CHADEMA badilisheni kauli mbiu yenu kuwa "Nguvu, Nguvu, Nguvu ya Umma"

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
380
763
Ninawashauri CHADEMA wabadili kauli mbiu yao kutoka; "Peoples Power" na kuiita "Nguvu, Nguvu ya Umaa".

Sababu ya kushauri hivyo, sisi ni Waafrika kwanini tusitumie Kiswahili chetu katika mambo yetu ya hamasa kuliko kutumia maneno ya Kiingereza?

Huku kijijni hatujui Kiingereza na tumekuwa kama kasuku tukisema "Peoples Power" na hata hatujui maana yake. Jina la chama chenu ni sahihi kabisa "CHADEMA" Chama cha Demokrasia na Maendeleo" hapa kila Mtanzania anajua maana yake.

Sisi ni Waswahili tusiige vitu ambavyo havitufai.
 
Ninawashauri CHADEMA wabadili kauli mbiu yao kutoka "Peoples Power" na kuiita "Nguvu, Nguvu ya Umaa". Sababu ya kushauri hivyo sisi ni Waafrika kwanini tusitumie kiswahili chetu katika mambo yetu ya hamasa kuliko kutumia maneno ya kiingereza. Huku kijijni hatujui kiingereza na tumekuwa kama kasuku tukisema "Peoples Power" na hata hatujui maana yake. Jina la Chama chenu ni sahihi kabisa "CHADEMA" Chama cha Demokrasia na Maendeleo" hapa kila Mtanzania anjua maana yake. Sisi ni Waswahili tusiige vitu ambavyo havitufai.
Wanataka kithungu, hawataki Kiswahili.
 
Ninawashauri CHADEMA wabadili kauli mbiu yao kutoka; "Peoples Power" na kuiita "Nguvu, Nguvu ya Umaa".

Sababu ya kushauri hivyo, sisi ni Waafrika kwanini tusitumie Kiswahili chetu katika mambo yetu ya hamasa kuliko kutumia maneno ya Kiingereza?

Huku kijijni hatujui Kiingereza na tumekuwa kama kasuku tukisema "Peoples Power" na hata hatujui maana yake. Jina la chama chenu ni sahihi kabisa "CHADEMA" Chama cha Demokrasia na Maendeleo" hapa kila Mtanzania anajua maana yake.

Sisi ni Waswahili tusiige vitu ambavyo havitufai.
Hivi TANU ilikuwa Ni ya kiswahili Vile vipi kuhusu ASP..
Au mimi nimesahau..
Wazazi wa CCM.....TANU na ASP wote wapikuwa na kiswahili hivi..
Hivi Bunge ni neno la kiswahili?
Ikulu ni Neno la kiswahili?
 
HAlafu mbona Kila siku ni CHADEMA..
Wakati CUF,CHADEMA,TADEA,TLP NCCR,TLP ni vyama vyote vilianzishwa Siku moja mwaka 1993
 
Ninawashauri CHADEMA wabadili kauli mbiu yao kutoka; "Peoples Power" na kuiita "Nguvu, Nguvu ya Umaa".

Sababu ya kushauri hivyo, sisi ni Waafrika kwanini tusitumie Kiswahili chetu katika mambo yetu ya hamasa kuliko kutumia maneno ya Kiingereza?

Huku kijijni hatujui Kiingereza na tumekuwa kama kasuku tukisema "Peoples Power" na hata hatujui maana yake. Jina la chama chenu ni sahihi kabisa "CHADEMA" Chama cha Demokrasia na Maendeleo" hapa kila Mtanzania anajua maana yake.

Sisi ni Waswahili tusiige vitu ambavyo havitufai.
chadema ni kikundi tu cha wajamaa flani ambao ni waoga ila wajanja
 
Back
Top Bottom