Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Habari wakuu, Najua hili ni jukwaa husika nitapata msaada, kwa kipindi kirefu tokea nimalize chuo nilikuwa jkt sikuweza kupata fulsa ya kujihusha na siasa japo tulikuwa tunakutana na vijana wa...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Aliyekuwa Mtunza Hazina wa CCM na mbunge wa Igunga Bilionea Rostam Aziz amesema Lowassa alikuwa ni ndugu yake na wameishi Nyumba moja kwa miaka 15 Rostam amesema Lowassa hakuondoka CCM kwa...
7 Reactions
19 Replies
3K Views
Wacheni ujinga na unafiki, Leo Lowassa katangulia WOTE tunampaka maradhi na kumfukiza Udi. Tuache unafiki. Lowassa alikuwa KIONGOZI mzuri lakini alikuwa na makandondo yake. 1. Lowassa Akipokuwa...
0 Reactions
0 Replies
339 Views
Hatari sana, kiukweli rais anapewa safari nyingi sana.... Sana.... Anasafiri sana . Nchi si keshafungua? Si ukifungua inatakiwa watu waingie? Sasa kufungua huku kumekuwa ni kwa kutoka. Tupo...
0 Reactions
13 Replies
575 Views
Huyu bwana anastahili pole kubwa sana, humu kila mtu anadai eti ni mnafiki kwakuwa alimsaliti Lowassa kuwa rais wa nchi, hivi naomba kuuliza, JK alikuwa na mamlaka yepi ya yeye peke yake...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Kwema Wakuu! Kama mjuavyo dunia hii ya mfumo Dume sio kazi rahisi kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu ya Urais. Sasa ni ngumu zaidi katika ulimwengu wa kiislamu kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
SOMA HABARI YOTE KABLA YA KUCHANGIA TAFADHALI. Edward Lowassa na Rais Jakaya Kikwete walikuwa ni marafiki wa dhati mbele ya macho ya watu. Kila mmoja kwa nafsi yake alikuwa na lengo lake. Mmoja...
8 Reactions
42 Replies
12K Views
Mo, Lowassa, Rostam wote waliingia kwenye siasa kulinda uwekezaji wao na mapenzi ya vyama ni fake. Ndiyo maana wameingia na kutoka. Hata Lowassa iko siku atatoka. Ukiangalia vizuri marafiki zao...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Ni vema Chadema ikatufafanulia huko "Kuchoka" maana yake nini Ikumbukwe kuwa kampeni za uchaguzi zimeshaanza hivyo ni vema tukaeleweshana mapema yale yajayo Ahsanteni sana 😀
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Edward Lowassa amefariki na leo tumempunzisha. Pole sana kwa Taifa na familia yake. Nimekaa, nimewaza kwa kuwa Hayati Lowassa amefanya mengi sana hapa Tanzania ninashauri yafuatayo. Baadhi ya...
2 Reactions
13 Replies
968 Views
Jana nimemsikia mtoto wa Marehemu Edward Lowassa ambaye pia ni Mtunga Sheria (Mbunge) Fred Lowassa akimshikuru Rais Samia Suluhu Hassan na kusema, "kama si Rais Samia baba asingefika Jumamosi...
26 Reactions
63 Replies
4K Views
Kwanini Uhuru wa bendera sheria nyingi znazotumika asilimia kubwa za mkoloni. Mfano: Sheria za Makosa ya Jinai Sheria hii ni ya Mkoloni sheria hii inasababisha polisi, mahakimu, na majaji...
1 Reactions
1 Replies
472 Views
Dotto alikuja kwa kasi na kunakikao akazuia TANESCO wasiingie. Kwa hali inavokwenda ni dhahiri na yeye MFUPA umemshinda. Nashauri wizara na TANESCO, shirikisheni wasomi, ombeni ushauri kwa wasomi...
4 Reactions
16 Replies
757 Views
Tukiwa Monduli hapa majira ya usiku tunakula nyama kama ishara yakumuenzi ndugu yetu na kaka yetu Lowasa. Wazee wa kimila kutoka ukanda huu wa kaskazini wanapiga soga na kubadilishana mawazo huku...
9 Reactions
20 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimekuwa nikishangaa sana kwa baadhi ya watanzania wenzangu kuhoji ama kushangaa kwanini ndugu Rostam Azizi anaonekana katika ziara nyingi za Mheshimiwa Rais nje ya nchi...
10 Reactions
153 Replies
9K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mbeya kimesema kimekamilisha maandalizi ya kufanyika kwa maandamano ya amani yanayotarajiwa kufanyika Jumanne, Februari 20.2024 ambapo viongozi...
1 Reactions
2 Replies
819 Views
Tanzania wanasiasa wote ni maskini Kwa vinywa vyao wenyewe, wengi Wanamiliki nyumba za makazi na kupanga, wanamiliki mashamba makubwa ya mifugo na wakiiba sana wanakwenda kununua mabasi...
29 Reactions
101 Replies
8K Views
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu. Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi...
18 Reactions
244 Replies
10K Views
Ndio sababu maeneo mengine akifariki kiongozi Wasifu wa Marehemu husomwa na Wanafamilia baada ya kukusanya taarifa za maisha yake binafsi kuanzia alipozaliwa na Historia ya Utumishi wake husomwa...
1 Reactions
2 Replies
640 Views
Kupitia bunge leo kupiga kura ya kuadhimia kuondoa kipengele cha sharti mwajiliwa wa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama kupita jkt au jku, serikali inapaswa kuomba msamaha maana kigezo hiko...
1 Reactions
2 Replies
571 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…