Familia ya Lowassa kutomtaja Kikwete rafiki kipenzi wa Baba, je ni kukosa shukran?

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,606
29,754
Wakati wa kutoa neno la shukrani, wanafamilia wawili wa Hayati Lowassa ambao ni Richard last born na Fredrick first born walisimama kutoa shukrani zao kwa waliohusika kushikamana na familia kuanzia ugonjwa hadi kukamilisha shughuli za mazishi ya mpendwa wao.

Katika neno la shukrani, waliishukuru serikali kwa kusimama nao muda wote kwenye kumuuguza na hata kumuenzi baba yao kwenye mazishi ya Kitaifa.

Pia waliwashukuru watu binafsi zikiwemo taasisi za kidini, madaktari na hata juhudi binafsi za Rais kuhakikisha Lowassa anapata kila msaada unaohitajika ikiwemo faraja.

Lakini kwenye shukrani zote, hakuna mahala ambapo Kikwete ama mwanafamilia yake kutajwa kuwa karibu na familia nyakati za kumuuguza baba yao kipenzi.

Tulimsikia mhe. Kikwete akizungumza pale Masaki alipokwenda kusaini daftari la maombolezo akisema, urafiki na ukaribu wao ulidumu hata baada ya ajali ya kisiasa ya Lowassa pale Bungeni.

Tunajifunza nini kwenye huu msiba hususan kauli za walioenda kuomboleza?
 
Rafiki kipenzi? Tutake radhi tafadhali.

Familia ya Lowassa wamenifurahisha mno, ni nani asiyejua usaliti aliofanyiwa baba yao na huyo unayesema ni rafiki kipenzi?

Hivi ndivyo inavyopaswa kuwa, ile tabia ya unafiki misibani ikome.
 
Wakati wa kutoa neno la shukrani, wanafamilia wawili wa Hayati Lowassa ambao ni Richard last born na Fredrick first born walisimama kutoa shukrani zao kwa waliohusika kushikamana na familia kuanzia ugonjwa hadi kukamilisha shughuli za mazishi ya mpendwa wao.

Katika neno la shukrani, waliishukuru serikali kwa kusimama nao muda wote kwenye kumuuguza na hata kumuenzi baba yao kwenye mazishi ya Kitaifa.

Pia waliwashukuru watu binafsi zikiwemo taasisi za kidini, madaktari na hata juhudi binafsi za Rais kuhakikisha Lowassa anapata kila msaada unaohitajika ikiwemo faraja.

Lakini kwenye shukrani zote, hakuna mahala ambapo Kikwete ama mwanafamilia yake kutajwa kuwa karibu na familia nyakati za kumuuguza baba yao kipenzi.

Tulimsikia mhe. Kikwete akizungumza pale Masaki alipokwenda kusaini daftari la maombolezo akisema, urafiki na ukaribu wao ulidumu hata baada ya ajali ya kisiasa ya Lowassa pale Bungeni.

Tunajifunza nini kwenye huu msiba hususan kauli za walioenda kuomboleza?
tunajifunza kwamba waombolezaji walio wengi ni wanafiki sana
 
Wakati wa kutoa neno la shukrani, wanafamilia wawili wa Hayati Lowassa ambao ni Richard last born na Fredrick first born walisimama kutoa shukrani zao kwa waliohusika kushikamana na familia kuanzia ugonjwa hadi kukamilisha shughuli za mazishi ya mpendwa wao.

Katika neno la shukrani, waliishukuru serikali kwa kusimama nao muda wote kwenye kumuuguza na hata kumuenzi baba yao kwenye mazishi ya Kitaifa.

Pia waliwashukuru watu binafsi zikiwemo taasisi za kidini, madaktari na hata juhudi binafsi za Rais kuhakikisha Lowassa anapata kila msaada unaohitajika ikiwemo faraja.

Lakini kwenye shukrani zote, hakuna mahala ambapo Kikwete ama mwanafamilia yake kutajwa kuwa karibu na familia nyakati za kumuuguza baba yao kipenzi.

Tulimsikia mhe. Kikwete akizungumza pale Masaki alipokwenda kusaini daftari la maombolezo akisema, urafiki na ukaribu wao ulidumu hata baada ya ajali ya kisiasa ya Lowassa pale Bungeni.

Tunajifunza nini kwenye huu msiba hususan kauli za walioenda kuomboleza?
Familia haijataka kua Nafki
 
Wakati wa kutoa neno la shukrani, wanafamilia wawili wa Hayati Lowassa ambao ni Richard last born na Fredrick first born walisimama kutoa shukrani zao kwa waliohusika kushikamana na familia kuanzia ugonjwa hadi kukamilisha shughuli za mazishi ya mpendwa wao.

Katika neno la shukrani, waliishukuru serikali kwa kusimama nao muda wote kwenye kumuuguza na hata kumuenzi baba yao kwenye mazishi ya Kitaifa.

Pia waliwashukuru watu binafsi zikiwemo taasisi za kidini, madaktari na hata juhudi binafsi za Rais kuhakikisha Lowassa anapata kila msaada unaohitajika ikiwemo faraja.

Lakini kwenye shukrani zote, hakuna mahala ambapo Kikwete ama mwanafamilia yake kutajwa kuwa karibu na familia nyakati za kumuuguza baba yao kipenzi.

Tulimsikia mhe. Kikwete akizungumza pale Masaki alipokwenda kusaini daftari la maombolezo akisema, urafiki na ukaribu wao ulidumu hata baada ya ajali ya kisiasa ya Lowassa pale Bungeni.

Tunajifunza nini kwenye huu msiba hususan kauli za walioenda kuomboleza?
Kwani wametajwa marafiki au wale waloshiriki wakati wa ugonjwa.

And why kikwete afterall
 
Nahisi mzee Kikwete alilidanganya Taifa kuwa walikuwa wamoja hata baada ya kujiuzulu kwa Lowassa.

Richmond deal la mtu mkubwa sana. Angalia kijana wake mtiifu alivyofanikiwa kumchomeka Nishati na alichokifanya
White Mkwele yule na Kiswahili chake cha kuzungumza akicheka cheka siyo wa kumuamini hata kidogo.

Huko kwenye siasa kuna unafiki na kufanyiana michezo ya ajabu sana.
 
Back
Top Bottom