UFAFANUZI WA TAARIFA ILIYOCHAPISHWA KWENYE UKURASA WA JAMII FORUM TAREHE 17.03.2019 KUHUSU EWURA CCC
Tarehe 17.03.2019 kuna mdau ameandika taarifa inayolenga ama kwa kufahamu ama kwa kutokufahamu...
Itatuchukua miaka mingi sana kuja kumpata mtu kama Hayati Magufuli tena. Yule Mzee alitaka nchi hii inyooke na kurudi kwenye mstari wa walio wengi kunufaika na raslimali zetu,tofauti na sasa...
Ni wazi kabisa kwamba Serikali ya CCM haina nia thabiti kutuletea katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu 2025.
Kama ni elimu kwa raia,tayari raia walikwishaipata kupitia tume ya Jaji warioba na hata...
Mimi katika uzee wangu na ingawa siyo mwanasheria nasema majaji wetu waliotoa hukumu ya mkataba wa DP World huko mbeya sina hakika kama wanao uelewa wa kutosha juu ya ukuu wa mamlaka ya muhimili...
Wamiliki, akiwemo Thomas Dan Friedkin, na uongozi wa kampuni ya Mwiba Holdings Limited wanakanusha taarifa za uongo zilizotolewa kwenye mikutano a hadhara ya kisiasa iliyofanyika Agosti 11, 25 na...
==============================================
Kwa ufupi (quotes)
"Immediate baada ya hukumu tarehe 10/8/2023, mara moja tulianza mchakato wa kukata rufaa kwa kuiandikia mahakama barua ya kuomba...
Kila mara rais anafanya mabadiliko ya baraza la mawazri, lkn hakuna tija yoyote ambayo inaonekana.
Mfano, sasa upatikanaji wa umemme ndiyo shida kabisa. Ni kama sasa tuna blackout Tanga tangu...
Kila nikitazama jinsi Mchakato wa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi inavyosua sua huku muda bado upo nashangaa sana..
Dkt. Samia Suluhu Hassani ni mpenda haki na juu ya yote ni Mwislam...
SALAAM!
Hapa niko Kakonko - Kigoma kusema kweli ukosefu wa mafuta umekwamisha shughuli nyingi za kijamii na kiuchumi.
Nachotaka kufahamu ukosefu wa mafuta nchini Serikali ndiyo ilaumiwe...
Nikiwa mdogo kijijini kwetu ngulugulu huko wilaya ya ileje Babu yangu alinifundisha namna nzuri ya kumkamua ng'ombe maziwa, nilipewa mbinu kwamba kuna ng'ombe wastaarabu, hauhitaji kumfunga kamba...
Dr Kesho: Naomba kutoa Shukrani kuniunga Huku ila kwasasa sihitaji kuwa magroup yoyote ya Kisiasa Wala kijamii Sitaki Siasa.
Mwenyekiti aliyepita: Samahani ndugu zangu, Mie siyo mwanachama wa CCM...
Habari great thinkers,
Labda nielezee kwa mifano hayati magufuli aliwahi kuwaagiza tanesco kupitia REA wawafungie wananchi umeme kwa 27000.
Lakini baadae ikaja kuonekana sio bei sahihi mfano...
Ni aibu kwa kiongozi mkubwa wa chama cha CCM.
kinachoiongoza na kuisimamia Serikali iliyoko madarakani kuzunguka nchini akitoa onyo kuzuia wale wanaotaka kujipanga kutafuta teuzi za kugombea...
Naibu Waziri Mkuu ni Waziri wa Nishati, sasa Leo SAA 12 asubuhi umeme umekatika, hii inaonyesha ni mgao WA umeme. Naomba ulishughulikie Hilo.
Na pia Kwa sababu umepewa hukumu la kuratibu, kuna...
Bajeti imeingilia maisha ya watu ambayo tayari ni magumu kuwahi kutokea katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita.
Bajeti imeweka kodi katika bidhaa ambazo bei zake ni kero kubwa kwa wananchi...
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ameipongeza Timu ya mpira wa Miguu ya Dodoma Jiji FC kwa kufungua duka la vifaa vya michezo na kupata mwekezaji WAZAWA NET SPORTS...
Nijuavyo Mimi ,Jimbo la Rungwe Magharibi ambako ni nyumbani Kwa Spika Dr Tulia ndio lilimfaa sana maana kule kwanza hakunaga upinzani Wala watu hawana shobo na upinzani.
Mbunge wa Sasa anaitwa...
Nawaza tu nanyi mnisaidie kuwaza pamoja.
Kuondolewa kwa kipara wizara ile na kuwekwa Biteko huenda ni bomu ametegeshewa ljmlipukie.
Baada ya kipara kuboronga pale na kupiga dili za kufa mtu...
Ukifuatilia teuzi za siku hizi katika ngazi zote, vigezo vikuu ambavyo vinaonekana kwa macho ya kawaida kabisa ni:-
1. Kuwa kada mtiifu wa CCM
2. Kuwa muongeaji mzuri wa kusifia sifia...