I seeHapa angalia Lowassa alivyomdhalilisha Jakaya Kikwete. Unadhani ni sahihi?
Walitesana kwa kweli
View attachment 2907950
Ulisikiliza ile Interview ya Lissu, juzi akiwa Star TV? Alisema walikuwa wamechukuwa wataalam wa kura za maoni wanaoamika sana kutoka nje wakawapa kazi ya kutafiti ni nani anakubalika zaidi kuwa rais kwa wananchi kutoka vyama vyote. Wale wataalam wakawaambia wataifanya hiyo kazi kwa kisiri na watakuja na matokeo. Matokeo yakaonyesha Lowassa ndiye anayekubalika zaidi.Lowassa alikuwa ni chaguo la watu na ilikuwa ni makosa makubwa kumpa Nchi Magufuli.
Kikwete hapo aliwakosea Wananchi na hata alipokuja Upinzani alizulumiwa USHINDI.
Hahahahaha..halafu Jk alivyo master anacheka tu .huku akijua next inakuaje..Sasa yeye kamdhalilisha vipi hapo? Aliwaambia wajumbe waimbe?
Hapo ni baada ya Kikwete kuingia na majina yake ya mfukoni kwenye kamati kuu huku jina la Lowassa likiwa halipo katika orodha.
Ona hata sura yake (Lowassa) hapo ilivyojawa taharuki na majonzi tele.
Hii video uliyoiweka inamdhalilisha zaidi ya unavyodai.
Lowasa amekua content sasa ...mpk ije content nyingine hii itasahaulikaMwacheni Mzee apumzike chadema hamna mnalojua fungeni midomo
Kichwani mkwere anasema iiiiiiiiiiihhhhHapa angalia Lowassa alivyomdhalilisha Jakaya Kikwete. Unadhani ni sahihi?
Walitesana kwa kweli
View attachment 2907950
Hahahahaha..mkwere master sana.Kichwani mkwere anasema iiiiiiiiiiihhhh
Acha ujinga weweLowassa alikuwa ni chaguo la watu na ilikuwa ni makosa makubwa kumpa Nchi Magufuli.
Kikwete hapo aliwakosea Wananchi na hata alipokuja Upinzani alizulumiwa USHINDI.
Nimeona JK anamuangalia ENL kwa jicho la kimachale😀😀Hahahahaha..halafu Jk alivyo master anacheka tu .huku akijua next inakuaje..
Kwani wakipita hapo ni CHADEMA?Mwacheni Mzee apumzike chadema hamna mnalojua fungeni midomo
Hahahahaha..mkwere master sana.
Kwani alipochukua mwanakwenda ilikuwaje?TUJIULIZE ANGECHUKUA LUWASA NCH INGEKUWAJE
Hao wanaoimba ni nani? Sio CCM? Kalale basi maana umechokaTUJIULIZE ANGECHUKUA LUWASA NCH INGEKUWAJE