Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,245
4,076
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
 
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Mwanamke akikupenda anakupigania sana. Sisi wanaume hatuwezi hivi.
 
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Ukweli unaujua Ila umetanguliza tumbo lakombele kuliko utaifa.

Kwani umeahidiwa Nini Hadi unajichafua kiasihichi?
 
Tulitaka JK ama aombe radhi kwa ubaya wote aliomtendea marehemu au akae kimya, kuliko kujivika unafiki wa kishirikina kutoka huko msoga ndani ndani.

Hakuna ubaya aliyofanya JK hata mmoja;

Unataka kuniambia JK ndio alikuwa ni last say nani awe Rais au asiwe? Au mlitaka amwambie lowassa asichukue form ?

Naomba kurudia tena, decision ya nani aende nani asiende, sio individual decision , ni group decision yaani inner circle wale ma elite. Kama elite wapo 12 , mmoja atakuwa na nguvu ya kuamua maamuzi ya wote ?

Edo alishakataliwa first day , JK anaingiaje ?
Au nafasi ya Urais ni ushikaji na family decision! ?

Kosa la JK lipo wap?

Wekeni hard evidence

Ishu ya Richmond , Edo hajui taratibu za utumishi na namna govt inafanya kazi ?

Kama kweli alipikiwa zengwe, then he was never smart and unfit for the throne
 
Ukisikia paah, ndo hi
20230717_161510.jpg
 
Akiwa hai hakukwenda kumjulia hali....
Akiwa hai hakumsifia kwa mema....
Alipokufa akakimbilia kumzika...
Alipokufa akakimbilia kumsifia...

JK kama sio mchawi atakuwa nani?

This is too subjective brother, it does not nullify the claim that JK ni msaliti!


Weka data

Suala la kwenda kumuona akiwa anaumwa, hata mimi sikwenda, je ni usaliti?

Kwani ni sheria kumuona EDO ?

Weka data tuache hisia

Kosa la JK ni lipi kwa EDO , usaliti ni upi

Au ndio
Kikombe cha babu kuwa kila mtu anakunywa bila ya kuwa na why and how
 
Hakuna ubaya aliyofanya JK hata mmoja;

Unataka kuniambia JK ndio alikuwa ni last say nani awe Rais au asiwe? Au mlitaka amwambie lowassa asichukue form ?

Naomba kurudia tena, decision ya nani aende nani asiende, sio individual decision , ni group decision yaani inner circle wale ma elite. Kama elite wapo 12 , mmoja atakuwa na nguvu ya kuamua maamuzi ya wote ?

Edo alishakataliwa first day , JK anaingiaje ?
Au nafasi ya Urais ni ushikaji na family decision! ?

Kosa la JK lipo wap?

Wekeni hard evidence

Ishu ya Richmond , Edo hajui taratibu za utumishi na namna govt inafanya kazi ?

Kama kweli alipikiwa zengwe, then he was never smart and unfit for the throne
Nakwambia hivi, last say ya Lowassa asiwe rais ilikuwa mikononi mwa Kikwete. WanaCCM walishaamua Lowassa awe mgombea wao na watanzania walishaamua Lowassa awe rais wao, lakini JK akasema never, never, never forever.
 
This is too subjective brother, it does not nullify the claim that JK ni msaliti!


Weka data

Suala la kwenda kumuona akiwa anaumwa, hata mimi sikwenda, je ni usaliti?

Kwani ni sheria kumuona EDO ?

Weka data tuache hisia

Kosa la JK ni lipi kwa EDO , usaliti ni upi

Au ndio
Kikombe cha babu kuwa kila mtu anakunywa bila ya kuwa na why and how
Wewe uliielewa ile kauli kuwa “Kikwete na mimi hatukukutana barabarani”?

Unataka kujilinganisha na Kikwete kwa Edo?
 
Nakwambia hivi, last say ya Lowassa asiwe rais ilikuwa mikononi mwa Kikwete. WanaCCM walishaamua Lowassa awe mgombea wao na watanzania walishaamua Lowassa awe rais wao, lakini JK akasema never, never, never forever.

Wapi? Weka data kaka achana na hizo street words.

Kabla majina ya kwenda halmashauri kupigiwa kura, yalichakatwa kwanza ndani na inner circle , inner circle hakai mtu 1

Ni kamati
: kati ya hayo yaliyorudi ni 5 . Lowasa na wengine waliachwa , mbona hao waliokatwa pia haijawa a concern?

JK hana uwezo wa kuchagua ni nani awe rais
Marehemu benad angekuwa rais

Na hao unaosema walimtaka EDO ni mamluki ambao walishakula 10% ; ndani yao pia walikuwepo watu wa uongo
 
Hayo ni maneno ya siasa

Hakuna ushikaji wowote kati ya Edo na JK

NDIO nakupa siri

Rafiki wa kweli ule wa kiushikaji kabisa wa long time wa JK ni Ditopile tu

Huyo ndio rafiki wa kweli waJK
Achana na mambo ya “urafiki wa kweli”. Hiyo ni illusion. Hapa kinachoongelewa ni realpolitik. Kama umeelewa basi lazima ujue kuwa hata mafiosi wana viapo vya “urafiki wa kimkakati”. Na huwa wanaviheshimu sana.

Hivyo usishangae kwa nini Kikwete anasemwa sana hata kama ule ulikuwa ni urafiki wa “kimafia”. There are times when honor among thieves is expected!
 
Back
Top Bottom