Ni kwanini baraza letu la TEC halikutoa waraka wowote ule kipindi chote cha serikali ya awamu ya 3: Tafakuri ya kizalendo inahitajika hapa

Mkunazi Njiwa

JF-Expert Member
Apr 22, 2023
5,510
4,818
TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa hayati baba wa taifa (resty easy amen).

TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa awamu ya 5, kupinga kiitwacho uminywaji wa haki za binadamu na wigo wa demokrasia.

Hapa hoja ya UDINI inakaa pembeni.

Binafsi ninaamini kuwa TEC hawawapingi viongozi kwa muktadha wa dini zao....

Turejee nyuma.....

Ni sababu zipi zilipelekea wao kuwa kimya miaka yote 10 ya utawala wa hayati Benjamin Mkapa?

Je, utawala wake haukubinafsisha mashirika ya umma?

Je utawala wake haukuingia mikataba ya uwekezaji wa ndani na nje?

Je TICTS haikuanzishwa kipindi hiki ?!!!

TICTS ni kampuni iliyokuwa na ubia wa wazawa na wageni kutoka HONG KONG....

Ndani ya waraka wao huu wa juzi TEC wanatueleza kuwa kwa miaka 60 taifa letu halijawahi kupata mwekezaji wa bandari kutoka nje....

Kwa muktadha huu ni kuwa TEC wamekosea?

Kama sivyo huu UPOTOSHAJI kwa umma ni kwa manufaa ya nani ?!!

Uwekezaji wa TICTS ulikumbana na WARAKA wa kuupinga ?!!!

Ni kwanini?

Maswali ni mengi mno....

#SiempreJMT

#Tanzania Kwanza kabla ya nafsi zetu ,amen
 
TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa hayati baba wa taifa (resty easy amen).

TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa awamu ya 5, kupinga kiitwacho uminywaji wa haki za binadamu na wigo wa demokrasia.

Hapa hoja ya UDINI inakaa pembeni.

Binafsi ninaamini kuwa TEC hawawapingi viongozi kwa muktadha wa dini zao....

Turejee nyuma.....

Ni sababu zipi zilipelekea wao kuwa kimya miaka yote 10 ya utawala wa hayati Benjamin Mkapa?

Je, utawala wake haukubinafsisha mashirika ya umma?

Je utawala wake haukuingia mikataba ya uwekezaji wa ndani na nje?

Je TICTS haikuanzishwa kipindi hiki ?!!!

TICTS ni kampuni iliyokuwa na ubia wa wazawa na wageni kutoka HONG KONG....

Ndani ya waraka wao huu wa juzi TEC wanatueleza kuwa kwa miaka 60 taifa letu halijawahi kupata mwekezaji wa bandari kutoka nje....

Kwa muktadha huu ni kuwa TEC wamekosea?

Kama sivyo huu UPOTOSHAJI kwa umma ni kwa manufaa ya nani ?!!

Uwekezaji wa TICTS ulikumbana na WARAKA wa kuupinga ?!!!

Ni kwanini?

Maswali ni mengi mno....

#SiempreJMT

#Tanzania Kwanza kabla ya nafsi zetu ,amen
Too late !
 
Pole mkuu, najua maumivu unayopata katka hili la bandari... Lakini ufahamu kwamba
RAIS kama taasisi inabodi za kushauri,.. sasa inategemea anawaamini akina nan, je waganga njaa? wanasiasa wateuliwa? au wabobezi wa upelelez (TISS)?

RAIS kama mtu, anapata taarifa sahihi kwa wakati? au watoa taarifa wanatoa nusu ukweli na nusu nyingne uwongo? Yaani hapo asicheke nao waleta taarifa, anapogundua cheatings mleta taarifa afe kikatili...
Kuhusu hili la waraka lisikuumize, huenda ni sehemu ya kazi mkakati ya WAKUSANYA TAARIFA,,...

HITIMISHO
Popote nitakapoaminiwa kufanya kaz hata ndogo tu, nipo tayar KUFA kuliko kumdanganya bosi...NIPO tayari kumpoteza mwenzangu mara ntakapogundua bila shaka anadanganya kazin... MABADILIKO YANAANZA NA MIMI.

MKUU lazma uwe na spies ndani ya spies na hata nje yao..
RULE # 1 : DON'T trust any one
 
Pole mkuu, najua maumivu unayopata katka hili la bandari... Lakini ufahamu kwamba
RAIS kama taasisi inabodi za kushauri,.. sasa inategemea anawaamini akina nan, je waganga njaa? wanasiasa wateuliwa? au wabobezi wa upelelez (TISS)?
RAIS kama mtu, anapata taarifa sahihi kwa wakati? au watoa taarifa wanatoa nusu ukweli na nusu nyingne uwongo? Yaani hapo asicheke nao waleta taarifa, anapogundua cheatings mleta taarifa afe kikatili...
Kuhusu hili la waraka lisikuumize, huenda ni sehemu ya kazi mkakati ya WAKUSANYA TAARIFA,,...
HITIMISHO
Popote nitakapoaminiwa kufanya kaz hata ndogo tu, nipo tayar KUFA kuliko kumdanganya bosi...NIPO tayari kumpoteza mwenzangu mara ntakapogundua bila shaka anadanganya kazin... MABADILIKO YANAANZA NA MIMI..
MKUU lazma uwe na spies ndani ya spies na hata nje yao..
RULE # 1 : DON'T trust any one
 
TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa hayati baba wa taifa (resty easy amen).

TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa awamu ya 5, kupinga kiitwacho uminywaji wa haki za binadamu na wigo wa demokrasia.

Hapa hoja ya UDINI inakaa pembeni.

Binafsi ninaamini kuwa TEC hawawapingi viongozi kwa muktadha wa dini zao....

Turejee nyuma.....

Ni sababu zipi zilipelekea wao kuwa kimya miaka yote 10 ya utawala wa hayati Benjamin Mkapa?

Je, utawala wake haukubinafsisha mashirika ya umma?

Je utawala wake haukuingia mikataba ya uwekezaji wa ndani na nje?

Je TICTS haikuanzishwa kipindi hiki ?!!!

TICTS ni kampuni iliyokuwa na ubia wa wazawa na wageni kutoka HONG KONG....

Ndani ya waraka wao huu wa juzi TEC wanatueleza kuwa kwa miaka 60 taifa letu halijawahi kupata mwekezaji wa bandari kutoka nje....

Kwa muktadha huu ni kuwa TEC wamekosea?

Kama sivyo huu UPOTOSHAJI kwa umma ni kwa manufaa ya nani ?!!

Uwekezaji wa TICTS ulikumbana na WARAKA wa kuupinga ?!!!

Ni kwanini?

Maswali ni mengi mno....

#SiempreJMT

#Tanzania Kwanza kabla ya nafsi zetu ,amen
Sijakusoma humo ndani, lakini najibu kichwa cha mada yao:
Kwa nini unataka wewe ndie uwapangie lini na wapi pa kutoa waraka?

Msukumo unaokufanya uandike mada kama hii unatofauti gani na ule waraka wa wale wengine waliojitokeza karibuni kuandika waraka kujibu waraka mwingine, badala ya kusimamia maudhui ya suala lililokuwa mbele ya taifa letu.

Hizi ajenda za pembeni hazitufikishi popote. Nyinyi mnatumika tu na hao wanaotuvuruga.
 
TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa hayati baba wa taifa (resty easy amen).

TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa awamu ya 5, kupinga kiitwacho uminywaji wa haki za binadamu na wigo wa demokrasia.

Hapa hoja ya UDINI inakaa pembeni.

Binafsi ninaamini kuwa TEC hawawapingi viongozi kwa muktadha wa dini zao....

Turejee nyuma.....

Ni sababu zipi zilipelekea wao kuwa kimya miaka yote 10 ya utawala wa hayati Benjamin Mkapa?

Je, utawala wake haukubinafsisha mashirika ya umma?

Je utawala wake haukuingia mikataba ya uwekezaji wa ndani na nje?

Je TICTS haikuanzishwa kipindi hiki ?!!!

TICTS ni kampuni iliyokuwa na ubia wa wazawa na wageni kutoka HONG KONG....

Ndani ya waraka wao huu wa juzi TEC wanatueleza kuwa kwa miaka 60 taifa letu halijawahi kupata mwekezaji wa bandari kutoka nje....

Kwa muktadha huu ni kuwa TEC wamekosea?

Kama sivyo huu UPOTOSHAJI kwa umma ni kwa manufaa ya nani ?!!

Uwekezaji wa TICTS ulikumbana na WARAKA wa kuupinga ?!!!

Ni kwanini?

Maswali ni mengi mno....

#SiempreJMT

#Tanzania Kwanza kabla ya nafsi zetu ,amen
Kwanini haukuanza kusoma darasa la nne kabla ya kuzaliwa.
 
TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa hayati baba wa taifa (resty easy amen).

TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa awamu ya 5, kupinga kiitwacho uminywaji wa haki za binadamu na wigo wa demokrasia.

Hapa hoja ya UDINI inakaa pembeni.

Binafsi ninaamini kuwa TEC hawawapingi viongozi kwa muktadha wa dini zao....

Turejee nyuma.....

Ni sababu zipi zilipelekea wao kuwa kimya miaka yote 10 ya utawala wa hayati Benjamin Mkapa?

Je, utawala wake haukubinafsisha mashirika ya umma?

Je utawala wake haukuingia mikataba ya uwekezaji wa ndani na nje?

Je TICTS haikuanzishwa kipindi hiki ?!!!

TICTS ni kampuni iliyokuwa na ubia wa wazawa na wageni kutoka HONG KONG....

Ndani ya waraka wao huu wa juzi TEC wanatueleza kuwa kwa miaka 60 taifa letu halijawahi kupata mwekezaji wa bandari kutoka nje....

Kwa muktadha huu ni kuwa TEC wamekosea?

Kama sivyo huu UPOTOSHAJI kwa umma ni kwa manufaa ya nani ?!!

Uwekezaji wa TICTS ulikumbana na WARAKA wa kuupinga ?!!!

Ni kwanini?

Maswali ni mengi mno....

#SiempreJMT

#Tanzania Kwanza kabla ya nafsi zetu ,amen
Kwani TICTS walipewa mkataba usio na kikomo?
TICTS walipewa bandari zote za Tanganyika?

Walimilikishwa ardhi na kupewa uhalali kama wako kwao?

Tunaka tujue DPW mkataba wao ni wa muda gani Tanganyika na kwanini wameibagua Zanzibar yetu tukufu.... Afu tunaenda kufuta waraka
 
Ndani ya waraka wao huu wa juzi TEC wanatueleza kuwa kwa miaka 60 taifa letu halijawahi kupata mwekezaji

Kwa muktadha huu ni kuwa TEC wamekosea?

Kama sivyo huu UPOTOSHAJI kwa umma ni kwa manufaa ya nani ?!!

Uwekezaji wa TICTS ulikumbana na WARAKA wa kuupinga ?!!!

Ni kwanini?
Japo TEC ni viongozi wetu wa dini, viongozi hao pia ni binadamu, hivyo wao kama binadamu mwingine yeyote, wanaweza kukosea!.

Kuna nyaraka za kitume na nyaraka za kibinaadamu, kwenye nyaraka za kitume zinazungumzia mambo ya imani, kiroho ili kuwachunga kondoo wa Bwana wasipotee, ili muda wa safari yetu fupi hapa duniani, tuweze kufika salama mwisho wa safari yetu na kuelekea nyumbani kwa Baba yetu kwenye makao yetu ya milele.

Kuna nyaraka za kibinaadamu zihusuyo mambo ya kidunia, nyaraka hizi huelekezwa kwa Kaisari, hivyo sio nyaraka za kitume, wala sio neno la Mungu, ni neno la Maaskofu kama binadamu Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? hivyo ili kutofautisha nyaraka hizi mbili, niliwasisitiza viongozi wangu wa dini Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?
P
 
Japo TEC ni viongozi wetu wa dini, viongozi hao pia ni binadamu, hivyo wao kama binadamu mwingine yeyote, wanaweza kukosea!.

Kuna nyaraka za kitume na nyaraka za kibinaadamu, kwenye nyaraka za kitume zinazungumzia mambo ya imani, kiroho ili kuwachunga kondoo wa Bwana wasipotee, ili muda wa safari yetu fupi hapa duniani, tuweze kufika salama mwisho wa safari yetu na kuelekea nyumbani kwa Baba yetu kwenye makao yetu ya milele.

Kuna nyaraka za kibinaadamu zihusuyo mambo ya kidunia, nyaraka hizi huelekezwa kwa Kaisari, hivyo sio nyaraka za kitume, wala sio neno la Mungu, ni neno la Maaskofu kama binadamu Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? hivyo ili kutofautisha nyaraka hizi mbili, niliwasisitiza viongozi wangu wa dini Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?
P
Si kazi ya TEC kutoa waraka kwa kila jambo, kila jambo linauzito wake kama ilivyo kwenye kula si kila mlo lazima tule.
 
Pole mkuu, najua maumivu unayopata katka hili la bandari... Lakini ufahamu kwamba
RAIS kama taasisi inabodi za kushauri,.. sasa inategemea anawaamini akina nan, je waganga njaa? wanasiasa wateuliwa? au wabobezi wa upelelez (TISS)?
RAIS kama mtu, anapata taarifa sahihi kwa wakati? au watoa taarifa wanatoa nusu ukweli na nusu nyingne uwongo? Yaani hapo asicheke nao waleta taarifa, anapogundua cheatings mleta taarifa afe kikatili...
Kuhusu hili la waraka lisikuumize, huenda ni sehemu ya kazi mkakati ya WAKUSANYA TAARIFA,,...
HITIMISHO
Popote nitakapoaminiwa kufanya kaz hata ndogo tu, nipo tayar KUFA kuliko kumdanganya bosi...NIPO tayari kumpoteza mwenzangu mara ntakapogundua bila shaka anadanganya kazin... MABADILIKO YANAANZA NA MIMI..
MKUU lazma uwe na spies ndani ya spies na hata nje yao..
RULE # 1 : DON'T trust any one
Anyone includes your boss.Tiss hawaajili kwacomment za kichawa
 
TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa hayati baba wa taifa (resty easy amen).

TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa awamu ya 5, kupinga kiitwacho uminywaji wa haki za binadamu na wigo wa demokrasia.

Hapa hoja ya UDINI inakaa pembeni.

Binafsi ninaamini kuwa TEC hawawapingi viongozi kwa muktadha wa dini zao....

Turejee nyuma.....

Ni sababu zipi zilipelekea wao kuwa kimya miaka yote 10 ya utawala wa hayati Benjamin Mkapa?

Je, utawala wake haukubinafsisha mashirika ya umma?

Je utawala wake haukuingia mikataba ya uwekezaji wa ndani na nje?

Je TICTS haikuanzishwa kipindi hiki ?!!!

TICTS ni kampuni iliyokuwa na ubia wa wazawa na wageni kutoka HONG KONG....

Ndani ya waraka wao huu wa juzi TEC wanatueleza kuwa kwa miaka 60 taifa letu halijawahi kupata mwekezaji wa bandari kutoka nje....

Kwa muktadha huu ni kuwa TEC wamekosea?

Kama sivyo huu UPOTOSHAJI kwa umma ni kwa manufaa ya nani ?!!

Uwekezaji wa TICTS ulikumbana na WARAKA wa kuupinga ?!!!

Ni kwanini?

Maswali ni mengi mno....

#SiempreJMT

#Tanzania Kwanza kabla ya nafsi zetu ,amen
Hujielewi. Endelea kusoma mada za wengine uongeze ufahamu. Hujo mbeleni huenda ukawa na uwezo wa kuleta mada zenye mantiki. Hii ya kwako is too low.
 
Katika kipindi cha Mkapa hakuna mkataba uliokuwa mbovu, kumbuka TEC hata uwekezaji wa DPW siyo kwamba TEC wanaupinga, bali wanapinga baadhi ya vifungu ambavyo.unaona kabisa vimekaa kimanamba.
 
Na kwenye hyo awamu ni kitu gani kilichotokea na kuhitaji tamko la kanisa Katoliki?. Na Je dini na madhehebu mengine nje ya Katoliki unao watuhumu ktk kipindi hicho walitoa WARAKA?. Au kwako wewe WARAKA hutolewa na wakatoliki tu?.
 
Japo TEC ni viongozi wetu wa dini, viongozi hao pia ni binadamu, hivyo wao kama binadamu mwingine yeyote, wanaweza kukosea!.

Kuna nyaraka za kitume na nyaraka za kibinaadamu, kwenye nyaraka za kitume zinazungumzia mambo ya imani, kiroho ili kuwachunga kondoo wa Bwana wasipotee, ili muda wa safari yetu fupi hapa duniani, tuweze kufika salama mwisho wa safari yetu na kuelekea nyumbani kwa Baba yetu kwenye makao yetu ya milele.

Kuna nyaraka za kibinaadamu zihusuyo mambo ya kidunia, nyaraka hizi huelekezwa kwa Kaisari, hivyo sio nyaraka za kitume, wala sio neno la Mungu, ni neno la Maaskofu kama binadamu Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? hivyo ili kutofautisha nyaraka hizi mbili, niliwasisitiza viongozi wangu wa dini Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?
P
Pascal, this is too low for you.

Nyaraka zote za baraza la maaskofu, ni nyaraka za kichungaji. Na uchungaji ni kazi ya kuongoza roho na mwili kwa kadiri ya mpango wa Mungu. Dhambi hufanyika katika mwili. Na mwili ndio huiangamiza roho. Ukitaka Roho ifike mbinguni, shughulika zaidi na mwili.

Hata walioamua kuziuza bandari kwa malipo ya hongo, hizo hongo ni kwaajili ya kuuneemesha mwili.

Pascal, angalia usipotoshe watu kwa kusema kuwa nyaraka za maaskofu huwa ni nyaraka zinazolenga matukio ya kijamii. Nyaraka hizi zinagusa maisha ya watu kijamii, kisiasa, kiuchumi lakini msingi wake ni mafundisho ya kiroho. Ukisema watu wasiibe, unagusa maisha ya kijamii na kiuchumi LAKINI msingi wake mkuu ni mafundisho ya kiroho yanayozuia kuiba, yanayozuia kudhulumu, yanayozuia ubinafsi; yote yakifungamanishwa na amri kuu ya upendo.

Kama laiti watawala wangekuwa na upendo wa kiasi cha kuwapenda wananchi wote kama wanavyojipenda wenyewe, wasingechukua hongo, na kisha kulipia hongo hiyo kwa kuwapa rasilimali za nchi zinazomilikiwa na watu wote wa sasa na wa baadaye.

Waraka wa maaskofu kuhusu bandari ni waraka wa kichungaji. Ni waraka ambao msingi wake ni kupinga dhuluma, kupinga rushwa, kupinga upendeleo, na kupalilia upendo kwa watu wote. Waraka huu hauna tofauti na ule uliotolewa wakati wa awamu ya 5 ambapo waraka ulipinga utekaji wa raia, watu kupotezwa, wengine kuuawa na wengine kushambuliwa kwa risasi. Yote ni matendo ya dhuluma, na dhuluma kwa kadiri ya mafundisho ya kiimani, huzaa laana. Na hata katika hili, wamelaanika wale wote walioamua kuzitoa mali za Tanganyika kwa malipo ya hongo. Wamelaanika wao na wazao wao. Nyaraka hizi, na sauti za wananchi wengi ni kuwakumbusha wahusika kuwa wametenda kinyume cha sheria zetu, kinyume na utu wetu, lakini zaidi ni kinyume na maongozi ya Mungu. Baada ya kukumbushwa, wana uhuru wa kuzibadili njia zao au kuendelea na uovu wao. Wakiamua kuendelea na uovu wao, na halali yao kuandamwa na laana ya Mungu. Lakini watumishi wa Mungu wametimiza wajibu wao.
 
TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa hayati baba wa taifa (resty easy amen).

TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa awamu ya 5, kupinga kiitwacho uminywaji wa haki za binadamu na wigo wa demokrasia.

Hapa hoja ya UDINI inakaa pembeni.

Binafsi ninaamini kuwa TEC hawawapingi viongozi kwa muktadha wa dini zao....

Turejee nyuma.....

Ni sababu zipi zilipelekea wao kuwa kimya miaka yote 10 ya utawala wa hayati Benjamin Mkapa?

Je, utawala wake haukubinafsisha mashirika ya umma?

Je utawala wake haukuingia mikataba ya uwekezaji wa ndani na nje?

Je TICTS haikuanzishwa kipindi hiki ?!!!

TICTS ni kampuni iliyokuwa na ubia wa wazawa na wageni kutoka HONG KONG....

Ndani ya waraka wao huu wa juzi TEC wanatueleza kuwa kwa miaka 60 taifa letu halijawahi kupata mwekezaji wa bandari kutoka nje....

Kwa muktadha huu ni kuwa TEC wamekosea?

Kama sivyo huu UPOTOSHAJI kwa umma ni kwa manufaa ya nani ?!!

Uwekezaji wa TICTS ulikumbana na WARAKA wa kuupinga ?!!!

Ni kwanini?

Maswali ni mengi mno....

#SiempreJMT

#Tanzania Kwanza kabla ya nafsi zetu ,amen
Kazi ya TEC si kutoa nyaraka kwa kila jambo linaloanzishwa au kufanywa na Serikali. Wana akili na uwezo wa kupima ni jambo gani lililo na madhara makubwa kwa jamii. Hivyo hampaswi kuwapangia ni wapi watoe tamko na wapi wasitoe. TEC si watu wa kulalamikalalamika vichochoroni.

Hawakuwa na haja ya kutoa waraka kwa TICS, kama mliona kuna haja mngetoa nyie waraka siyo muwasubiri TEC. Karamagi aliyekuwa mubia tena Muislam ni Mtanzania. Je, hivi nyie m aona sawa Serikali kuingia mkataba wa aina ile tena kampuni ya kigeni ( siyo serikali ya Dubai) ? Kuhusu nyumba zilizouzwa, waliuziwa ni watz na Waislam wakiwemo hawakuuziwa wageni.

Mbona TEC awakulalamika kipindi cha JPM viongozi wenu walivyokuwa wakipishana Ikulu, kusifiasifia kupiga mpunga huku wakiomba kuondolewa kodi za tende na nyama toka Uarabuni? Shekh mkuu wa mkoa wa dar wakati huo alifikia hatua ya kumfanisha Makonda na mtume wenu. Hiyo si kuchanganya dini na siasa hisipokuwa kukosoa? Je, waraka walioutoa kipindi cha jpm, mbona hamkupiga kelele? Kwann mjaa chuki na wivu? Hivi mnadhani DPW inakuja kugawa tende na nyama za ngamia? Toeni hoja kuhalalisha uzuri wa mkataba na si kuwashambulia TEC waliotoa hoja kuonyesha kasoro ktk ule mkataba.
 
Japo TEC ni viongozi wetu wa dini, viongozi hao pia ni binadamu, hivyo wao kama binadamu mwingine yeyote, wanaweza kukosea!.

Kuna nyaraka za kitume na nyaraka za kibinaadamu, kwenye nyaraka za kitume zinazungumzia mambo ya imani, kiroho ili kuwachunga kondoo wa Bwana wasipotee, ili muda wa safari yetu fupi hapa duniani, tuweze kufika salama mwisho wa safari yetu na kuelekea nyumbani kwa Baba yetu kwenye makao yetu ya milele.

Kuna nyaraka za kibinaadamu zihusuyo mambo ya kidunia, nyaraka hizi huelekezwa kwa Kaisari, hivyo sio nyaraka za kitume, wala sio neno la Mungu, ni neno la Maaskofu kama binadamu Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? hivyo ili kutofautisha nyaraka hizi mbili, niliwasisitiza viongozi wangu wa dini Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?
P
1. P. Kwanini unandika bila kufanya utafiti wa kutosha juu ya TEC, Unaaminisha kuwa TEC hawapaswi kutoa maoni yao kama sehemu ya Raia wa nchi?, Jipe nafasi kufuatilia wajibu wa TEC kama chombo kwa waumini wao.

2. P. Unashindwa kuelewa kuwa nyaraka za kitume tafsiri yake inaendana na mazingira unayo ishi? Hii inamaanisha kuwa ni ngumu TEC kusimamia Elimu ya Dini tu bila kuwa na Elimu ya Dunia kwakuwa vitu hivi vinategemeana (Hili ni somo pana ukihitaji nitakuja inbox nikuelezee). Ndio maana kigezo cha kuwa Askofu ni lazima uwe na Elimu ya Uzamivu (PhD)

3. P. Nawe ni sehemu ya wale wanao sema Dini haipaswi kuchanganywa na siasa, wakati huo huo viapo hufanywa kwa kushika Biblia au Msahafu? Nasubiri siku ya uteuzi wako kwenye ile nafasi (nione Utashika nini)..

4. P. Nimefuatilia nyuzi zako, sijakutana na uzi ulio jibu hoja za maaskofu kama Raia halali wa nchi hii, naomba kama nyuzi hiyo ipo, please naomba niwekee hapa, kwakuwa TEC waliainisha hoja zenye shida, ambazo zinahitaji kujibiwa, nadhani ni wakati wa kutumia utaalamu wako wa kisheria kuzijibu na sio kutoa lawama kuwa TEC wamekosea.

5. Melius est in veritate stare.
 
Back
Top Bottom