Ridhiwani Kikwete: Mifumo mitatu mipya ya utumishi itakavyosaidia kupima utendaji wa watumishi na kusaidia wananchi

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
328
414
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema mifumo mipya mitatu iliyobuniwa na kufungwa kwenye utumishi wa umma itasaidia kwa kiasi kikubwa sana kupima utendaji kazi wa mtumishi yeyote aliyepangiwa majukumu na kuona kiwango cha utekelezaji wa majukumu yake huku ikisaidia kujibu kero na kutoa majawabu ya shida za wananchi.

Mifumo mitatu iliyobuniwa hivi karibuni kwa ajili ya kupima utendaji wa watumishi ni ule wa PEPMIS, PIPMIS pamoja na HR ASSESSMENT ambayo yote itahakikisha inafuatilia utendaji kazi wa mtumishi katika majukumu yote aliyopangiwa.

Naibu Waziri Kikwete ameyasema hayo akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma wakati akieleza utekelezaji wa ufungaji wa mifumo hiyo na tija yake kwa Taifa na wananchi.

"Sisi kama Wizara tumetengeneza mifumo ya PEPMIS, PIPMIS na HR ASSESSMENT. Yote ikisomeka pamoja inasoma utendaji kazi wa mtumishi kutoka kwenye mahitaji ama mapungufu ya kiutumishi. Mifumo hii inalenga kufanya tathmini ya kiutendaji kwamba huyu mtumishi wa umma aliyepewa majukumu fulani, Je anayafanya vizuri na anayafanya kwa kiasi gani? Kwahiyo itatusaidia serikali kujua mtumishi anafanyaje kazi. Kwenye mfumo huu tumeweka utambuzi kwa rangi ambapo kijani itaonyesha mtumishi anafanya kazi vizuri, njano itaonyesha mtumishi anafanya kazi vizuri lakini kuna ulegevu sehemu na nyekundu itaonyesha hapa kuna hatari na kazi hazifanyiki. Na hizi rangi zimewekwa ili kumwezesha msimamizi wa ofisi namna taasisi yake inavyofanya kazi na kwenye mapungufu hatua zichukuliwe"

Kikwete ameongeza kuwa ujio wa mifumo hiyo haina lengo la kufukuza watu serikalini bali ina lengo la kutaka utumishi wa umma uweze kutoa tija kwa wananchi kama ilivyo dhamira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anayesisitiza kila mara kero za watu zitatuliwe.

 
Mifumo hiyo kama ufuatiliaji unafanywa na wale wale kuna tija gani ...Hata zile biometric attendance system zipo miaka na miaka ila watu wanachelewa.
 
Roho yangu huwa inauma sana tunapokuwa na watumishi wenye kutoa matamko utadhani wamezaliwa na kukulia ulaya,mimi niko huku liwale kupata huduma ya internet hadi nisafiri km 50 kwenda mjini ,hizo gharama anazilipa nani? Harafu tangu lini mfumo wa namna hii unawezq kunifanya mimi mwalimu kujituma ikiwa mimi ndo naingiza tarifa husika?
Tanzania bado sana,sisi bure tu,
 
Itafeli mchana kweupe, maananfedha zinachelewa sana kuja huku chini, na utekelezaji unahitaji fedha ziwepo
 
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema mifumo mipya mitatu iliyobuniwa na kufungwa kwenye utumishi wa umma itasaidia kwa kiasi kikubwa sana kupima utendaji kazi wa mtumishi yeyote aliyepangiwa majukumu na kuona kiwango cha utekelezaji wa majukumu yake huku ikisaidia kujibu kero na kutoa majawabu ya shida za wananchi.

Mifumo mitatu iliyobuniwa hivi karibuni kwa ajili ya kupima utendaji wa watumishi ni ule wa PEPMIS, PIPMIS pamoja na HR ASSESSMENT ambayo yote itahakikisha inafuatilia utendaji kazi wa mtumishi katika majukumu yote aliyopangiwa.

Naibu Waziri Kikwete ameyasema hayo akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma wakati akieleza utekelezaji wa ufungaji wa mifumo hiyo na tija yake kwa Taifa na wananchi.

"Sisi kama Wizara tumetengeneza mifumo ya PEPMIS, PIPMIS na HR ASSESSMENT. Yote ikisomeka pamoja inasoma utendaji kazi wa mtumishi kutoka kwenye mahitaji ama mapungufu ya kiutumishi. Mifumo hii inalenga kufanya tathmini ya kiutendaji kwamba huyu mtumishi wa umma aliyepewa majukumu fulani, Je anayafanya vizuri na anayafanya kwa kiasi gani? Kwahiyo itatusaidia serikali kujua mtumishi anafanyaje kazi. Kwenye mfumo huu tumeweka utambuzi kwa rangi ambapo kijani itaonyesha mtumishi anafanya kazi vizuri, njano itaonyesha mtumishi anafanya kazi vizuri lakini kuna ulegevu sehemu na nyekundu itaonyesha hapa kuna hatari na kazi hazifanyiki. Na hizi rangi zimewekwa ili kumwezesha msimamizi wa ofisi namna taasisi yake inavyofanya kazi na kwenye mapungufu hatua zichukuliwe"

Kikwete ameongeza kuwa ujio wa mifumo hiyo haina lengo la kufukuza watu serikalini bali ina lengo la kutaka utumishi wa umma uweze kutoa tija kwa wananchi kama ilivyo dhamira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anayesisitiza kila mara kero za watu zitatuliwe.

View attachment 2907997
Waswahili Wana maneno mengi!
Utendaji nukta.
 
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema mifumo mipya mitatu iliyobuniwa na kufungwa kwenye utumishi wa umma itasaidia kwa kiasi kikubwa sana kupima utendaji kazi wa mtumishi yeyote aliyepangiwa majukumu na kuona kiwango cha utekelezaji wa majukumu yake huku ikisaidia kujibu kero na kutoa majawabu ya shida za wananchi.

Mifumo mitatu iliyobuniwa hivi karibuni kwa ajili ya kupima utendaji wa watumishi ni ule wa PEPMIS, PIPMIS pamoja na HR ASSESSMENT ambayo yote itahakikisha inafuatilia utendaji kazi wa mtumishi katika majukumu yote aliyopangiwa.

Naibu Waziri Kikwete ameyasema hayo akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma wakati akieleza utekelezaji wa ufungaji wa mifumo hiyo na tija yake kwa Taifa na wananchi.

"Sisi kama Wizara tumetengeneza mifumo ya PEPMIS, PIPMIS na HR ASSESSMENT. Yote ikisomeka pamoja inasoma utendaji kazi wa mtumishi kutoka kwenye mahitaji ama mapungufu ya kiutumishi. Mifumo hii inalenga kufanya tathmini ya kiutendaji kwamba huyu mtumishi wa umma aliyepewa majukumu fulani, Je anayafanya vizuri na anayafanya kwa kiasi gani? Kwahiyo itatusaidia serikali kujua mtumishi anafanyaje kazi. Kwenye mfumo huu tumeweka utambuzi kwa rangi ambapo kijani itaonyesha mtumishi anafanya kazi vizuri, njano itaonyesha mtumishi anafanya kazi vizuri lakini kuna ulegevu sehemu na nyekundu itaonyesha hapa kuna hatari na kazi hazifanyiki. Na hizi rangi zimewekwa ili kumwezesha msimamizi wa ofisi namna taasisi yake inavyofanya kazi na kwenye mapungufu hatua zichukuliwe"

Kikwete ameongeza kuwa ujio wa mifumo hiyo haina lengo la kufukuza watu serikalini bali ina lengo la kutaka utumishi wa umma uweze kutoa tija kwa wananchi kama ilivyo dhamira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anayesisitiza kila mara kero za watu zitatuliwe.

View attachment 2907997
Hamna kitu Hapo ni upotevu wa Pesa.. Acheni kuwachukua Watu wanaostaafu Hao Ndio Hawana maono.. MTU akistaafu aende kulea wajukuu
 
Niujinga wa hali yajuu kukopi mifumo nchi zilizoendelea na kuzilazimisha hapakwetu bila kutizama mazingira tuliyonayo...
Mfano kuna walimu wapo vijiji visivyo hata na umeme wala network Sasa ataingiaje kwenye mfumo??
Wapo walimu weengi wanakopa hata bodaboda ili kufika shule Sasa huyo atanunua bando kweli??
Waziri anaekewa mafuta,anawekewa bando,anaishi mjini anahisi watumishi woote wanaishi hivyo!!!
Kama huyo Toka kuzaliwa hakajaishi vijijini hawaijui njaa kenyewe kanaona Tz nikama ulaya...
Viongozi vyama vya wafanyakazi muamke acheni ujinga na kuzubaa kizembeee
 
Roho yangu huwa inauma sana tunapokuwa na watumishi wenye kutoa matamko utadhani wamezaliwa na kukulia ulaya,mimi niko huku liwale kupata huduma ya internet hadi nisafiri km 50 kwenda mjini ,hizo gharama anazilipa nani? Harafu tangu lini mfumo wa namna hii unawezq kunifanya mimi mwalimu kujituma ikiwa mimi ndo naingiza tarifa husika?
Tanzania bado sana,sisi bure tu,
KWELI Kabisa
 
Back
Top Bottom