirika au taasisi za serikali husika,

Pia mikataba yao ipo specific, katika jambo mahsusi moja tu.

Huku kwetu eti DP WORLD anasaini na nchi.
Halafu anasaini kuchukua kila kitu.

Wewe usitufanye mazuzu.
 
Wakati wenzetu wanajiunganisha na dunia na kufurahia mema ya Dunia, sisi bado tupo kwenye usingizi mzito na tunaachia haja zetu vitandani, tukitokwa na maneno kwamba eti Nchi inauzwa, NCHI INAWEZAJE KUUZWA?
Acha upotoshaji!! Ishi humo 👇👇👇 Hakuna anaepinga uwekezaji!!
 

Attachments

  • 1687761662681.jpeg
    1687761662681.jpeg
    136.5 KB · Views: 3
Muwe mnaachaga na ujinga nyie maccm, tushawambia watanzania hawapingi uwekezaji Bali ufisadi wenu.
 
Back
Top Bottom