johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Ikumbukwe Viongozi Wakuu wa Chadema wako kanda ya Serengeti kwa ajili ya Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari zetu
Inasemekana baada ya Dkt. Dotto Biteko kutangazwa kuteuliwa kuwa Naibu Waziri mkuu Mikutano ya Chadema umeanza kudoda
Hata hapa JF leo Habari za Serengeti zimekuja kwa uchache sana na Elythrocyte amekimbilia Kyela kuungana na akina Mwabukusi na Mdude 😄
Mlale Unono!
Inasemekana baada ya Dkt. Dotto Biteko kutangazwa kuteuliwa kuwa Naibu Waziri mkuu Mikutano ya Chadema umeanza kudoda
Hata hapa JF leo Habari za Serengeti zimekuja kwa uchache sana na Elythrocyte amekimbilia Kyela kuungana na akina Mwabukusi na Mdude 😄
Mlale Unono!