Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu wa Chadema , John Mnyika , leo tarehe 29/8/2023 , amefika nyumbani kwa Mufti Zuberi kwa lengo la kuhani Msiba.
Ikumbukwe kwamba Mufti amepata pigo baada ya kufiwa na mwanaye wa Kiume.
Kwa niaba ya Chadema natoa pole nyingi kwa Mufti Zuberi kufuatia kifo hiki cha mwanaye .
INNALILLAH WAINNA Ilayh Rajiun